Msaada: Muwasho mkali makalioni baada ya kutembea na mke wa mtu

Msaada: Muwasho mkali makalioni baada ya kutembea na mke wa mtu

Watafute wataalamu wa jadi wakusaidie ukichelewa utaanza kutoa malenge lenge na baadae vidonda vikubwa na mwisho kifo.

Ukienda kuomba msamaha, jamaa atakuambia dawa yake ni mbegu zake. Kama upo tayari kupasuliwa yai nenda kayamalize ili kunusuru uhai wako.

Na bahati mbaya utapewa ratiba ya kupasuriwa yai kila wiki Mara moja, hutaki unakufa.
Acha urongo!
 
Habari

Ndugu zangu naombeni msaada wenu juzi nilichepuka na mke wa mtu ndugu zangu sasa kinachonitia hofu ni hii hali ya kuwashwa makalioni.

Hii hali inanitesa na hii leo siku ya pili nimenunua mpaka sabuni ya dettol lakini bado muwasho ni mkali sana.

Nimeanza kupata mashaka kuwa yule mwanamke aliwekewa tego au uchawi maana hali hii imeanza kunipata baada tu ya kula tunda.

Nisaidie ndugu zangu, naogopa sana wife akishtukia mchezo.

Sasa hapa najiuliza nikamuombe msamaha jamaa au nifanyeje ili hali hii iishe NATESEKA SANA JAMANI


Wewe hujasikia kwamba "Mke wa mtu ni sumu??!!," sasa sumu imeanzia makalioni kabla ya kusambaa mwilini kote.

Mfuate huyo demu na umueleze hiyo shida na usikie atasemaje??
 
Mkuu hapo nifangasi nayawezekana huyo mwanamke ndio kakuambukiza.

Kuna siku niliuliza 'hivi majimaji ya mwanamke yaukeni yakikugusa sehemu zahaja kubwa kuna madhara yoyote?' ila majibu niliyoyapata humu mengi hayakuwa rafiki.

Niliuliza vile baada yakufanya zinaa namwanamke alafu kuna style tulipiga yeye akiwa juu mimi nikiwa Chini mabaharia wanasema alikuwa anajipimia, wakati akimaliza yaani kupizi alitokwa nauteute mwingi ambao ulipitiliza hadi kwenye anus yangu. Kesho yake niliamka nikahisi panawasha sana ndio nikahisi labda nitatizo nandio nikaja kuuliza swali hapo juu. Ila mwisho wasiku niligundua uenda nifangasi.

So hata wewe uenda nifangasi mkuu wala wasikutushe ukaenda kujikamatisha kwajamaa.
 
Kinachokutesa ni matatizo yako binafsi ya kiafya. Hiyo ya kutembea na mke wa mtu ni kukwepa uwajibikaji tu.
Mbona mimi natembea na wake za watu wengi sana kwenda nao sehemu mbalimbali lakini sipatwi na matatizo yoyote.
 
Umejuaje? Wewe ni Sangoma?
Tulimzika jirani aliyeanza kuwashwa na mkuyenge. Baada ya muda ukaanza Kubota vidonda na mwisho wa siku ulioza wote na kubaki na shimo tu. Alikufa akiwa na shimo tu na wakati wa msiba nilisikia alikula mke wa mtu aliyetegwa.

Kwa maelezo hayo, nimeunganisha nukta
 
Unawashwa juu makalioni au hapo katikati kwenye mnduku/ honi?!
Sema tatizo lako kwa watu wakusaidie
 
Astakafullah......
Naona wanaume tunazidi kupungua kwa kasi wallah
 
Tulimzika jirani aliyeanza kuwashwa na mkuyenge. Baada ya muda ukaanza Kubota vidonda na mwisho wa siku ulioza wote na kubaki na shimo tu. Alikufa akiwa na shimo tu na wakati wa msiba nilisikia alikula mke wa mtu aliyetegwa.

Kwa maelezo hayo, nimeunganisha nukta
Hatari! Mfano mwenye mke kafa, inakuaje hapo?
 
Back
Top Bottom