MSAADA: Mtoto amefaulu Sekondari ya AHMES, lakini shule aliyomaliza darasa la saba imefutiwa matokeo

MSAADA: Mtoto amefaulu Sekondari ya AHMES, lakini shule aliyomaliza darasa la saba imefutiwa matokeo

Watu wajuaji humu, hawajui mambo yamebadilika, hata kumhamisha mtoto kutoka shule moja kwenda nyingine lazima awe na hiyo namba ya usajiri ya drs la 7. Ninachojua watoto waliofutiwa matokeo wataandaliwa mtihani mwingine watafanya before January ili kuwawezesha kwenda kidato cha kwanza
Aisee mkuu nlikua napitia nione hiii kitu unayosema lakini nimeona kweli wanatoa fursa kwa mtoto kurudia mtihani lakini endapo tatizo lililosababishwa afutiwe matokeo si la mwanafunzi alafu kitu kingine inaonekana wanakaa mwaka mzima wanakuja fanya mtihani na wenzao wahitimu wa mwaka unaofuata na si mtihani wa kivyao na wale wanaogundulika ni makosa ya kwao yaani wanafunzi wenyewe ndo chanzo inakuLa kwao no option awapewi fursa ya kurudia ukakasi sasa unakuja hapa kiongozi awa wasio na fursa ya kurudia mtihani wanapelekwa wap? Ukizingatia ni bado watoto mnoo watafanya shughuli gani?
Najiuliza hvi kweli awapatiwi hata fursa ya kwenda private? Natafutaa taarifa maana hii kitu si sawa ni ukatili wa hali ya juu dhidi ya mtoto
 
Aisee mkuu nlikua napitia nione hiii kitu unayosema lakini nimeona kweli wanatoa fursa kwa mtoto kurudia mtihani lakini endapo tatizo lililosababishwa afutiwe matokeo si la mwanafunzi alafu kitu kingine inaonekana wanakaa mwaka mzima wanakuja fanya mtihani na wenzao wahitimu wa mwaka unaofuata na si mtihani wa kivyao na wale wanaogundulika ni makosa ya kwao yaani wanafunzi wenyewe ndo chanzo inakuLa kwao no option awapewi fursa ya kurudia ukakasi sasa unakuja hapa kiongozi awa wasio na fursa ya kurudia mtihani wanapelekwa wap? Ukizingatia ni bado watoto mnoo watafanya shughuli gani?
Najiuliza hvi kweli awapatiwi hata fursa ya kwenda private? Natafutaa taarifa maana hii kitu si sawa ni ukatili wa hali ya juu dhidi ya mtoto
Hata ao wanaopewa nafasi ya kurudia baada ya mwaka ni ukatili sababu unawapotezea muda na kuwasumbua wajiandae tena wa mwaka mzima wakati kosa si lao.
Hawa ni watoto wadogo ambao hawana akili ya kuwakatalia waalimu wao na mzazi wake hakuhusika na udanganyifu.

Kwa vile watoto ni wachache wanaweza kupewa mtihani mwingine mapema ikasahihishwa ndani ya siku 21 wakaendelea na elimu ya sekondari.
 
Mkuu kwa shule ya priavate hauhitaji matokeo ya darsa la saba. Mimi mwanangu yuko chuo mwaka wa pili alisoma mpaka darasa la sita na kufanya mtihani wa kujiunga na kidato cha kwanza na akafaulu, akaenda secondary private school, kamaliza kaenda A Level na sasa yuko chuo mwaka wa pili. Mpeleke mtoto asome wala usiwaze.
Siku hizi kuna prem/ prime number mkuu.
Nisahihishwe na wajuzi hapo juu
 
Wala hakuna connection anaendelea Tu labda kama unataka apangiwe shule za serikali ndio arudie. Matokeo ya darasa la Saba KWA SASA HAKUNA YANAPOTUMIKA Almradi umemaliza
Ni uhakika hawezi kuendelea form one. Namba ya mtihani darasa LA saba inatmika form two registration. Just go back to the drawing room. No way
 
Yaani kilichokukuta wewe ni kama kilichonikuta Mimi, Leo tu nimetoka kutumiwa joining instructions za mtoto, Cha ajabu baada ya matokeo naangalia darasa Zima wameandikiwa *W, nimechoka akili yote na hakuna kitu nisichokipenda kama mtoto kupoteza muda kwa kurudia mtihani tena darasa la Saba!!


Nadhani Serikali inatakiwa kupata njia ya kuwasaidia watoto,Ujinga wa wamiliki wa shule na waalimu wao so vyema kumuadhibu mtoto!


Adhabu kubwa itolewe kwa wamiliki wa shule lkn kwa Hawa watoto ni vyema hata wawape hata alama za chini kabisa kuliko kuwafutia au Basi wangewapa mitihani ya kurudia mapema ndani ya mwaka husika kuliko kusubiri mwaka mzima!!


Na kwa wale amabo wazazi wanaweza wapeleka Private ni vyema wakawaruhusu kuendelea na masomo ya Secondary kwa sharti la kurudia mtihani wa darasa la Saba!
Ni tetesi tu .. wazazi baadhi ya shule wanahusika na udanganyifu.


