Msaada: Muwasho mkali makalioni baada ya kutembea na mke wa mtu

Msaada: Muwasho mkali makalioni baada ya kutembea na mke wa mtu

Hapo utakuta mwenye mke wake anakupekecha usiku,ukiamka asubuhi hauogo,shahawa zake zinaanza kukuwasha[emoji2089]
 
kwa uzoefu wangu huo sio muwasho,hapo damu zenu zimeendana...jitahidi tu uwe karibu na huyo mke wa mtu;hiyo hali itaisha yenyewe

pia muwasho unapoanza jitahidi ujikune na kidole cha katikati,hadi ndani...ukiwa umefumba macho;ndio tiba yake.

epuka kutumia dawa za hospital, zitakudhuru
 
Huyu jamaa atakuwa amepasuliwa marinda na yule shemeji yake aliyekuwa anamuonea wivu akimshika dada yake matak 0
 
Mtafute mume wa huyo mwanamke uombe msamaha yaishe tuu
Habari

Ndugu zangu naombeni msaada wenu juzi nilichepuka na mke wa mtu ndugu zangu sasa kinachonitia hofu ni hii hali ya kuwashwa makalioni.

Hii hali inanitesa na hii leo siku ya pili nimenunua mpaka sabuni ya dettol lakini bado muwasho ni mkali sana.

Nimeanza kupata mashaka kuwa yule mwanamke aliwekewa tego au uchawi maana hali hii imeanza kunipata baada tu ya kula tunda.

Nisaidie ndugu zangu, naogopa sana wife akishtukia mchezo.

Sasa hapa najiuliza nikamuombe msamaha jamaa au nifanyeje ili hali hii iishe NATESEKA SANA JAMANI
 
Jaribu kuomba ushauri kwa uliyemchukulia mke wake ila uwe tayari kwa ushauri wowote atakaokupa tena uwe na ushirikiano
 
Back
Top Bottom