Msaada: Mume wangu tukiwa pamoja ni sex tu, hanipi muda tukakaa tu na kuongea

Msaada: Mume wangu tukiwa pamoja ni sex tu, hanipi muda tukakaa tu na kuongea

Habari wana Jamii,

Napitia maumivu sana kwenye ndoa yangu naomba kuwashirikisha hii kabla sijachukua maamuzi magumu.

Jamani nahisi kama Mume wangu hana mapenzi na Mimi Huduma anatoa kila kitu lakini hanipi muda wa kukaa tukiwa pamoja ni kusex tu.

Jamani hii kitu inaniuma sana, nimeshazungumza nae mara kadhaa lakini habadiliki sasa nashindwa kuelewa. Labda wanandoa mje nifafanulie hili.

Je, MTU mkiwa kwenye ndoa hakuna kukaa kama marafiki?
Naombeni mnishauri naumia sana.

Nawapenda nyote.
Tulia ugongwe..na ukatike,ulikua unafurahia tu send off na kitchen party,we ulifikiri anakuoa ili mfanye nini!?
 
Habari wana Jamii,

Napitia maumivu sana kwenye ndoa yangu naomba kuwashirikisha hii kabla sijachukua maamuzi magumu.

Jamani nahisi kama Mume wangu hana mapenzi na Mimi Huduma anatoa kila kitu lakini hanipi muda wa kukaa tukiwa pamoja ni kusex tu.

Jamani hii kitu inaniuma sana, nimeshazungumza nae mara kadhaa lakini habadiliki sasa nashindwa kuelewa. Labda wanandoa mje nifafanulie hili.

Je, MTU mkiwa kwenye ndoa hakuna kukaa kama marafiki?
Naombeni mnishauri naumia sana.

Nawapenda nyote.

Badala ushangilie et naumia sana ! uzeeni kuna kisukari hyo mikiki utaikunbuka sana
 
Sijui nimekuelewa, Nilichoelewa ni kwamba mumeo hana muda wa kukushirikisha/kujadiliana chochote hata kama kuna uwezekano wa kutokea hatari/madhara.

Nakumbuka hii hali nikiwa nakuwa mama alikuwa akilalama kutoshirikishwa au kutokuongea as family na mzee. Madhara yalionekana kwa baadhi ya mambo ambayo yalikuwa ndani ya uwezo wa mama ila kutokana na hali hiyo ilikuwa ngumu kwake kufanya chochote. Mzee kaja kuchange jua lishazama na mambo mengi yameshavurugika. Hata taarifa tu kumshirikisha mwenzie ilikuwa changamoto, ye ni kufoka tu baada ya madhara. Hii kitu mpaka nakuwa najitambua niliona mwenyewe mzee alikuwa anazingua kwanza hakubali kushaurika mpaka kesho hii tabia anayo, atatafuta solution baada ya mambo kuharibika ndio ataanza kusema sasa hapa tunafanyaje. Mambo mengi yamefeli kwa sababu hiyo.

Sio kila kitu ni cha kushirikishana/kuongea ila kuna mambo ambayo ni vizuri kushirikiana na mwenza wako kama familia.
Umewahi kumuuliza baba yako kwanini alikuwa hivyo?
Anaweza kuwa na siri kubwa sana ukiambiwa utamuelewa.
 
Wakati wa uchumba hali ilikuwa hivi pia?
Ndiyo, ila niltegemea atabad
Hakupendi huyo 😂 au laaa ndo wale wapole, upole wa kuzubaa zubaa.

Real boyfriend/ husband lazima mpige story,, mixer ma umbea mbalimbali… tena akikuona umempa umbea wa uongo akusute 😀🤣
Ahsante kwa ushauri
 
Unataka kuchukua uamuzi gani mkuu!?

Nakuelewa mkuu, nami napenda kwenye mahusiano kuwe na urafiki ndani yake, ila shida kila mmoja na hulka yake.. Huenda hiyo ndio hulka ya mumeo, je alikuwa hivyo toka awali au kabadilika siku hizi!?
Niwe muwazi, ckuliona hill kwasababu kwenye uchumba kuna mambo mengini San huwezi mjuw mtu vizuri hadi uishi nae
 
Back
Top Bottom