Msaada: Mke wangu ana tatizo la uzazi

Msaada: Mke wangu ana tatizo la uzazi

Nashukuru kwa ushauri wako ila Waganga wengi waongo kumpata mkweli ni kazi , namtegemea Mungu kuna siku atasikia kilio chetu.
Mungu hawezi kukusikia kama wew huwasikii washauri ambao ni binadamu wenzako, unataka Mungu aseme na wew , kwa njia gani?
Jaribu Tiba za mitishamba, tafuta wale madactari wa dawa za asili, huko hospital utapoteza muda wako na pesa zako hutoona maajabu, tafuta watabibu anza kusikiliza redio kuna vipindi huwa wanajitangaza, achana na wale wa namba za mabango hawa waongo, tafuta wa uhakika.
 
Njoo PM nikupe namba za mtaalamu aliemsaidia mpenzi wangu nilietafuta nae mtoto tangu 2018 bila bila ila huyu Bibi hata mwezi dawa zake hazijafikisha UPT positive. (nataman wawe mapacha 6)
 
Je, damu zenu ni group ipi kwa ipi?
Hii kitalamu inaitwa Rhesus factor hii Hali hutokea ikiwa mwanamke atakua na group la damu (A,B, AB, 0 negative) na mwanaume akiwa na positive...............

Ikiwa ivyo

Itabidi mkewe awe anachoma ANT D Injection dactar atashaur iwe early wakati wa ujauzito na ama kabla ya masaa 72 baada ya kujifungua....

Ant D Injection wholesale price 120,000 mpak 135,000 huko hospital wanachoma Kwa 200,000 mpaka 250,000

Nikiwa kama mdau wa afya MWANDAMIZI senior Kwa Sasa ni hayo.....

Pia anaweza ku chimba deep Kuna wadau wengi wa afya humu ndani wamewai kielezea humu Jf anaweza ku search...
 
Mungu hawezi kukusikia kama wew huwasikii washauri ambao ni binadamu wenzako, unataka Mungu aseme na wew , kwa njia gani?
Jaribu Tiba za mitishamba, tafuta wale madactari wa dawa za asili, huko hospital utapoteza muda wako na pesa zako hutoona maajabu, tafuta watabibu anza kusikiliza redio kuna vipindi huwa wanajitangaza, achana na wale wa namba za mabango hawa waongo, tafuta wa uhakika.
Nimekuelewa sana mkuu ngoja nijaribu uko.
 
Hii kitalamu inaitwa Rhesus factor hii Hali hutokea ikiwa mwanamke atakua na group la damu (A,B, AB, 0 negative) na mwanaume akiwa na positive...............

Ikiwa ivyo

Itabidi mkewe awe anachoma ANT D Injection dactar atashaur iwe early wakati wa ujauzito na ama kabla ya masaa 72 baada ya kujifungua....

Ant D Injection wholesale price 120,000 mpak 135,000 huko hospital wanachoma Kwa 200,000 mpaka 250,000

Nikiwa kama mdau wa afya MWANDAMIZI senior Kwa Sasa ni hayo.....

Pia anaweza ku chimba deep Kuna wadau wengi wa afya humu ndani wamewai kielezea humu Jf anaweza ku search...
Nimekupata mkuu ila mke ana O positive.
 
Njoo PM nikupe namba za mtaalamu aliemsaidia mpenzi wangu nilietafuta nae mtoto tangu 2018 bila bila ila huyu Bibi hata mwezi dawa zake hazijafikisha UPT positive. (nataman wawe mapacha 6)
Mm naogopaga sana mtoto wa dawa sijui Kwa mtaalamu mganga na hata hospital wa kumeza sawa za kupevusha mayai primolut N tabs and So and so....

Natamani itokeee naturally MWENYEZ MUNGU atusaidie sanaa....
 
Mwaka mmoja na nusu mimba 3. Mpumzishe mkeo. Kaeni angalau 2 years bila kushika ujauzito kizazi kibane vizuri.
 
Mwaka mmoja na nusu mimba 3. Mpumzishe mkeo. Kaeni angalau 2 years bila kushika ujauzito kizazi kibane vizuri.
Ilipotoka ya pili tuliambiwa tukae miezi 6 kweli tulikaa na ikapita 8 akapata ujauzito uliokaa mwezi mmoja tu ukatoka. Sasa pressure kubwa kutoka watu wanaotuzunguka kuwa ni muda mrefu kwenye ndoa hakuna mtoto kila mwezi tunatafuta mimba ndo hyo haipatikan.
 
Yaan umeishi na mwwnamke mwwka na nusu trar mimba 3 we dogo haupo serious
 
Mimi swali langu mkeo ana umri gani ?

Wanawake wana prime age zao za uzazi bila changamoto
 
ndivyo alivyokwambia mimba yake ya kwanza kaipatia kwako?au unahisi
Namwamini sana mke wangu ,na hakuwa na sababu ya kunificha chochote. Naamini mimba yangu ilikuwa ya kwanza katika maisha yake, muda wote alikuwa anafuraha nikama mimba ile ilikuwa lulu kwake, ata kuna siku niliona chatting na marafiki zake wakubwa wakimwambia mi nimemuweza mpaka kapata mimba.
 
Back
Top Bottom