Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu ananimaliziaje Wala hanipunguziii chochoteSasa unashindwa nn kumbadilisha ,ww ni mchoyo na roho mbaya unaona kama huyo mtoto anakumalizia menu
Sent from my Infinix X660B using JamiiForums mobile app
Roho mbaya ipi mkuuKuna watu mna roho za ajabu sana. Inavyoonyesha nyumbani kwako hata ndugu hawakanyagi kwa roho yako.
We Lea mtoto wa mwanaume mwenzio utazani yeye kafariki, mwambie Shemeji yako amwambie mzazi mwenzio awe muajibikaji kwa mtotoHabari wakuu mke wangu ana dada yake ambaye kazalishwa mtoto mmoja na Dada yake hayuko katika ndoa, hajaolewa na aliyemzalishaalikuja akaoa mwanamke mwingne
Sasa basi mimi na mke wangu tuna mtoto mdogo wa umri sawa na mtoto wa Dada yake..mke wangu amekuwa akimchukua mtoto wa Dada yake kila ijumaa na kumrudisha Jumapili kwa Dada yake
Sasa akiwa anataka kumrudisha mtoto hataki kurudi kwa mama yake anataka kuendelea kuishi nasi wakati huo baba wa mtoto hana muda na mtoto wake kwa mahitaji ya mtoto yaani amuhudumii
Mama wa mtoto hataki hata siku moja kumpelekea mtoto kwa baba yake sababu ana mke mwingine atamtesa Sasa amekuwa akimsukumia kwangu kwa kigezo Cha kuja kucheza na mwenzake
Je, ni sawa baba wa mtoto yupo na mama wa mtoto kukataa mtoto kwenda kwa baba kutembea kwa kisingizio Cha mama wa kambo atamtesa hivyo kuona ni sahihi aende kwa mama yake mdogo hali yakuwa baba yupo na anajichana na maisha?
mbaya sana hiiMkuu Hana tabia zakishenzi Ila tatizo nikuwa mtoto kashaadapti michezo yakike maana hata umletee vitu vya mchezo wakiume havitumii mda wote unkuta anacheza michez yakike namwezio Sasa kwangu naona nitatizo Hilo maaan mama mtu Hana habar kwake nisawa
Mbona hukuweka Kama kiini ya thread yako?Hanipunguziii chochote Ila shida ipo kwa mtoto kaadapt michezo yakike mda wote nimichezo yakike tu
Mkuu watu wasikusumbue,sababu naona kila mtu anakwambia una roho mbaya,mi nakuelewa.Maisha ni yako na wewe ndo unajua unavyoyapanga na unayoweza kufanya.mtoto wazazi wake wawili wote wapo wazima na wanaweza kumwangalia mtoto wao,sasa kwa nini jukumu likuangukie wewe!anaanza kuja siku chache baadae utaambiwa akae kwako sababu kazoea,ndo waafrika tulivo,tunapenda kuyatafuta alafu mizigo kuwapelekea wengine.Kama unazaa jua na kulea,sio ujanja njanja na kudumaza wengine ki maisha.Haya mambo mi nayapinga,labda awe yatima na hana pa kwenda hapo kwa moyo wote nabeba jukumu,na hata kama wazazi hawana uwezo unawasaidia nao wajisaidie kama familia huku wakiwa na watoto zao.Mkuu Wala Sina tatizo namtoto wote nawatreat vizur tu tatizo lipo kwa mama yake kumkatalia mtoto kwenda hata kwababa yake kwakisingizio Cha kutomhudumia na mama wakambo
Mkuu Sasa ukiwa na watoto wako wajinsia tofaut siunashi nao unawalea unawafundisha je sawa na mtoto Alie lelewa namzazi huko hujui analelewa akaja ukaishi nae akawa natabia chafu hapo napo vipMbona hukuweka Kama kiini ya thread yako?
Ungekuwa na watoto wawili wakike na wa kiume na wakiume ndio kaadapt hizo tabia ungemfukuza huyo wa kike ?
For sure ...Yan ni ujinga mnoo kukubali kubeba mizigo ya watuKulea mtoto ambaye unajua baba yake yupo anazungusha mbupu mjini hapa ni ujinga kabisa,linahitaji moyo sana..labda tu iwe huyo baba ana matatizo yanayofanya ashindwe kuhudumia.
