Msaada: Mke wangu anataka tuwe tunaishi na mtoto wa dada yake kila wikiendi na likizo

Msaada: Mke wangu anataka tuwe tunaishi na mtoto wa dada yake kila wikiendi na likizo

Habari wakuu mke wangu ana dada yake ambaye kazalishwa mtoto mmoja na Dada yake hayuko katika ndoa, hajaolewa na aliyemzalishaalikuja akaoa mwanamke mwingne

Sasa basi mimi na mke wangu tuna mtoto mdogo wa umri sawa na mtoto wa Dada yake..mke wangu amekuwa akimchukua mtoto wa Dada yake kila ijumaa na kumrudisha Jumapili kwa Dada yake

Sasa akiwa anataka kumrudisha mtoto hataki kurudi kwa mama yake anataka kuendelea kuishi nasi wakati huo baba wa mtoto hana muda na mtoto wake kwa mahitaji ya mtoto yaani amuhudumii

Mama wa mtoto hataki hata siku moja kumpelekea mtoto kwa baba yake sababu ana mke mwingine atamtesa Sasa amekuwa akimsukumia kwangu kwa kigezo Cha kuja kucheza na mwenzake

Je, ni sawa baba wa mtoto yupo na mama wa mtoto kukataa mtoto kwenda kwa baba kutembea kwa kisingizio Cha mama wa kambo atamtesa hivyo kuona ni sahihi aende kwa mama yake mdogo hali yakuwa baba yupo na anajichana na maisha?
Kuna wanaume wa ajabu sana dunia hii. Mmoja wapo Ni Wewe. Huyo mtoto anaongeza gharama ipi hapo nyumbani kwako anapokuja likizo na weekend?? Khaaaa
 
Bwana shemeji Lea tuu huyo mToto kwa hyo part time tuu si vbaya

Akihamia apo ndio itakuw changamoto kuja kumsomesha Kama unakipato kdogo au Kama mwanao unatak asome private


Ila kwa mfumo huo vumilia tuu maan hao watoto wa nje unawez kuta jamaa Hana unakika nae huyo mToto labda kutokan na mwenendo wa huyo mama ake kpnd hichoo
 
Habari wakuu mke wangu ana dada yake ambaye kazalishwa mtoto mmoja na Dada yake hayuko katika ndoa, hajaolewa na aliyemzalishaalikuja akaoa mwanamke mwingne

Sasa basi mimi na mke wangu tuna mtoto mdogo wa umri sawa na mtoto wa Dada yake..mke wangu amekuwa akimchukua mtoto wa Dada yake kila ijumaa na kumrudisha Jumapili kwa Dada yake

Sasa akiwa anataka kumrudisha mtoto hataki kurudi kwa mama yake anataka kuendelea kuishi nasi wakati huo baba wa mtoto hana muda na mtoto wake kwa mahitaji ya mtoto yaani amuhudumii

Mama wa mtoto hataki hata siku moja kumpelekea mtoto kwa baba yake sababu ana mke mwingine atamtesa Sasa amekuwa akimsukumia kwangu kwa kigezo Cha kuja kucheza na mwenzake

Je, ni sawa baba wa mtoto yupo na mama wa mtoto kukataa mtoto kwenda kwa baba kutembea kwa kisingizio Cha mama wa kambo atamtesa hivyo kuona ni sahihi aende kwa mama yake mdogo hali yakuwa baba yupo na anajichana na maisha?
Akili inanituma kuwa huyo ni mwanao wa kufikia. Onge na mkeo vzuri
 
Watu wengi wamemnanga mleta mada lakini yatupasa kusoma kwa makini na kuelewa lengo la mleta mada.

1. Mleta mada anajaribu kuelewesha umma kwamba yatupasa kuwajibika na si kutupia mizigo yetu kwa wengine.

2. Pamoja na kwamba wazazi wakitengana, haina maana watoto wanatengana na wazazi wao, mama wa mtoto (shemela wa mleta mada), alipaswa kumjamiisha mtoto na baba yake.

Ushauri:
Mleta mada, hiyo hali isikupe shida maana huyo ni mtoto tu na yakupasa kumchukulia kwa upendo kama mwanao.
 
