MSAADA: Mtoto amefaulu Sekondari ya AHMES, lakini shule aliyomaliza darasa la saba imefutiwa matokeo

MSAADA: Mtoto amefaulu Sekondari ya AHMES, lakini shule aliyomaliza darasa la saba imefutiwa matokeo

Mpigamimba

Senior Member
Joined
Nov 26, 2022
Posts
198
Reaction score
237
Wakuu Msaada.

Kijana wangu amemaliza shule ya msingi iliyofutiwa matokeo. Kwenye interview zote nne nilizompeleka amefaulu. Matokeo ya la Saba yaliyotolewa muda si mrefu shule yake imekubwa na tatizo Hilo.

Je, akiendelea na sekondari kwa matokeo yapi ya la Saba yatatumika? Kwa maana kwamba ana uhalali wa kuendelea na private?

Kwenye taarifa za Baraza la Mitihani atakuja atumie taarifa zipi huko mbeleni (hii watanielewa wale wanaojua utaratibu pekee kama hujui hapa pita tu)?

Dogo alipita interview zote zenye ushindani ikiwemo Ahmes sekondari.

Mh RAIS Mama etu.

Sema neno hapa watoto hawana hatia
 
Wakuu Msaada.

Kijana wangu amemaliza shule ya msingi iliyofutiwa matokeo. Kwenye interview zote nne nilizompeleka amefaulu. Matokeo ya la Saba yaliyotolewa nuda si mrefu shule yake imekubwa na tatizo Hilo.

Je, akiendelea na sekondari kwa matokeo yapi ya la Saba yatatumika? Kwa maana kwamba ana uhalali wa kuendelea na private?

Kwenye taarifa za Baraza la Mitihani atakuja atumie taarifa zipi huko mbeleni (hii watanielewa wale wanaojua utaratibu pekee kama hujui hapa pita tu)?

Dogo alipita interview zote zenye ushindani ikiwemo Ahmes sekondari.
Usihangaike, hawez kwendelea bila matokeo ya drs la 7. Omba kibali cha kurudia mtihani
 
Enzi zangu kuna jamaa waliishia darasa la sita wakaenda kufanya interview na kujiunga form one wengine wakaanzia pre form one nafikiri wakiwa secondary walifanya mtihani wa primary kama private candidates.
 
Wakuu Msaada.

Kijana wangu amemaliza shule ya msingi iliyofutiwa matokeo. Kwenye interview zote nne nilizompeleka amefaulu. Matokeo ya la Saba yaliyotolewa nuda si mrefu shule yake imekubwa na tatizo Hilo.

Je, akiendelea na sekondari kwa matokeo yapi ya la Saba yatatumika? Kwa maana kwamba ana uhalali wa kuendelea na private?

Kwenye taarifa za Baraza la Mitihani atakuja atumie taarifa zipi huko mbeleni (hii watanielewa wale wanaojua utaratibu pekee kama hujui hapa pita tu)?

Dogo alipita interview zote zenye ushindani ikiwemo Ahmes sekondari.
Wala hakuna connection anaendelea Tu labda kama unataka apangiwe shule za serikali ndio arudie. Matokeo ya darasa la Saba KWA SASA HAKUNA YANAPOTUMIKA Almradi umemaliza
 
Kwa Sasa hatoweza kuendelea na kidato cha kwanza ni Hadi ahitimu darasa la saba. Kwamaana namba ya darasa la saba inahitajika kwenye usajili wa kidato cha pili na pia inatumika kupata verification number ya kidato cha nne.

Zamani kidogo mambo yalikua rahisi tu hata walioishia darasa la sita walijiunga na elimu ya secondary hapakua na huu utaratibu wa Sasa.

Pole mkuu mtoto inabidi arudie mwaka tu unamuombea kibali bas anarudia
 
Vip
Kwa Sasa hatoweza kuendelea na kidato cha kwanza ni Hadi ahitimu darasa la saba. Kwamaana namba ya darasa la saba inahitajika kwenye usajili wa kidato cha pili na pia inatumika kupata verification number ya kidato cha nne.

Zamani kidogo mambo yalikua rahisi tu hata walioishia darasa la sita walijiunga na elimu ya secondary hapakua na huu utaratibu wa Sasa.

Pole mkuu mtoto inabidi arudie mwaka tu unamuombea kibali bas anarudia
Vipi, private candidate kwa elimu ya msingi nayo imefutwa?
 
Wakuu Msaada.

Kijana wangu amemaliza shule ya msingi iliyofutiwa matokeo. Kwenye interview zote nne nilizompeleka amefaulu. Matokeo ya la Saba yaliyotolewa nuda si mrefu shule yake imekubwa na tatizo Hilo.

Je, akiendelea na sekondari kwa matokeo yapi ya la Saba yatatumika? Kwa maana kwamba ana uhalali wa kuendelea na private?

Kwenye taarifa za Baraza la Mitihani atakuja atumie taarifa zipi huko mbeleni (hii watanielewa wale wanaojua utaratibu pekee kama hujui hapa pita tu)?

Dogo alipita interview zote zenye ushindani ikiwemo Ahmes sekondari.
Mkuu kwa shule ya private hauhitaji matokeo ya darasa la saba. Mimi mwanangu yuko chuo mwaka wa pili alisoma mpaka darasa la sita na kufanya mtihani wa kujiunga na kidato cha kwanza na akafaulu, akaenda secondary private school, kamaliza kaenda A Level na sasa yuko chuo mwaka wa pili. Mpeleke mtoto asome wala usiwaze.
 
Mkuu kwa shule ya priavate hauhitaji matokeo ya darsa la saba. Mimi mwanangu yuko chuo mwaka wa pili alisoma mpaka darasa la sita na kufanya mtihani wa kujiunga na kidato cha kwanza na akafaulu, akaenda secondary private school, kamaliza kaenda A Level na sasa yuko chuo mwaka wa pili. Mpeleke mtoto asome wala usiwaze.
ubaya hamjui mambo yamebadilika na siku hizi hiyo ya kuvushwa toka la sita kwenda form 1 haipo tena yani... so labda mtoto aanze form one ila atarudia kufanya mtihani wa darasa la saba
 
Back
Top Bottom