Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
yAAAH!Big sis; hakiiiiiiii...........
I remember kuna siku ulisimulia kitu like mkiwa wadogo; mdogo wako alibanwa na pumu na mlikuwa mmefungiwa sijui pasipo msaada wowote; ikakubidi uvunje mlango kuhakikisha mdogo wako anatibiwa (kama nakumbuka vizuri ulimshikia panga mlezi wenu alipokuwa harespond chochote kuhusu kumpeleka mdogo wako hospital).......Ilinifanya nione how much ulikuwa unampenda mdogo ako; how exactly big sisters are.
Tunajikutaga sisi ndiyo kama mama wa wadogo zetu na sio madada tena. I know what she/he meant to you; she/he was the only thing left for you after you both lost your parents; you found strength and purpose to live just for her/him. I can imagine how her/her death has hit you. Daah yaani naona hata kutype "pole sana" ni kama daah. Mungu akutie nguvu dada mkubwa.
Please you need to do a closure. Hiyo hatia uliyonayo kwamba maybe hukumlinda ipasavyo ndiyo maana imefariki; inabidi iondoke sasa. Jisamehe kabisa
Kama unaweza kwenda alipozikwa; fika frequently. Mimina moyo wako; ongea yote ambayo unatamani umwambie hata kama hakusikii; I know utalia vya kutosha na kwa kiasi fulani utapata amani ya moyo.
Wakati wa mtu kufa ukifika; hakuna utakachoweza kufanya kuzuia mauti yasimpate. Amini tu wakati wake ulifika; na hata asingekufa kwa presha; angekuwa tu hata kwa ajali au malaria. His/her time was simply up.
Hata katika machozi na uchungu wako mkuu ulionao; usiache kumshukuru Mungu. Mshukuru Mungu hata alikupa Neema ya kuwa na mdogo wako kwa miaka yote hiyo aliyokupa; imagine asingekuwepo na huku wazazi hawakuwepo pia. Mshukuru Mungu amekuachia na mtoto wake wa pekee ambaye ndiyo kumbukumbu halisi ya mdogo wako. Mshukuru Mungu hata umepata nafasi ya kumuona kwa mara ya mwisho na kumpumzisha kwenye nyumba yake ya milele; at least unaweza kwenda kumtembelea kaburini kwake na ukafeel uwepo wake. Imagine wale ambao wapendwa wao wametoweka hawajulikani hata walipo; whether wapo hai au wamekufa; imagine familia zao zinaishi kwenye sintofahamu ya namna gani au unaambiwa tu ndugu yako wamepata ajali ya meli imezama, na miili yao haionekani. So ukija kuangalia; bado zipo sababu nyingi tu za kumshukuru Mungu katika hili pia. Take heart big sis; Mungu atakuvusha katika hili. Usiache kuomba, usiache kuongea na watu; toa yote yaliyo moyoni mwako. It shall be well with you big sis
Sent using Jamii Forums mobile app
Upe muda nafasi,hata kama itachukua miaka kadhaa lakini ipo siku utakuja kuwa sawa na utaweza kwenda hata kaburini kwake.Wanajamvi, ninaomba msaada wa dhati kabisa.
Mdogo wangu wa pekee alifariki mwaka jana. Tulizaliwa wawili tu, wazazi pia walishafariki. Baada ya wazazi kufariki, nilikuwa mama yake, alikuwa baba yangu.
Fact kuwa familia hii nimebaki peke yangu, kila nikiwaza inanistrike vibaya mno! Sijui kama nimekubali kuwa hayupo tena au la.
Naogopa kukubali kuwa nimebaki peke yangu. Ninajikuta kama mahala fulani sikumlinda. Alifariki ghafla, nikaambiwa ni presha. Toka tumezika, nimeshindwa kurudi makaburini.
Ninajihisi upweke mkuu, tulikuwa tukishirikiana kufanya mambo mengi pamoja. Hakika sijui namna sahihi ya kudeal na hii trauma.
Mwenye mbinu na aliyepita same situation anisaidie!
Nina sali, ninamwombea, sijioni kuwa sawa.
Pole kwa kufiwa na watu wako wa karibu shemela wanguWanajamvi, ninaomba msaada wa dhati kabisa.
Mdogo wangu wa pekee alifariki mwaka jana. Tulizaliwa wawili tu, wazazi pia walishafariki. Baada ya wazazi kufariki, nilikuwa mama yake, alikuwa baba yangu.
Fact kuwa familia hii nimebaki peke yangu, kila nikiwaza inanistrike vibaya mno! Sijui kama nimekubali kuwa hayupo tena au la.
Naogopa kukubali kuwa nimebaki peke yangu. Ninajikuta kama mahala fulani sikumlinda. Alifariki ghafla, nikaambiwa ni presha. Toka tumezika, nimeshindwa kurudi makaburini.
Ninajihisi upweke mkuu, tulikuwa tukishirikiana kufanya mambo mengi pamoja. Hakika sijui namna sahihi ya kudeal na hii trauma.
Mwenye mbinu na aliyepita same situation anisaidie!
Nina sali, ninamwombea, sijioni kuwa sawa.
Inategemea una miaka mingapi na wewe ni wa jinsia gani.Wanajamvi, ninaomba msaada wa dhati kabisa.
Mdogo wangu wa pekee alifariki mwaka jana. Tulizaliwa wawili tu, wazazi pia walishafariki. Baada ya wazazi kufariki, nilikuwa mama yake, alikuwa baba yangu.
Fact kuwa familia hii nimebaki peke yangu, kila nikiwaza inanistrike vibaya mno! Sijui kama nimekubali kuwa hayupo tena au la.
Naogopa kukubali kuwa nimebaki peke yangu. Ninajikuta kama mahala fulani sikumlinda. Alifariki ghafla, nikaambiwa ni presha. Toka tumezika, nimeshindwa kurudi makaburini.
Ninajihisi upweke mkuu, tulikuwa tukishirikiana kufanya mambo mengi pamoja. Hakika sijui namna sahihi ya kudeal na hii trauma.
Mwenye mbinu na aliyepita same situation anisaidie!
Nina sali, ninamwombea, sijioni kuwa sawa.
Na ndo kazi yao watu wana ma masters n.k ili kutibu watu kama hao,ww hujakumbwa na tatizo la kisaikolojia, unadhani kulala njaa siku moja ni tatizo? Wanasaikolojia ni muhimu ngoja yakufike ndo utajuwa wana umuhimu gani?Atakuwa ni mwanasaikolojia bila shaka. Hivyo anatengeneza mazingira ya kazi kupitia matatizo ya mtu.