Habari wakuu mke wangu ana dada yake ambaye kazalishwa mtoto mmoja na Dada yake hayuko katika ndoa, hajaolewa na aliyemzalishaalikuja akaoa mwanamke mwingne

Sasa basi mimi na mke wangu tuna mtoto mdogo wa umri sawa na mtoto wa Dada yake..mke wangu amekuwa akimchukua mtoto wa Dada yake kila ijumaa na kumrudisha Jumapili kwa Dada yake

Sasa akiwa anataka kumrudisha mtoto hataki kurudi kwa mama yake anataka kuendelea kuishi nasi wakati huo baba wa mtoto hana muda na mtoto wake kwa mahitaji ya mtoto yaani amuhudumii

Mama wa mtoto hataki hata siku moja kumpelekea mtoto kwa baba yake sababu ana mke mwingine atamtesa Sasa amekuwa akimsukumia kwangu kwa kigezo Cha kuja kucheza na mwenzake

Je, ni sawa baba wa mtoto yupo na mama wa mtoto kukataa mtoto kwenda kwa baba kutembea kwa kisingizio Cha mama wa kambo atamtesa hivyo kuona ni sahihi aende kwa mama yake mdogo hali yakuwa baba yupo na anajichana na maisha?
Mambo madogo sana kaanae mwana,msaidie huyo mtoto
 
Watu wengi wamemnanga mleta mada lakini yatupasa kusoma kwa makini na kuelewa lengo la mleta mada.

1. Mleta mada anajaribu kuelewesha umma kwamba yatupasa kuwajibika na si kutupia mizigo yetu kwa wengine.

2. Pamoja na kwamba wazazi wakitengana, haina maana watoto wanatengana na wazazi wao, mama wa mtoto (shemela wa mleta mada), alipaswa kumjamiisha mtoto na baba yake.

Ushauri:
Mleta mada, hiyo hali isikupe shida maana huyo ni mtoto tu na yakupasa kumchukulia kwa upendo kama mwanao.
hatujamnanga jamaa yako ila hataki kupeleleza ukweli anasingizia ni shemeji na sio shemale (she-male ni mwanamke mwenye jinsia ya kiume)
ameambiwa huyo binti ni wa mke wake aliyemuoa na kumzalia kidume kwa hiyo ni mtoto wa pili kwa mkewe
ampokee na amlee asimtupie dada yake wala mume aliyeoa, akatafute ukweli ndipo aje, anashindwaje kumvaa huyo shemeji kupata ukweli?
 
Fika dawati la jinsia kutoa malalamiko ili baba wa huyo mtoto aweze kuwajibishwa atimize majukumu yake.

Ukishindwa hilo huyo mama wa mtoto geuza mchepuko wako na ikibid tia mimba kabisa ili ku activate akili ya mkeo
 
Aisee hako katoto kanakubana nini? Kuja kucheza kajuane na ndugu ambae ni mtoto wako unaona nongwa aiseee ndugu jifunze upendo
 
Hanipunguziii chochote Ila shida ipo kwa mtoto kaadapt michezo yakike mda wote nimichezo yakike tu

Wewe acha visingzio hata sie tulicheza na watoto wa kiume na hawakuadopt mambo ya kike wala sisi kuiga ya kiume
Acha uchoyoo
 
Mkuu nawe hujaelewa vizur mtoto kuja weekend sio nongwa shida wazazi kutompeleka mtoto kwa baba hata siku moja nababa yupo eneo Hilo hilo kwakisingizio Cha mama wakambo na kutomhudumia mtoto ipasavyo

Wewe hiyo ya kutompeleka mtoto kwa baba yake haikuhusu hapo anakuja kwa mama ake mdogo
We ushasema baba wa mtoto hajali unataka wamepleke ili iweje
Penda ndugu wa mkeo hata kiasi jamani acha ubinafsi
Sisi wengine tumekua hadi na watoto wa majirani wakahamia kwetu mpaka wamekuwa na hakuna shida
 
  • Thanks
Reactions: nao
ahsante mitandao, wanaume walifanikiwa sana kuficha vitabia vyao zamani, siku hizi aaah wanayamwaga tu, mlifanikiwa kuiaminisha jamii kuwa wanawake ndiyo wenye tabia hizo peke yao.
 
