Msaada: Mke wangu ana tatizo la uzazi

 
Hayo maisha yake ya zamani siwezi kuyajudge , ila alinieleza kabla yangu alikuwa na mtu wake muda mrefu na wakaachana mana alimtenda sana, akakaa miaka 5 single bila ya kuwa na mtu kwa kuwa hakuwaamini wanaume, ndipo nikakutana nae na watu wengi waliniuliza ulimpatajepataje kwa jinsi alivyokuwa mgumu. Ni mwanamke ana msimamo sana.
 
Hayo maisha yake ya zamani siwezi kuyajudge , ila alinieleza kabla yangu alikuwa na mtu wake muda mrefu na wakaachana mana alimtenda sana, akakaa miaka 5 single bila ya kuwa na mtu kwa kuwa hakuwaamini wanaume, ndipo nikakutana nae na watu wengi waliniuliza ulimpatajepataje kwa jinsi alivyokuwa mgumu. Ni mwanamke ana msimamo sana.
 
Kuna binti tulipishana kidogo miezi ya hivi karibun akaamua kutoa mimba yangu aisee, nkiwazaga na changamoto km Hz huwa navurugwa balaa...
kama wewe nitajiri inatakiwa umlaumu ila kama ungaunga mwana uterus hazigomagi kupokeaimba utapata matoto mengitu chamsingi tafuta chakula
 

Na wewe ukaamini[emoji26].
 
Acha kuzubaa wewe hivi kwenu hamna wazee, washangazi, wabibi, tumia akili kuoa na kuolewa ni vita acha kujifungia
 
Noma linaanzia hapo hio ngumu kumeza hakuna mwanamke wa hivyo muulize vizuri akuelezee vizuri
Watoaji wa mimba unampeleka kwa mtaalamu wa kutoa mimba atakupa majibu, historically yawezekana ashatoaga sana mimba akaharibu mfumo wa puto ama jokofu la mtoto kwa tumbo
 
Pole sana, mkuu mke wako hata kama ukienda hospitali yoyote utaharibu pesa yako bure, mke wako ni mzima kabisa na hana tatizo lolote la uzazi, ila mke wako Ana shida moja kubwa ndo hii!, mke wako ameolewa na majini haba na Ana watoto huko, hivyo yule mme wake wa kiroho (jini) hataruhusu wewe kuzaa naye! Kwa kuamini hiki mkuu nenda muulize maswali haya kuprove hiki ninachokuambia
1: muulize kama amewahi kuota anafunga ndoa kwenye ndoto( kama amewahi) maanake huyo ndiye mme wake jini
2: kama amewahi kuota anajifungua kwenye ndoto (kama amewahi basi Ana watoto kwenye ulimwengu mwingine)

3: muulize kama amewahi kuota ananyonyesha mkuu, kama jibu ni ndiyo basi ni tatizo hilo pia

4: muulize kama anaota anafanyq mapenzi kwenye ndoa na mwanaume asiyemjua

5: amewahi kuota yupo mtoni au anaogelea kwenye maji

6: akishika ujauzito mimba kabla kutoka siku moja kabla au hata siku mbili kabla kuna ndoto anaiota inahusiana na hiyo mimba mwambie akuambie hiyo ndoto!!

akikupa majibu hayo mkuu! Njoo inbox au nipigie kwa namba hii nikupe suluhisho la jambo hilo, nakuhakikishi mwakani majira kama haya utakuwa na mtoto
+255621750737


Note mkuu hiki ninachokuambia ni uhalisia, mimba kutoka hasa kwa kizazi chetu ni kawaida kama kuna tatizo, lakini sio mimba kutoka mfululizo, hiyo sio kawaida!!
 
Watoaji wa mimba unampeleka kwa mtaalamu wa kutoa mimba atakupa majibu, historically yawezekana ashatoaga sana mimba akaharibu mfumo wa puto ama jokofu la mtoto kwa tumbo
Kupata mimba hapo ntolee
 
Kati 1 hadi 6 hakuna alichokiota ndoto pekee aliota ni kwamba kwenye ndoto kama alikuwa omeondoka nyumbani wakati anarudi anamuuliza mtoto wake kindoto baba yako yupo? Ni mtoto wa miaka kama 6.
 
Je ana tabia ya kula kula madawa kila atakaposikia tumbo linamuuma ama shida nyingine bila kuenda hospital? Kuna wanawake akiumwa kidogo tu bila kwenda hospital anakimbilia kwenye ma fragil na Cipro apo mimba lazima itoke
Mgumu kunywa dawa.
 
Muda mwingine huwa linanijia swala la kwenda kwa waganga wa kienyeji manaa kabla kuwa na uyu mke wangu nilikuwa na mwanamke ambaye nilimuacha kwa kuwa tulishindwana kitabia na mambo mengi, hakuwa ameridhika nadhani mpaka sasa anakinyongo na mimi .
 
sperm dhaifu laweza kua tatizo
Sawa nitajaribu kufuatilia hilo japo sidhani, mana mimi nina watoto ambao niliwapata kabla ya kukutana na mke wangu na pia mimba nyingi nimetungisha kwa wanawake tofauti tofauti sema walizitoa kwa sababu zao, na hata nilipokuwa na mke wangu alikaa mwezi mmoja tu akawatiyari ameshika ujauzito.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…