MSAADA: Mtoto amefaulu Sekondari ya AHMES, lakini shule aliyomaliza darasa la saba imefutiwa matokeo

MSAADA: Mtoto amefaulu Sekondari ya AHMES, lakini shule aliyomaliza darasa la saba imefutiwa matokeo

Usimpotoshe mkuu!!

Hawezi kuendelea na masomo ya sekondari kama hajahitimu drs la 7. Ili apate usajili na kutambulika kama bonafide student atakayehitimu form four wanahitaji vitu vifuatavyo!

1. Awe amefanya mtihani wa upimaji kidato Cha pili yaani FTNA. Na hawezi kufanya mtihani huo kama huna PreMS number na hii inatolewa kwa waliomaliza Drs la saba yaani shule ya msingi, of which yeye hasomeki kama mhitimu.

2. Usajili kwa Sasa ni tofauti na zamani. Hata joining instruction ya shule aliyochaguliwa lazima kuna sehemu imemwambia ajaze PreMS namba ya shule ya msingi ndo automatically jina litatokea na atapata verification number ili waweze kum-enroll.

3.Details nyingi Sana za kidato Cha nne zinatokana na taarifa za mwanafunzi shule ya msingi na mitihani wa upimaji kidato Cha pili(form two wanategemea shule ya msingi). Ndiyo maana ukiingiza hizo number analetewa majina yake Kama alivyojiandikisha shule ya msingi.
Kumbe mambo yamebadilika sana
 
Kuna Cheti cha Darasa la Saba zaidi ya Leaving Certificate ?

Nadhani ukijibu hili utakuwa umepata jibu..., Leaving Certificate ambayo kila mtu anapata hata kabla majibu hayajatoka ndio yanakutaarifu kwamba umesoma Primary
Vyeti vipo saivi kwa la 7 vina picha na matokeo ata kama mtu kafeli.
 
Hawezi kuendelea maana Matokeo yake ya upimaji kitaifa hayapo lazima arudie Mitihani
 
Back
Top Bottom