Msaada: Mume wangu tukiwa pamoja ni sex tu, hanipi muda tukakaa tu na kuongea

Msaada: Mume wangu tukiwa pamoja ni sex tu, hanipi muda tukakaa tu na kuongea

Habari wana Jamii,

Napitia maumivu sana kwenye ndoa yangu naomba kuwashirikisha hii kabla sijachukua maamuzi magumu.

Jamani nahisi kama Mume wangu hana mapenzi na Mimi Huduma anatoa kila kitu lakini hanipi muda wa kukaa tukiwa pamoja ni kusex tu.

Jamani hii kitu inaniuma sana, nimeshazungumza nae mara kadhaa lakini habadiliki sasa nashindwa kuelewa. Labda wanandoa mje nifafanulie hili.

Je, MTU mkiwa kwenye ndoa hakuna kukaa kama marafiki?
Naombeni mnishauri naumia sana.

Nawapenda nyote.
Kawaida sana.
Kwani uliolewa kwenda kuongea au kumstarehesha mume? Acha utoto.
 
Amesema anaongea sana?

Huyu yeye amempenda jamaa hadi anamuoa anajua hii jamaa yangu sio ongeaji wala sio semaji kwa hio aendelee hivyo hivyo wakimya wana mengi ya kuongea Ila sio kila wakati wanaongea jamaa hakumuoa ili apige nae story kila wakati yaan abadirishe nyumba yake kijiwe cha umbea alimuoa ili apunguze uzito
Nimekuelewa
 
Unaeza kuongea kuhusu mpira?
Unajua Chongolo kafanyaje?
Unajua Israel na Palestina wanapigania nn?
Unawajua Hamas au Iris?
Unajua kuhusu ngiri?
Dolla ikishuka na kupanda unajua?
Bei ya petroli je?

Sasa unataka mumeo muongee nini?
BE a wife! entertain him , mpikie, mpambie nyumba paka wanja, nukia udi kaa hapo.

TAFUTA MAGRUPU YA UMBEA fanyia huko!
TAFUTA MAGRUPU YA RECIPES jifunze kupika!
TAFUTA wanakpjifunza keki!
Alokwambia MUMEO ANAPASWA KUWA KILA KITU/MTU uNAYEMUHITAJI NI NANI?
hAVE FRIENDS, MUACHE AWE NA MARAFIKI nje huko wakonyeze konyeze kwa uhuru akirudi nyumbani muoneshe we ndo mkewe.
 
Habari wana Jamii,

Napitia maumivu sana kwenye ndoa yangu naomba kuwashirikisha hii kabla sijachukua maamuzi magumu.

Jamani nahisi kama Mume wangu hana mapenzi na Mimi Huduma anatoa kila kitu lakini hanipi muda wa kukaa tukiwa pamoja ni kusex tu.

Jamani hii kitu inaniuma sana, nimeshazungumza nae mara kadhaa lakini habadiliki sasa nashindwa kuelewa. Labda wanandoa mje nifafanulie hili.

Je, MTU mkiwa kwenye ndoa hakuna kukaa kama marafiki?
Naombeni mnishauri naumia sana.

Nawapenda nyote.
Uliingia ndoa kama fasheni na sasa kamasi zinakutoka.

Tena jitahidi usilalr na nguo bebe
 
Habari wana Jamii,

Napitia maumivu sana kwenye ndoa yangu naomba kuwashirikisha hii kabla sijachukua maamuzi magumu.

Jamani nahisi kama Mume wangu hana mapenzi na Mimi Huduma anatoa kila kitu lakini hanipi muda wa kukaa tukiwa pamoja ni kusex tu.

Jamani hii kitu inaniuma sana, nimeshazungumza nae mara kadhaa lakini habadiliki sasa nashindwa kuelewa. Labda wanandoa mje nifafanulie hili.

Je, MTU mkiwa kwenye ndoa hakuna kukaa kama marafiki?
Naombeni mnishauri naumia sana.

Nawapenda nyote.
Ng'ang'ania hapohapo...siju hizi wanaume wa kibaskeli kupandia dar kushukia kagera wameisha..wengi wakipanga safari kutokea dar wanatamani kufika kigoma lakini wanaishia mbezi hawezi tena. Furahia maisha
 
Nimeamini ndoa siyo mchezo mchezo..
Mwanaume anatimiza majukumu yake YOTEEEE..
Bado anatakiwa awe mbeya, mastori, uongo, kusema watu, kusengenya, kujifanya shoga wako nk nk nk
Sishangai vijana kukimbilia ushoga au njemba za kiume kukimbia ndoa!
Dunia ya sasa kwa mwanaume ni mtihani kwa kweli...
😢😢😢😢😢
 
Habari wana Jamii,

Napitia maumivu sana kwenye ndoa yangu naomba kuwashirikisha hii kabla sijachukua maamuzi magumu.

Jamani nahisi kama Mume wangu hana mapenzi na Mimi Huduma anatoa kila kitu lakini hanipi muda wa kukaa tukiwa pamoja ni kusex tu.

Jamani hii kitu inaniuma sana, nimeshazungumza nae mara kadhaa lakini habadiliki sasa nashindwa kuelewa. Labda wanandoa mje nifafanulie hili.

Je, MTU mkiwa kwenye ndoa hakuna kukaa kama marafiki?
Naombeni mnishauri naumia sana.

Nawapenda nyote.
Upumbavu.
 
Sijui nimekuelewa, Nilichoelewa ni kwamba mumeo hana muda wa kukushirikisha/kujadiliana chochote hata kama kuna uwezekano wa kutokea hatari/madhara.

Nakumbuka hii hali nikiwa nakuwa mama alikuwa akilalama kutoshirikishwa au kutokuongea as family na mzee. Madhara yalionekana kwa baadhi ya mambo ambayo yalikuwa ndani ya uwezo wa mama ila kutokana na hali hiyo ilikuwa ngumu kwake kufanya chochote. Mzee kaja kuchange jua lishazama na mambo mengi yameshavurugika. Hata taarifa tu kumshirikisha mwenzie ilikuwa changamoto, ye ni kufoka tu baada ya madhara. Hii kitu mpaka nakuwa najitambua niliona mwenyewe mzee alikuwa anazingua kwanza hakubali kushaurika mpaka kesho hii tabia anayo, atatafuta solution baada ya mambo kuharibika ndio ataanza kusema sasa hapa tunafanyaje. Mambo mengi yamefeli kwa sababu hiyo.

Sio kila kitu ni cha kushirikishana/kuongea ila kuna mambo ambayo ni vizuri kushirikiana na mwenza wako kama familia.
Nashukuru ndo hicho nacho kimaanisha mkuu
 
Back
Top Bottom