Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Katika umri wangu huu, unafikiri nimepitia mapito yaliyonyooka tu!! Kwa taarifa yako, nimepitia mapito mengi tu ya kimaisha! Na kwa uwezo wa Mwenyezi Mungu, nimeweza kuyashinda.Na ndo kazi yao watu wana ma masters n.k ili kutibu watu kama hao,ww hujakumbwa na tatizo la kisaikolojia, unadhani kulala njaa siku moja ni tatizo? Wanasaikolojia ni muhimu ngoja yakufike ndo utajuwa wana umuhimu gani?
Hakuna fani isiyotegemea MATATIZO ya watu ili iwepo, nitajie fani gani haitatui matatizo ya watu? Hata mpira upo kuleta furaha, kinyumw cha furaha ni nini!?
Pole sanaWanajamvi, ninaomba msaada wa dhati kabisa.
Mdogo wangu wa pekee alifariki mwaka jana. Tulizaliwa wawili tu, wazazi pia walishafariki. Baada ya wazazi kufariki, nilikuwa mama yake, alikuwa baba yangu.
Fact kuwa familia hii nimebaki peke yangu, kila nikiwaza inanistrike vibaya mno! Sijui kama nimekubali kuwa hayupo tena au la.
Naogopa kukubali kuwa nimebaki peke yangu. Ninajikuta kama mahala fulani sikumlinda. Alifariki ghafla, nikaambiwa ni presha. Toka tumezika, nimeshindwa kurudi makaburini.
Ninajihisi upweke mkuu, tulikuwa tukishirikiana kufanya mambo mengi pamoja. Hakika sijui namna sahihi ya kudeal na hii trauma.
Mwenye mbinu na aliyepita same situation anisaidie!
Nina sali, ninamwombea, sijioni kuwa sawa.
Wanajamvi, ninaomba msaada wa dhati kabisa.
Mdogo wangu wa pekee alifariki mwaka jana. Tulizaliwa wawili tu, wazazi pia walishafariki. Baada ya wazazi kufariki, nilikuwa mama yake, alikuwa baba yangu.
Fact kuwa familia hii nimebaki peke yangu, kila nikiwaza inanistrike vibaya mno! Sijui kama nimekubali kuwa hayupo tena au la.
Naogopa kukubali kuwa nimebaki peke yangu. Ninajikuta kama mahala fulani sikumlinda. Alifariki ghafla, nikaambiwa ni presha. Toka tumezika, nimeshindwa kurudi makaburini.
Ninajihisi upweke mkuu, tulikuwa tukishirikiana kufanya mambo mengi pamoja. Hakika sijui namna sahihi ya kudeal na hii trauma.
Mwenye mbinu na aliyepita same situation anisaidie!
Nina sali, ninamwombea, sijioni kuwa sawa.
Sawa. Hongera, so kila mtu anajuwa ataponea wapi sio kila mtu afate ulipo uponyaji wa mwingine dunia pana sana hii mkuu. Nadhani hatuwezi kufanana.Katika umri wangu huu, unafikiri nimepitia mapito yaliyonyooka tu!! Kwa taarifa yako, nimepitia mapito mengi tu ya kimaisha! Na kwa uwezo wa Mwenyezi Mungu, nimeweza kuyashinda.
Wanajamvi, ninaomba msaada wa dhati kabisa.
Mdogo wangu wa pekee alifariki mwaka jana. Tulizaliwa wawili tu, wazazi pia walishafariki. Baada ya wazazi kufariki, nilikuwa mama yake, alikuwa baba yangu.
Fact kuwa familia hii nimebaki peke yangu, kila nikiwaza inanistrike vibaya mno! Sijui kama nimekubali kuwa hayupo tena au la.
Naogopa kukubali kuwa nimebaki peke yangu. Ninajikuta kama mahala fulani sikumlinda. Alifariki ghafla, nikaambiwa ni presha. Toka tumezika, nimeshindwa kurudi makaburini.
Ninajihisi upweke mkuu, tulikuwa tukishirikiana kufanya mambo mengi pamoja. Hakika sijui namna sahihi ya kudeal na hii trauma.
Mwenye mbinu na aliyepita same situation anisaidie!
Nina sali, ninamwombea, sijioni kuwa sawa.
Pole sana MkanaaniMungu akutie nguvu mkuu uweze kuachilia maumivu na kuwa sawa japo sio rahisi ila utakua sawa tu. Kwa upande wangu niliondokewaga na wazazi wote wawili mwaka mmoja walipishana mwezi tu, nikiwa darasa la pili, na hapo nilibaki peke angu mdogo angu alikufa alivozaliwa tu.
Muda mwingine nasemaga tu Mungu asante uliwachukua mapema nishazoea kuwa alone kwamba sina wazazi wala ndugu wa damu (japo natamani dogo angekua hai) , Sawa unakua na ndugu wengine but hamuwezi kuwa na bond kama ya ndugu yako wa damu.
Usijilaumu sana wewe sio sababu ya yeye kufa ni kazi ya Mungu tu.