Habari wakuu mke wangu ana dada yake ambaye kazalishwa mtoto mmoja na Dada yake hayuko katika ndoa, hajaolewa na aliyemzalishaalikuja akaoa mwanamke mwingne

Sasa basi mimi na mke wangu tuna mtoto mdogo wa umri sawa na mtoto wa Dada yake..mke wangu amekuwa akimchukua mtoto wa Dada yake kila ijumaa na kumrudisha Jumapili kwa Dada yake

Sasa akiwa anataka kumrudisha mtoto hataki kurudi kwa mama yake anataka kuendelea kuishi nasi wakati huo baba wa mtoto hana muda na mtoto wake kwa mahitaji ya mtoto yaani amuhudumii

Mama wa mtoto hataki hata siku moja kumpelekea mtoto kwa baba yake sababu ana mke mwingine atamtesa Sasa amekuwa akimsukumia kwangu kwa kigezo Cha kuja kucheza na mwenzake

Je, ni sawa baba wa mtoto yupo na mama wa mtoto kukataa mtoto kwenda kwa baba kutembea kwa kisingizio Cha mama wa kambo atamtesa hivyo kuona ni sahihi aende kwa mama yake mdogo hali yakuwa baba yupo na anajichana na maisha?
Mambo ya kifamilia haya...
Hatupaswi kuyaingilia.......
 
Unaroho mbaya mno..wewe ni mchoyo wa chakula mtu akila chakula chako ni kama roho inataka kuachana na mwili.shenzi sana we jamaa.kinyesi kitarajiwa kinakutoa imani???😡😡😡😡
Punguza hasira kidogo, warembo Kama wewe hapaswi kukasirika sana.
 
Jinga sana assume wote ni watoto wako ingekua busara kuwalea wote acha ukabaila vuzi wewewe
 
Punguza hasira kidogo, warembo Kama wewe hapaswi kukasirika sana.
Mkuu hakuna mtu namchukia hadharani kama mtu mchoyo wa chakula😡😡😡

Ngoja nikupe hiki kisa kinanihusu mimi Chakorii.

mwaka 1999 nakumbuka kabisa mtoto wa babangu mdogo alikuwa amefikish 40 tangu kuzaliwa kwake...so kulikuwa kuna tafrija kidogo lakni shughuli ilikuwa ni kumbwa tu..watu wengi walikuwepo.
Nakumbuka watu walikuwa wameshaanza kula(kuna kitu mama alinituma nakumbuka)so wakati wameanza kula sikuwepo.

Niliporudi eneo la tukio njaa ilikuwa inauma nakumbuka..nilimkuta binamu yangu mtoto wa Dadake na baba(yeye alikuwa upande wa chakula).nikamfuata nikamwambia binamu njaa inauma sijakula bado...akaniangalia hakunijibu(kuku kuwa kuna watoto wengine wa mtaani na wenyewe walikuw hawajala..so ni kama walikuwa wananisikilizia)

Nikamuona binamu anachukua ungo(kuu kuu kidogo)akatupakulia makoko (chakula kingine kizuri kilikuwepo.nilikiona) tulikula lkni hakuna siku nilikuwa mnyonge kama siku ile😢😢😢niliumia mnooooo..hapo ndipo siku niliyogundua kuwa ninakuwa yangu ni mchoyo wa chakula.

Sikuwahi kusema Kwa yeyote zaidi ya leo hapa JF na hakuwahi kujua kamwe.
Miaka ikapita.mwaka jana tulikuwa tunaenda mkoa fulani kwenye msiba ni mbali kabisa mkoani huko..hakuna na nauli na anataka kwenda kuzika,akaniomba nimkopeshe kiasi fulani cha pesa ni kidogo tu ☹️☹️☹️Ghafla nikakumbuka mwa 1999
Nikajawa namajonzi sijui kwa nini.😩😩
Sikumkopesha ile hela bali nilimpa.nilimwambia nitakulipia nauli usijali mpka tutakakofika msibani.
Sikuwahi kuwa na furaha nae..

So kila nikimuona mtu mchoyo wa chakula ninakasirika na kumuona ni fukara wa nafsi.
Kwahiyo,mtu akileta uchoyo wa chakula na kama nammudu namchana au ninamziria chakula chake ale mwenyewe mpka ashibe au nitoe niwape mbwa wale😒😒😒.

Siwezi ficha hasira kwa mtu mchoyo...niko hivyo.
 
Back
Top Bottom