Anatoka asubuh kurudi saa5 usiku hana jmosi wala jipil wala sikukuuHapo ndo nashindwa kumuelewaaa.. Yani kuongea ba mkeo huwa inakuja very automatic labda kama jamaa hashindi nyumbani anarudi saa 8 za usiku.. maana unaweza kuwa unaangalia video mnaongea.. ukishapiga chako wanawake wengi ndo huanza kuleta story paleee hapo utaombwaa helaa kama sio mahitaji[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] labda hizo story jamaa anazikwepa sanaa
Nime kuelewa sanaJukumu la mume ni kumtunza mke na familia jambo ambalo umesema anafanya.
Sex ni moja ya jambo lililomfanya akuoe. Kama unaona anakusumbua mpe ruhusa awe na bi mdogo ili uwe unapumzika. Sio wanaume wote tuna uwezo wa kuwa na urafiki wa kucheza kuchikuchi hotae na wake zetu nyumbani.
Wewe ilitakiwa umpate wa kimoja Chali wiki inapita.Habari wana Jamii,
Napitia maumivu sana kwenye ndoa yangu naomba kuwashirikisha hii kabla sijachukua maamuzi magumu.
Jamani nahisi kama Mume wangu hana mapenzi na Mimi Huduma anatoa kila kitu lakini hanipi muda wa kukaa tukiwa pamoja ni kusex tu.
Jamani hii kitu inaniuma sana, nimeshazungumza nae mara kadhaa lakini habadiliki sasa nashindwa kuelewa. Labda wanandoa mje nifafanulie hili.
Je, MTU mkiwa kwenye ndoa hakuna kukaa kama marafiki?
Naombeni mnishauri naumia sana.
Nawapenda nyote.
GoodNime kuelewa sana
Pole sana na pongezi sana kwa kumpata na kumuhudumia mume asie na mchepuko....Habari wana Jamii,
Napitia maumivu sana kwenye ndoa yangu naomba kuwashirikisha hii kabla sijachukua maamuzi magumu.
Jamani nahisi kama Mume wangu hana mapenzi na Mimi Huduma anatoa kila kitu lakini hanipi muda wa kukaa tukiwa pamoja ni kusex tu.
Jamani hii kitu inaniuma sana, nimeshazungumza nae mara kadhaa lakini habadiliki sasa nashindwa kuelewa. Labda wanandoa mje nifafanulie hili.
Je, MTU mkiwa kwenye ndoa hakuna kukaa kama marafiki?
Naombeni mnishauri naumia sana.
Nawapenda nyote.
Mh! SawaMimi 22 yeye 35
Ndoa yenu ina miaka mingapi mpaka sasa?Mwanzoni alikuwa anasema hvyo ila naona hali Ni endelevu
Unaumia sana umesema.Habari wana Jamii,
Napitia maumivu sana kwenye ndoa yangu naomba kuwashirikisha hii kabla sijachukua maamuzi magumu.
Jamani nahisi kama Mume wangu hana mapenzi na Mimi Huduma anatoa kila kitu lakini hanipi muda wa kukaa tukiwa pamoja ni kusex tu.
Jamani hii kitu inaniuma sana, nimeshazungumza nae mara kadhaa lakini habadiliki sasa nashindwa kuelewa. Labda wanandoa mje nifafanulie hili.
Je, MTU mkiwa kwenye ndoa hakuna kukaa kama marafiki?
Naombeni mnishauri naumia sana.
Nawapenda nyote.
Mtoto mbichi kabisaMimi 22 yeye 35
Yaani.Habari wana Jamii,
Napitia maumivu sana kwenye ndoa yangu naomba kuwashirikisha hii kabla sijachukua maamuzi magumu.
Jamani nahisi kama Mume wangu hana mapenzi na Mimi Huduma anatoa kila kitu lakini hanipi muda wa kukaa tukiwa pamoja ni kusex tu.
Jamani hii kitu inaniuma sana, nimeshazungumza nae mara kadhaa lakini habadiliki sasa nashindwa kuelewa. Labda wanandoa mje nifafanulie hili.
Je, MTU mkiwa kwenye ndoa hakuna kukaa kama marafiki?
Naombeni mnishauri naumia sana.
Nawapenda nyote.