Nimeshangaa olimpio primary ya serikali English medium wanashiriki vipi huu upuuzi
 
Nenda kaulize kwa afisa elimu mkoa mana naona humu ni mkanganyiko tu.


Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Hakuna cha kwenda kuuliza wenye uelewa nimewaelewa. Hakuna kuruka hatua.

Primary school examination number ya mtoto aliyofanyia mitihani STD seven haiepukiki. Ili form 2 apate registration kwisha.

Mamlaka zitatoa maelekezo we wait and see
 
Ushaur wa uhakika :- Huyo mtoto hawez kufanya mtihan wa kidato cha pili bila no ya darasa la saba(hii imeanza tangu 2019 so wanaokomaa unawezekana kwa sababu walivyusha watoto wao zaman polen na endeleen kujidanganya)
Cha kufanya sasa -: Peleka mtoto wako huko alikofaul tena na suggest mpeleke Ahmes maana naijua ni the best mdogo wangu alitoka hapo kidato cha nne akiwa top ten Tanzania
Then serikali itatoa mwongozo hao watoto kurudia mtihan mwakani ye aendelee form one ila mlipie ada za kufanya mtihan mwakan na aje aende aufanye atapata no them ataitumia Ahmes kwenye mtihan wa kidato cha pili na kwa style hiyo hatakuwa amwrudia mwaka
 
Siku hizi unazoengelea ni zipi? Na zamani unayoiongelea ni ipi? Je muongozo wa elimu unaeleza kuhusu kurudia mtihani wa la saba? Ninajua mtihani wa maarifa kwa maana ya QT na kuendelea.

Wewe jamaa mbishi sana, kubali kuelekezwa.

Siku hizi huwezi ingia form 1 bila la 7, Mfumo utakutema, utahitaji namba ya 7
 
Siku hizi unazoengelea ni zipi? Na zamani unayoiongelea ni ipi? Je muongozo wa elimu unaeleza kuhusu kurudia mtihani wa la saba? Ninajua mtihani wa maarifa kwa maana ya QT na kuendelea.
Muongozo wa elimu wa sasa unahitaji mtoto awe na Namba ya darasa la saba yani its all about system bro so wew ukikomaa sijui zamani unampoteza mwenzio...!! Form two kufanya mtihani kunahitaji ujaze informarion za mtu kwenye system na hapo lazima uwe na namba ya darasa ya saba ubaya wake.. SYSTEM HAIDANGANYI.
 
Hilo swali halihitaji four figure kabisa
Ndio wezi cheater nyie, much knows¡

Unataka kusema.nini hapo tunasema wanapoongea wenye akili zao Kaa Kwa kutulia.

Watoto siku hizi wanasema tuliza mshono.

You can't imagine wapo humu conffesers kwamba waliishawahi kuonesha majibu kwenye mashule tajwa.

Pumbav kabisa
 
Ushaur wa uhakika :- Huyo mtoto hawez kufanya mtihan wa kidato cha pili bila no ya darasa la saba(hii imeanza tangu 2019 so wanaokomaa unawezekana kwa sababu walivyusha watoto wao zaman polen na endeleen kujidanganya)
Cha kufanya sasa -: Peleka mtoto wako huko alikofaul tena na suggest mpeleke Ahmes maana naijua ni the best mdogo wangu alitoka hapo kidato cha nne akiwa top ten Tanzania
Then serikali itatoa mwongozo hao watoto kurudia mtihan mwakani ye aendelee form one ila mlipie ada za kufanya mtihan mwakan na aje aende aufanye atapata no them ataitumia Ahmes kwenye mtihan wa kidato cha pili na kwa style hiyo hatakuwa amwrudia mwaka
Watu wenye akili za kutosha..

Sawa mkuu
 
Wakuu Msaada.

Kijana wangu amemaliza shule ya msingi iliyofutiwa matokeo. Kwenye interview zote nne nilizompeleka amefaulu. Matokeo ya la Saba yaliyotolewa muda si mrefu shule yake imekubwa na tatizo Hilo.

Je, akiendelea na sekondari kwa matokeo yapi ya la Saba yatatumika? Kwa maana kwamba ana uhalali wa kuendelea na private?

Kwenye taarifa za Baraza la Mitihani atakuja atumie taarifa zipi huko mbeleni (hii watanielewa wale wanaojua utaratibu pekee kama hujui hapa pita tu)?

Dogo alipita interview zote zenye ushindani ikiwemo Ahmes sekondari.


Mh RAIS Mama etu.

Sema neno hapa watoto hawana hatia
Utaratibu wa Baraza kwa makosa ambayo si ya wanafunzi Basi watarudia mtihani kwa uangalizi maalumu.

Hivyo dogo ataendelea na form 1 yake Kama kawaida.

Lakini kama.ingekuwa cheating ya mwanafunzi husika Basi matokeo yake atafutiwa
 
Umejibu kinecta necta asante mkuu.
Aendelee na form one kisha atafanya mtihani wa STD VII 2023. Hata waliofutiwa mtuhani mwaka jana walifanyiwa hivyo.
 
Mnajazana upepo, mtihani watarudia sept 2023!

Ukifutiwa imetoka, necta is the branch of tiss that dilz with kutahini.
 
Back
Top Bottom