Msaada: Muwasho mkali makalioni baada ya kutembea na mke wa mtu

Msaada: Muwasho mkali makalioni baada ya kutembea na mke wa mtu

Kila siku mnaambiwa mke wa mtu...mme wa mtu ni sumu lkn hamtaki sikia ata ...ona ss unavyopata aibu...dah pole sn...kwnn usiridhike na wa kwako jmn
 
Hahahaha 😁😁 nimecheka Kama mazuri, mbingu utaisikia tu kwa jirani
Mi kusema za kweli mbingu naiona kabisa Candy, huyu baladhuli anaejifanya kibolodinda kwa wake za watu ndio hata kuni za jehenamu hastahili kuwa huyu. Ngoja mwenye mke ampe dawa hakuna shida. Muwasho utaisha tu. Na bahati mbaya ugonjwa aliopewa dose yake hadi kupona lazima jamaa amkune kwa miezi 8 kutwa mara moja ndio dose ya kumaliza kabisa muwasho
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom