Voice of Tanzania
JF-Expert Member
- Sep 23, 2018
- 2,036
- 3,107
Ebu kiongozi tusaidie kitu kimoja jaribu kupakia humu tangazo la nyuma linalotoa maelekezo ya kurudia mtiani wa darasa la saba uwenda nasi tukajua kitu hapa ambacho atukijuiDogo atapata nafasi ya kufanya mtihani kabla ya January au mwanzoni mwa mwezi.
Cha kufanya tulia subiri tangazo.
Zamani ilikuwa free tu. Sijui siku hizi.