Msaada: Mume wangu tukiwa pamoja ni sex tu, hanipi muda tukakaa tu na kuongea

Msaada: Mume wangu tukiwa pamoja ni sex tu, hanipi muda tukakaa tu na kuongea

Habari wana Jamii,

Napitia maumivu sana kwenye ndoa yangu naomba kuwashirikisha hii kabla sijachukua maamuzi magumu.

Jamani nahisi kama Mume wangu hana mapenzi na Mimi Huduma anatoa kila kitu lakini hanipi muda wa kukaa tukiwa pamoja ni kusex tu.

Jamani hii kitu inaniuma sana, nimeshazungumza nae mara kadhaa lakini habadiliki sasa nashindwa kuelewa. Labda wanandoa mje nifafanulie hili.

Je, MTU mkiwa kwenye ndoa hakuna kukaa kama marafiki?
Naombeni mnishauri naumia sana.

Nawapenda nyote.
Hata wazee wa zamani walisema "Ukikubali kuolewa kubali kulala uchi".

Wewe ni wale aina ya wanawake mliopitia trauma na hivyo mnachukia sex.

Mie mke wangu anajua, naweza toka job kuja kula lunch nikamla kimoja cha fasta na yeye. Na ana enjoy, anafurahia sababu anakua anajua kwa hilo natimiza kwake sitoki nje (japo natoka ila yy anapata assurance)

Sasa wanawake type yako ndo mnahitaji tuwe na subscriptions za mwananyamala au riverside
 
Kila kitu kikiwa too much ni kero,nishawahi date na mdada wa hivyo asee alinikomesha hadi nikaka kwenye reli nikawa naendana nae.

shida ikaja tulipoachana kashanizoesha halafu ndio hayupo,chakujifia nini nkawa gonga gonga tu.
 
Tukiweka mautani pembeni kuna wanawake wanatamanisha bwana, nimeshakua na mpenzi hakua mpenda sex wala nn ila alikua kabarikiwa kila kitu kipo avarage.

unakula vitu,ukimaliza ukienda kuoga ukirudi ukikuangalia akijifuta akivaa night dress mate yanakutoka,akifunga kanga mate yanashuka na hapo umetoka msugua.

Yawezekana we bibie upo kundi hili unashawishi sanaa,umebarikiwa kiasi kwamba mtu hata kama kashiba anataka aendelee kula tu.
 
ndio kashakua mumeo,solution pekee ni kuendana na upepo unavyovuma hamna kupoa.

NDOA lazima wote mtoke Droo hamnaga matokeo ya 2-1 au 1-0 yani n lazima wote mtoke sare.

kwahyo hapo we anza kupasha mkutane uwanjani.. both team must score.
 
Tukiweka mautani pembeni kuna wanawake wanatamanisha bwana, nimeshakua na mpenzi hakua mpenda sex wala nn ila alikua kabarikiwa kila kitu kipo avarage.

unakula vitu,ukimaliza ukienda kuoga ukirudi ukikuangalia akijifuta akivaa night dress mate yanakutoka,akifunga kanga mate yanashuka na hapo umetoka msugua.

Yawezekana we bibie upo kundi hili unashawishi sanaa,umebarikiwa kiasi kwamba mtu hata kama kashiba anataka aendelee kula tu.
Ilo nalo neno atupie picha tuone kwanza
 
Habari wana Jamii,

Napitia maumivu sana kwenye ndoa yangu naomba kuwashirikisha hii kabla sijachukua maamuzi magumu.

Jamani nahisi kama Mume wangu hana mapenzi na Mimi Huduma anatoa kila kitu lakini hanipi muda wa kukaa tukiwa pamoja ni kusex tu.

Jamani hii kitu inaniuma sana, nimeshazungumza nae mara kadhaa lakini habadiliki sasa nashindwa kuelewa. Labda wanandoa mje nifafanulie hili.

Je, MTU mkiwa kwenye ndoa hakuna kukaa kama marafiki?
Naombeni mnishauri naumia sana.

Nawapenda nyote.
Fukuza huyo hakufai tafuta wa kimoko chali hadi wiki mpige story vizuri.
 
Back
Top Bottom