Msaada: Mke wangu anataka tuwe tunaishi na mtoto wa dada yake kila wikiendi na likizo

Msaada: Mke wangu anataka tuwe tunaishi na mtoto wa dada yake kila wikiendi na likizo

Kwahiyo tumsuse mtoto kwasababu baba yake yupo na hataki kuwajibika?
.
.
Wanaume mna matatizo...mtu kampa mimba mtoto wa kike kamsababishia usingle maza (hatufahamu sababu za kutoishi pamoja, cases zipo nyingi)...bidada kaamua kusaidiana na mwenzake mtoto apate malezi hlf anatokea mwanaume mwingine kuleta vikwazo, Wala hajaombwa amsomeshe ni chakula tu.
Huwa nashangaa sana mnavyosema wanawake hawapendani lkn wanaume ndo hawajawahi kupendana, kutwa kuharibu jamii badala ya kurekebisha. Nyie ndio source ya jamii mbovu.
Mkuu Kuna mwanamke wamiaka29 anaweza kupewa mimba bila kutaka
 
Kwahiyo tumsuse mtoto kwasababu baba yake yupo na hataki kuwajibika?
.
.
Wanaume mna matatizo...mtu kampa mimba mtoto wa kike kamsababishia usingle maza (hatufahamu sababu za kutoishi pamoja, cases zipo nyingi)...bidada kaamua kusaidiana na mwenzake mtoto apate malezi hlf anatokea mwanaume mwingine kuleta vikwazo, Wala hajaombwa amsomeshe ni chakula tu.
Huwa nashangaa sana mnavyosema wanawake hawapendani lkn wanaume ndo hawajawahi kupendana, kutwa kuharibu jamii badala ya kurekebisha. Nyie ndio source ya jamii mbovu.
Umeandika kwa hasira bila kumsoma vizuri mwandishi,mwenye mtoto si msichana mdogo,pia huyo mama mwenye mtoto hataki kumhusisha malezi baba mtoto sababu huyo jamaa yupo na mwanamke mwengine,na jamaa hajali kiivyo.mwandishi asilazimishwe majukumu.
 
Kwahiyo tumsuse mtoto kwasababu baba yake yupo na hataki kuwajibika?
.
.
Wanaume mna matatizo...mtu kampa mimba mtoto wa kike kamsababishia usingle maza (hatufahamu sababu za kutoishi pamoja, cases zipo nyingi)...bidada kaamua kusaidiana na mwenzake mtoto apate malezi hlf anatokea mwanaume mwingine kuleta vikwazo, Wala hajaombwa amsomeshe ni chakula tu.
Huwa nashangaa sana mnavyosema wanawake hawapendani lkn wanaume ndo hawajawahi kupendana, kutwa kuharibu jamii badala ya kurekebisha. Nyie ndio source ya jamii mbovu.
Hakuna ustawi wa jamii?..baba asuse kumlea mtoto wake kisa kaoa mke mwingine?..hell no,lazima awajibishwe

Na mimi sijazungumzia hii ya huyu mtoto kuja weekends na likizo..nimeenda mbali na kuangalia kinachoweza kuja kutokea baadae,kwamba malezi ya mtoto yakawa ni jukumu rasmi la familia ya jamaa..kitu ambacho kimsingi sio kizuri wazazi wake wapo,wafanye co-parenting
 
Mkuu Hana tabia zakishenzi Ila tatizo nikuwa mtoto kashaadapti michezo yakike maana hata umletee vitu vya mchezo wakiume havitumii mda wote unkuta anacheza michez yakike namwezio Sasa kwangu naona nitatizo Hilo maaan mama mtu Hana habar kwake nisawa
MWAnao tabia za kike anazo kwenye gene zake!
Kwann huyo wa kike asiadapt tabia za kiume???
Utapompeleka kwa wakiume jiandae NAO wamdonoe
 
Mkuu ushazungumzia wangu wamwingne Kama anakulia ktk tabia chafu utakubali awe mda wote na mwanao
MWAnao ndo anakulia tabia chafu!!
Anazungukwa na tabia za kike ushasema!
Afu kuonana na huyo binti ni siku 3 tu ktk 7 maanake muda mwingi yupo ktk uchafu
 
Wacha kufikiria unamlelea huyo mwanaume mtoto na aanza kufikiria kuwa unalea mtoto wa shemegi yako. Hakuna ubaya wowote, kama uwezo unao mwache akae ata milele, msomeshe, mhudumie.

Huwa mnanishangaza sana watu kama nyie, unapooa hio familia ya mkeo wanakuwa ndugu zako tena, kuwasaidia unapokuwa na uwezo si vibaya kama uwezo huna, basi mueleze tu mkeo, na kama mamake anaweza kumhudumia mwenyewe basi mwache akae tu.

