Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
NASA huwa mnaiba wake za watu pia?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lete leteeeeeKwahiyo unaniruhusu nilete mahali..
Tembea na mafuta kabisa mfukoni just in case ulomlia mali zake akikukuta mmalizane kibingwaHabari
Ndugu zangu naombeni msaada wenu juzi nilichepuka na mke wa mtu ndugu zangu sasa kinachonitia hofu ni hii hali ya kuwashwa makalioni.
Hii hali inanitesa na hii leo siku ya pili nimenunua mpaka sabuni ya dettol lakini bado muwasho ni mkali sana.
Nimeanza kupata mashaka kuwa yule mwanamke aliwekewa tego au uchawi maana hali hii imeanza kunipata baada tu ya kula tunda.
Nisaidie ndugu zangu, naogopa sana wife akishtukia mchezo.
Sasa hapa najiuliza nikamuombe msamaha jamaa au nifanyeje ili hali hii iishe NATESEKA SANA JAMANI
Wee si ndio uliwekaga uzi unataka kunyoa nyusi eti huzipendi ndo wakati huu[emoji3][emoji3][emoji3]Habari
Ndugu zangu naombeni msaada wenu juzi nilichepuka na mke wa mtu ndugu zangu sasa kinachonitia hofu ni hii hali ya kuwashwa makalioni.
Hii hali inanitesa na hii leo siku ya pili nimenunua mpaka sabuni ya dettol lakini bado muwasho ni mkali sana.
Nimeanza kupata mashaka kuwa yule mwanamke aliwekewa tego au uchawi maana hali hii imeanza kunipata baada tu ya kula tunda.
Nisaidie ndugu zangu, naogopa sana wife akishtukia mchezo.
Sasa hapa najiuliza nikamuombe msamaha jamaa au nifanyeje ili hali hii iishe NATESEKA SANA JAMANI
Wachaga mnabei kubwa.. mm mvuvi sijui kama nitaiweza..Lete leteeeee
Wewe lete debe la mbege baasWachaga mnabei kubwa.. mm mvuvi sijui kama nitaiweza..
Hahahaaa utavumilia kuja kulima kweli na kwenda kubeba kuni..Wewe lete debe la mbege baas
Hayo maisha siwezi, niseme tu ukweliHahahaaa utavumilia kuja kulima kweli na kwenda kubeba kuni..
Then you'll lose me..Hayo maisha siwezi, niseme tu ukweli
Huyu si injinia wa NASA au,!?Habari
Ndugu zangu naombeni msaada wenu juzi nilichepuka na mke wa mtu ndugu zangu sasa kinachonitia hofu ni hii hali ya kuwashwa makalioni.
Hii hali inanitesa na hii leo siku ya pili nimenunua mpaka sabuni ya dettol lakini bado muwasho ni mkali sana.
Nimeanza kupata mashaka kuwa yule mwanamke aliwekewa tego au uchawi maana hali hii imeanza kunipata baada tu ya kula tunda.
Nisaidie ndugu zangu, naogopa sana wife akishtukia mchezo.
Sasa hapa najiuliza nikamuombe msamaha jamaa au nifanyeje ili hali hii iishe NATESEKA SANA JAMANI
Dawa yake ni kufumuliwa marinda
Utembee na mke wa mtu uweke tangazo, ushauri unaofaa ndo huo [emoji3]Mkuu huo Naye ni ushauri kweli [emoji1787]
Umeongea kwa hisia sana.Kila siku mnaambiwa mke wa mtu...mme wa mtu ni sumu lkn hamtaki sikia ata ...ona ss unavyopata aibu...dah pole sn...kwnn usiridhike na wa kwako jmn
Ah acha tuuUmeongea kwa hisia sana.