Certified Hater
JF-Expert Member
- May 14, 2017
- 1,760
- 3,733
Depal Soma waraka huu uwafikie enyi ndugu wapya katika umojaAlinunua k hiyo😂😂😂
Mwache arudishe mahari mliyomkomoa
Na bado hadi pageuke bwawah🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Depal Soma waraka huu uwafikie enyi ndugu wapya katika umojaAlinunua k hiyo😂😂😂
Mwache arudishe mahari mliyomkomoa
Na bado hadi pageuke bwawah🤣🤣
Kawaida sana.Habari wana Jamii,
Napitia maumivu sana kwenye ndoa yangu naomba kuwashirikisha hii kabla sijachukua maamuzi magumu.
Jamani nahisi kama Mume wangu hana mapenzi na Mimi Huduma anatoa kila kitu lakini hanipi muda wa kukaa tukiwa pamoja ni kusex tu.
Jamani hii kitu inaniuma sana, nimeshazungumza nae mara kadhaa lakini habadiliki sasa nashindwa kuelewa. Labda wanandoa mje nifafanulie hili.
Je, MTU mkiwa kwenye ndoa hakuna kukaa kama marafiki?
Naombeni mnishauri naumia sana.
Nawapenda nyote.
NimekuelewaAmesema anaongea sana?
Huyu yeye amempenda jamaa hadi anamuoa anajua hii jamaa yangu sio ongeaji wala sio semaji kwa hio aendelee hivyo hivyo wakimya wana mengi ya kuongea Ila sio kila wakati wanaongea jamaa hakumuoa ili apige nae story kila wakati yaan abadirishe nyumba yake kijiwe cha umbea alimuoa ili apunguze uzito
Alikuoa ili apate free k dailyNiwe muwazi, ckuliona hill kwasababu kwenye uchumba kuna mambo mengini San huwezi mjuw mtu vizuri hadi uishi nae
HahaAlinunua k hiyo😂😂😂
Mwache arudishe mahari mliyomkomoa
Na bado hadi pageuke bwawah🤣🤣
Kwani huwa unamfokeaSawa mkuu
😂😂😂😂 we mkorofiNa ungetumia ile ID yako tuliyo izoea
Kungekua na mtiti hapa 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Pole....
Unalolitafuta utalipata nyau wewe!Yaana katika maisha yangu sex sio kila kitu kwangu labda ndo sababu naumie hivu mume wangu kitandani yuko vizuri ila siyo romantic. Hii ndo inaniuma mimi
Uliingia ndoa kama fasheni na sasa kamasi zinakutoka.Habari wana Jamii,
Napitia maumivu sana kwenye ndoa yangu naomba kuwashirikisha hii kabla sijachukua maamuzi magumu.
Jamani nahisi kama Mume wangu hana mapenzi na Mimi Huduma anatoa kila kitu lakini hanipi muda wa kukaa tukiwa pamoja ni kusex tu.
Jamani hii kitu inaniuma sana, nimeshazungumza nae mara kadhaa lakini habadiliki sasa nashindwa kuelewa. Labda wanandoa mje nifafanulie hili.
Je, MTU mkiwa kwenye ndoa hakuna kukaa kama marafiki?
Naombeni mnishauri naumia sana.
Nawapenda nyote.
Ng'ang'ania hapohapo...siju hizi wanaume wa kibaskeli kupandia dar kushukia kagera wameisha..wengi wakipanga safari kutokea dar wanatamani kufika kigoma lakini wanaishia mbezi hawezi tena. Furahia maishaHabari wana Jamii,
Napitia maumivu sana kwenye ndoa yangu naomba kuwashirikisha hii kabla sijachukua maamuzi magumu.
Jamani nahisi kama Mume wangu hana mapenzi na Mimi Huduma anatoa kila kitu lakini hanipi muda wa kukaa tukiwa pamoja ni kusex tu.
Jamani hii kitu inaniuma sana, nimeshazungumza nae mara kadhaa lakini habadiliki sasa nashindwa kuelewa. Labda wanandoa mje nifafanulie hili.
Je, MTU mkiwa kwenye ndoa hakuna kukaa kama marafiki?
Naombeni mnishauri naumia sana.
Nawapenda nyote.
Upumbavu.Habari wana Jamii,
Napitia maumivu sana kwenye ndoa yangu naomba kuwashirikisha hii kabla sijachukua maamuzi magumu.
Jamani nahisi kama Mume wangu hana mapenzi na Mimi Huduma anatoa kila kitu lakini hanipi muda wa kukaa tukiwa pamoja ni kusex tu.
Jamani hii kitu inaniuma sana, nimeshazungumza nae mara kadhaa lakini habadiliki sasa nashindwa kuelewa. Labda wanandoa mje nifafanulie hili.
Je, MTU mkiwa kwenye ndoa hakuna kukaa kama marafiki?
Naombeni mnishauri naumia sana.
Nawapenda nyote.
Ishaanza kukuchosha mapema hivyo, It seem umeolewa na mtu mzima sana. Yaani hamwendani mitazamo mcopy case iishe.Nime olewa na miak 19 kasoro.
Nashukuru ndo hicho nacho kimaanisha mkuuSijui nimekuelewa, Nilichoelewa ni kwamba mumeo hana muda wa kukushirikisha/kujadiliana chochote hata kama kuna uwezekano wa kutokea hatari/madhara.
Nakumbuka hii hali nikiwa nakuwa mama alikuwa akilalama kutoshirikishwa au kutokuongea as family na mzee. Madhara yalionekana kwa baadhi ya mambo ambayo yalikuwa ndani ya uwezo wa mama ila kutokana na hali hiyo ilikuwa ngumu kwake kufanya chochote. Mzee kaja kuchange jua lishazama na mambo mengi yameshavurugika. Hata taarifa tu kumshirikisha mwenzie ilikuwa changamoto, ye ni kufoka tu baada ya madhara. Hii kitu mpaka nakuwa najitambua niliona mwenyewe mzee alikuwa anazingua kwanza hakubali kushaurika mpaka kesho hii tabia anayo, atatafuta solution baada ya mambo kuharibika ndio ataanza kusema sasa hapa tunafanyaje. Mambo mengi yamefeli kwa sababu hiyo.
Sio kila kitu ni cha kushirikishana/kuongea ila kuna mambo ambayo ni vizuri kushirikiana na mwenza wako kama familia.