Watu waache kufikiria kuwa familia yako ni wewe na mkeo na watoto wako tu.
 
Habari wakuu mke wangu ana dada yake ambaye kazalishwa mtoto mmoja na Dada yake hayuko katika ndoa, hajaolewa na aliyemzalishaalikuja akaoa mwanamke mwingne

Sasa basi mimi na mke wangu tuna mtoto mdogo wa umri sawa na mtoto wa Dada yake..mke wangu amekuwa akimchukua mtoto wa Dada yake kila ijumaa na kumrudisha Jumapili kwa Dada yake

Sasa akiwa anataka kumrudisha mtoto hataki kurudi kwa mama yake anataka kuendelea kuishi nasi wakati huo baba wa mtoto hana muda na mtoto wake kwa mahitaji ya mtoto yaani amuhudumii

Mama wa mtoto hataki hata siku moja kumpelekea mtoto kwa baba yake sababu ana mke mwingine atamtesa Sasa amekuwa akimsukumia kwangu kwa kigezo Cha kuja kucheza na mwenzake

Je, ni sawa baba wa mtoto yupo na mama wa mtoto kukataa mtoto kwenda kwa baba kutembea kwa kisingizio Cha mama wa kambo atamtesa hivyo kuona ni sahihi aende kwa mama yake mdogo hali yakuwa baba yupo na anajichana na maisha?
Wee nae acha uchoyo
Huwezi kujua maishani nani atakusaidia au kumsaidia mwanao
 
Mkuu lengo siko uko mtoto kashaanza kubeba tabia zakike sababu ya mda mwingi yupo nawakike namama harekebishi kwake nisawa
Samaki hukunjwa angali mbichi... wewe kama mwanaume na kama mtoto wa kiume basi muweke karibu na wewe sana. Ukitoka mchukue kidogo kutembea nae awe anakaa na wanaume wenzake au hata mtaani km wapo size yake yake muweke acheze nao.

Huyo ni mwanao na umlee kama mwanao uliemzaa.
 
Baba na mama wa mtoto wake chini wajue watasaidiana vip kumlea mtoto wao,sababu wao ndo wazazi wake na ndo walomleta hapa duniani,wasikupe stress wewe.
sio mtoto wao, mtoto wa kike wa miaka 6 ni wa mke wa Malembeka soma Kasie hajajibiwa
Basi kuna asilimia huyo mtoto wa kike ni wa mkeo kabla hamjakutana.

Mkuu Kuna mwanamke wamiaka29 anaweza kupewa mimba bila kutaka
malembeka 18 , mm nakuunga mkono sana na kweli silei mtoto wa mtu, kwa hiyo mtoto mrudishe kwao kwa kumuita baba wa mtoto pembeni au hata Bar
au mwambie mkeo hapo ni mwisho akueleze mtoto ni wa nani
km ni mimi ningetoka na hyo dada wa mkeo kwa matembezi ya mara kwa mara ungegundua mengi Mtoto wa kike wa miaka 6 sio wake ni wa mkeo,
fanya hivyo na uvumilie tupe mrejesho, Dada mtu hawezi acha penda mwanae
 
Mkuu Kuna mwanamke wamiaka29 anaweza kupewa mimba bila kutaka
Tatizo sio kupewa mimba, tunafahamu jinsi mahusiano yalivyo..both me na ke ni tatizo, kushindwa kuoana ni Jambo lingine. Lakini inapotokea hivyo basi tujifunze kurekebisha baadhi ya mambo ili kukuza kizazi bora na sio kukomoana. Mwisho wa siku watoto ndio wanapata madhara kwa ubinafsi wetu.
Najua hutanielewa maana unajifikiria wewe tu na familia yako..huwazi watoto wengine waliokosa nafasi ya kuishi na wazazi wote wawili.
Si lazima ugharamie mtoto ambao sio wa kwako lakini basi jaribu kuvumilia mambo madogo Kama hayo. Mtoto atakua na maisha yatasonga..acha kumtenga.
 
Kulea mtoto ambaye unajua baba yake yupo anazungusha mbupu mjini hapa ni ujinga kabisa,linahitaji moyo sana..labda tu iwe huyo baba ana matatizo yanayofanya ashindwe kuhudumia.

Waafrika especially wabongo tunapenda kubebesha watu mizigo isiyowahusu..no wonder nchi yetu ipo karibia mkiani kwenye list za nchi na furaha duniani
Huyu mwenzetu hajaombwa alee mtoto wa mtu, bali ni mtoto wa shemeji yake kuja mara kwa mara.
 
Back
Top Bottom