Waafrika especially wabongo tunapenda kubebesha watu mizigo isiyowahusu..no wonder nchi yetu ipo karibia mkiani kwenye list za nchi na furaha duniani
Huna roho mbaya mkuu,trust me! You are just using your head,wengine wanapenda kuwa emotional kwenye masuala muhimu ya kimaisha,mlee mwanao ili nae aone raha ya kuwa na baba,hujui utaondoka lini,maisha yenyewe mafupi.Roho mbaya ipi mkuu
Eti mtoto anakumalizia menu[emoji3][emoji3]Sasa unashindwa nn kumbadilisha ,ww ni mchoyo na roho mbaya unaona kama huyo mtoto anakumalizia menu
Sent from my Infinix X660B using JamiiForums mobile app
upo sahihi 100%.si ndo ile wageni wamekuja eti watoto wangu walale sebuleni wageni chumbani..Kwangu hiyo hakunaga..watoto wangu acha wajitanue room wageni sebuleni.Yaani watoto wangu wasubirie wengine walale ndo wao walale..Hell No!! kisa kuwafurahisha watu wakati uki ukifariki wanaanza kuwaangalia kama takataka hao hao uliowafadhili na kuwafurahisha.Huna roho mbaya mkuu,trust me! You are just using your head,wengine wanapenda kuwa emotional kwenye masuala muhimu ya kimaisha,mlee mwanao ili nae aone raha ya kuwa na baba,hujui utaondoka lini,maisha yenyewe mafupi.
Mtoto kuja tu weekend ndio imekuwa nongwa dah wabongo siku hizi bajet imekuwa kali sana.Sio wabinafsi kila mtu na maisha yako si utumie cha kwako
Sent from my SM-N960U using JamiiForums mobile app
Mkuu we umenielewa vyema Sana imagine mtoto wako unakuja kumchukua jumapili kwa ajili jumatatu aende shule mtoto anakugomea kabisa hataki kwenda abaki huku huku..ndo maana nkawa nawaelewesha wachangiaji kuwa mtoto angekua amezoeshwa kwenda hata kwa baba yake pia Hali Kama hiyo isingekuepoHuna roho mbaya mkuu,trust me! You are just using your head,wengine wanapenda kuwa emotional kwenye masuala muhimu ya kimaisha,mlee mwanao ili nae aone raha ya kuwa na baba,hujui utaondoka lini,maisha yenyewe mafupi.
Sasa umeleta thread ya Nini wakati tayari unauamuzi unaouona sahihi. Si ungemtimua tu .Mkuu Sasa ukiwa na watoto wako wajinsia tofaut siunashi nao unawalea unawafundisha je sawa na mtoto Alie lelewa namzazi huko hujui analelewa akaja ukaishi nae akawa natabia chafu hapo napo vip
Mkuu wenimiongoni mwa watu walionielewa humu..ukiachilia mbali tabia mtoto ambazo ameziadaptmimi ki ukweli sio kwamba uchoyo!! nisingeweza kukaa na mtoto wa mtu ambae dingi na maza wanakula maisha..mimi nalea mtoto wa mtu.Kila mtu anashida zake..usijifanye sana mwema!!
Ndo ile sijui wageni wamekuja alafu eti watoto wako unawaambia walale subeleni alafu wageni walale chumbani kwa watoto!! Siji kufanya upuuzi huu..let my kids wa enjoy baba yao nikiwa hai..sio niwalaze sebuleni!!
[emoji3] nakumbuka kuna jamaa humu alileta uzi dingi yake alivowapeleka wageni kulalia vitanda vya hospital kesho wakasepa!! katika maisha kuna msemo unasema" Kama ukijua ni jinsi gani watu huwa wanawasahau marehemu haraka,Lazima utaacha kuwafurahisha wao"
Nimetolea mfano kwanamna ulivo niukiza.sio kwamba nae huyo mtoto yuko hivo Wala nimtoto Safi tu kitabiaSasa umeleta thread ya Nini wakati tayari unauamuzi unaouona sahihi. Si ungemtimua tu .