Msaada: Mke wangu anataka tuwe tunaishi na mtoto wa dada yake kila wikiendi na likizo

Msaada: Mke wangu anataka tuwe tunaishi na mtoto wa dada yake kila wikiendi na likizo

Mtoto mmoja tu wa shemeji yako unakuwa na hofu na je ingekuwa ni mtu mzima ametia timu hana mishe ingekuaje? mtoto ameletwa azoeane na mtoto mwenzake na ndio maana anamleta weekend angalau asiwe mpweke. Komaa tu upate thawabu na mtoto wako apate kampani ya mtoto mwenzake ili akili ichangamke kuliko kukaa mwenyewe tu pamoja na nyie wazazi wake tu
Mkuu kwangu Wala Sina tatizo
 
Mpe onyo mama yake mwambie Watoto huamisha upendo kwa wazazi atakuja juta miaka ya baadae... Apambane na Mwanae kwa raha na Shida...
 
Mkuu kwangu Wala Sina tatizo
Mwache tu ila msisitizo hata kama analia kuondoka apelekwe tu hakuna namna ili mwenye mtoto awajibike kwa hizo siku nyingine mpaka hapo watoto wenyewe watakapozoeana wakikua wa kubwa na kuamua wenyewe kutembeleana
 
Analysis nzuri, mbona sie wa analojia tumecheza rede, kuruka kamba, mdako na wakati mwingine hata kuosha vyombo tulifanya lakini mwisho wa siku ilivyofika muda wa kujielewa tukaacha mdogo mdogo
Na Mimi nimecheza na watoto wa kiume rede na michezo mingine ya kike, pia nimecheza michezo ya kiume pia..one touch na mingine mingi. Mwisho wa siku wa kiume walibaki wanaume na wa kike tulibaki wa kike
 
Hujajua tu baraka zako zimefungwa na huyo mtoto...kunjua moyo mpokee Mungu atakubariki utashangaa.

Halafu kumbuka huyo sio mtu mzima ni mtoto tu
 
Wanaume ndo mnaproduce masingle mothers so saidianeni kulea, nini sasa mnalalamika?
Kulea mtoto ambaye unajua baba yake yupo anazungusha mbupu mjini hapa ni ujinga kabisa,linahitaji moyo sana..labda tu iwe huyo baba ana matatizo yanayofanya ashindwe kuhudumia.

Waafrika especially wabongo tunapenda kubebesha watu mizigo isiyowahusu..no wonder nchi yetu ipo karibia mkiani kwenye list za nchi na furaha duniani
 
Habari wakuu mke wangu ana dada yake ambaye kazalishwa mtoto mmoja na Dada yake hayuko katika ndoa, hajaolewa na aliyemzalishaalikuja akaoa mwanamke mwingne

Sasa basi mimi na mke wangu tuna mtoto mdogo wa umri sawa na mtoto wa Dada yake..mke wangu amekuwa akimchukua mtoto wa Dada yake kila ijumaa na kumrudisha Jumapili kwa Dada yake

Sasa akiwa anataka kumrudisha mtoto hataki kurudi kwa mama yake anataka kuendelea kuishi nasi wakati huo baba wa mtoto hana muda na mtoto wake kwa mahitaji ya mtoto yaani amuhudumii

Mama wa mtoto hataki hata siku moja kumpelekea mtoto kwa baba yake sababu ana mke mwingine atamtesa Sasa amekuwa akimsukumia kwangu kwa kigezo Cha kuja kucheza na mwenzake

Je, ni sawa baba wa mtoto yupo na mama wa mtoto kukataa mtoto kwenda kwa baba kutembea kwa kisingizio Cha mama wa kambo atamtesa hivyo kuona ni sahihi aende kwa mama yake mdogo hali yakuwa baba yupo na anajichana na maisha?
Mda fulani baraka Za mwenye Mungu mnapishana nazo mlangoni,kwani huyo mtoto ana kosa gani yeye ,mambo mengine hata huruma tumia mkuu,mtoto ni malaika huwezi kujua kesho yake

Sent from my Infinix X660B using JamiiForums mobile app
 
Habari wakuu mke wangu ana dada yake ambaye kazalishwa mtoto mmoja na Dada yake hayuko katika ndoa, hajaolewa na aliyemzalishaalikuja akaoa mwanamke mwingne

Sasa basi mimi na mke wangu tuna mtoto mdogo wa umri sawa na mtoto wa Dada yake..mke wangu amekuwa akimchukua mtoto wa Dada yake kila ijumaa na kumrudisha Jumapili kwa Dada yake

Sasa akiwa anataka kumrudisha mtoto hataki kurudi kwa mama yake anataka kuendelea kuishi nasi wakati huo baba wa mtoto hana muda na mtoto wake kwa mahitaji ya mtoto yaani amuhudumii

Mama wa mtoto hataki hata siku moja kumpelekea mtoto kwa baba yake sababu ana mke mwingine atamtesa Sasa amekuwa akimsukumia kwangu kwa kigezo Cha kuja kucheza na mwenzake

Je, ni sawa baba wa mtoto yupo na mama wa mtoto kukataa mtoto kwenda kwa baba kutembea kwa kisingizio Cha mama wa kambo atamtesa hivyo kuona ni sahihi aende kwa mama yake mdogo hali yakuwa baba yupo na anajichana na maisha?
Kuna watu mna roho za ajabu sana. Inavyoonyesha nyumbani kwako hata ndugu hawakanyagi kwa roho yako.
 
Mda fulani baraka Za mwenye Mungu mnapishana nazo mlangoni,kwani huyo mtoto ana kosa gani yeye ,mambo mengine hata huruma tumia mkuu,mtoto ni malaika huwezi kujua kesho yake

Sent from my Infinix X660B using JamiiForums mobile app
Mkuu Wala Sina tatizo namtoto wote nawatreat vizur tu tatizo lipo kwa mama yake kumkatalia mtoto kwenda hata kwababa yake kwakisingizio Cha kutomhudumia na mama wakambo
 
Back
Top Bottom