To yeye
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 35,686
- 86,968
🤣🤣Mbona unataka nicheke Msibani?Toa ushauri wewe. Wakati utafika ndiyo nini sasa we To yeye
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣Mbona unataka nicheke Msibani?Toa ushauri wewe. Wakati utafika ndiyo nini sasa we To yeye
Kuna binti tulipishana kidogo miezi ya hivi karibun akaamua kutoa mimba yangu aisee, nkiwazaga na changamoto km Hz huwa navurugwa balaa...Sawa mkuu.
Au hormonal imbalanceKacheck rhesus
Ndoa siku zote mtoto wa kwanza unaona kama unachelewa. Bado kabisa wala usipaniki. Usichoke kuona dr na kuelezea tatizo lako. Wakati mwingine unawezakupita hata hospital 5 kbla hujapata suluhisho.Nampenda sanaa na tunaendelea kupambana kutafuta mtoto ata tuzeeke.
Nimejaribu kwenda hospital mbili za rufaa zenye hao maspecialist wanampima kisha wanasema hana tatizo.
Jaribu pia maombi kwa imani yako (kama unaamini majibu mazuri mtayaona)Nimeishi na mke wangu kwa mwaka mmoja na nusu.
Alipata ujauzito mara ya kwanza katika maisha yake, ule ujauzito ulidumu kwa miezi 3 kisha ukatoka.
Akapata ujauzito kwa mara ya pili huu ulikaa kwa muda wa miezi 2 ukatoka.
Akapata ujauzito kwa mara ya tatu huu ulikaa kwa muda mwezi mmoja tu ukatoka yani tulivyopima ujauzito haikupita siku 3 ukatoka.
Tukienda hospitali zenye specialist wa masuala ya uzazi wanampima na wanasema hana tatizo lolote.
Sasa imekuwa ngumu kupata ujauzito na sijui tatizo ni nini? Yaani kila mwezi anaonesha dalili za ujauzito ila ukipima hamna kisha anaingia kwenye siku zake.
Sawa MkuuNdoa siku zote mtoto wa kwanza unaona kama unachelewa. Bado kabisa wala usipaniki. Usichoke kuona dr na kuelezea tatizo lako. Wakati mwingine unawezakupita hata hospital 5 kbla hujapata suluhisho.
Umeenda hospital za maana ama kwa wanesi?
Nenda hospital za kubwa ukapimwe uterus itakuwa Iko week inahitaji kufungwa/kukazwa ama apate full bed rest.
Pole sana ila mpende mkeo ndio huyo Mungu kakupa.
Walimpima akaonekana yuko sawa, wakasema lamda kuta za uterus zake haziruhusu kuchimba ili kukaa mimba (implantation) so ikitokea akapata ujauzito niwahi akapewe dawa za kulainisha kuta ili mimba iweze kuchimba na kujishikiza vizuri kwenye uterus sasa shida tangu waseme hvyo ata mimba yenyewe haitokei yan anaweza akawa na dalili zote za mimba na hata kupitiliza siku zake kwa siku 2 ila ukipima hana mimba.Au hormonal imbalance
Kama upo Dar....nenda KKKT Kimara Korogwe.....
Wakati utafika tu atazaa...mwambie arelaxWalimpima akaonekana yuko sawa, wakasema lamda kuta za uterus zake haziruhusu kuchimba ili kukaa mimba (implantation) so ikitokea akapata ujauzito niwahi akapewe dawa za kulainisha kuta ili mimba iweze kuchimba na kujishikiza vizuri kwenye uterus sasa shida tangu waseme hvyo ata mimba yenyewe haitokei yan anaweza akawa na dalili zote za mimba na hata kupitiliza siku zake kwa siku 2 ila ukipima hana mimba.
Kamasoma chuo ana shahada ,Ana miaka 27,na aliniambia hakuwahi kutumi njia zozote za uzazi ili isiwe ngumu kutafuta mtoto atakapolewa na tulipooana tulikaa mwezi mmoja tu akapata ujauzito ingawa ulitoka baada ya miezi 3.Kama kasoma chuo kikuu, chunguza pia mienendo yake kipindi kile. Wengine waliyoyafanya,yamekuwa chanzo cha tatizo hilo
Nawashauri muende Kwa mwamposa mkaombewe ,Kwa Imani mtapata watotoKamasoma chuo ana shahada ,Ana miaka 27,na aliniambia hakuwahi kutumi njia zozote za uzazi ili isiwe ngumu kutafuta mtoto atakapolewa na tulipooana tulikaa mwezi mmoja tu akapata ujauzito ingawa ulitoka baada ya miezi 3.
Pole na msiba🤣🤣Mbona unataka nicheke Msibani?
ASaNTe MkUuPole na msiba
Hospitali za rufaa zina speshelist ,uko mkoa gani tukulengesheNampenda sanaa na tunaendelea kupambana kutafuta mtoto ata tuzeeke.
Nimejaribu kwenda hospital mbili za rufaa zenye hao maspecialist wanampima kisha wanasema hana tatizo.