Msaada: Muwasho mkali makalioni baada ya kutembea na mke wa mtu

Msaada: Muwasho mkali makalioni baada ya kutembea na mke wa mtu

Habari

Ndugu zangu naombeni msaada wenu juzi nilichepuka na mke wa mtu ndugu zangu sasa kinachonitia hofu ni hii hali ya kuwashwa makalioni.

Hii hali inanitesa na hii leo siku ya pili nimenunua mpaka sabuni ya dettol lakini bado muwasho ni mkali sana.

Nimeanza kupata mashaka kuwa yule mwanamke aliwekewa tego au uchawi maana hali hii imeanza kunipata baada tu ya kula tunda.

Nisaidie ndugu zangu, naogopa sana wife akishtukia mchezo.

Sasa hapa najiuliza nikamuombe msamaha jamaa au nifanyeje ili hali hii iishe NATESEKA SANA JAMANI
Tembea na mafuta kabisa mfukoni just in case ulomlia mali zake akikukuta mmalizane kibingwa
 
Habari

Ndugu zangu naombeni msaada wenu juzi nilichepuka na mke wa mtu ndugu zangu sasa kinachonitia hofu ni hii hali ya kuwashwa makalioni.

Hii hali inanitesa na hii leo siku ya pili nimenunua mpaka sabuni ya dettol lakini bado muwasho ni mkali sana.

Nimeanza kupata mashaka kuwa yule mwanamke aliwekewa tego au uchawi maana hali hii imeanza kunipata baada tu ya kula tunda.

Nisaidie ndugu zangu, naogopa sana wife akishtukia mchezo.

Sasa hapa najiuliza nikamuombe msamaha jamaa au nifanyeje ili hali hii iishe NATESEKA SANA JAMANI
Wee si ndio uliwekaga uzi unataka kunyoa nyusi eti huzipendi ndo wakati huu[emoji3][emoji3][emoji3]
 
Habari

Ndugu zangu naombeni msaada wenu juzi nilichepuka na mke wa mtu ndugu zangu sasa kinachonitia hofu ni hii hali ya kuwashwa makalioni.

Hii hali inanitesa na hii leo siku ya pili nimenunua mpaka sabuni ya dettol lakini bado muwasho ni mkali sana.

Nimeanza kupata mashaka kuwa yule mwanamke aliwekewa tego au uchawi maana hali hii imeanza kunipata baada tu ya kula tunda.

Nisaidie ndugu zangu, naogopa sana wife akishtukia mchezo.

Sasa hapa najiuliza nikamuombe msamaha jamaa au nifanyeje ili hali hii iishe NATESEKA SANA JAMANI
Huyu si injinia wa NASA au,!?
 
Yaani watu wengine bana .kula tunda umekula pekee yako. Haujatushirikisha alafu unataka tuumize kichwa chetu kukutafutia suluhu.
 
Kila siku mnaambiwa mke wa mtu...mme wa mtu ni sumu lkn hamtaki sikia ata ...ona ss unavyopata aibu...dah pole sn...kwnn usiridhike na wa kwako jmn
Umeongea kwa hisia sana.
 
Hahahahahahah ukome!
umenikumbusha jamaa mmoja mwizi sugu wa kuku, kuna siku alikosea chaka akaiba kwa mtu wa kujiongeza.
Akaanza kutaga mayai kila asubuhi moja, yalivokua mengi na akaanza kuwa na hali ya kuku anaelekea kuanza kuatamia, akajisalimisha kwa mwenyekiti wa mtaa amsaidie maana hakujua nani kamtengeneza maana anaiba sehemu tofauti tofauti.

Utaukalia tu, na ulete mrejesho.
 
Back
Top Bottom