Tychob
JF-Expert Member
- Apr 29, 2013
- 3,972
- 5,170
Bado sijaanza lasmi kuna vitu naweka sawa mkuu.umefikia wapi kwenye mchakato mimi sina ata pa kuanzie nipe dondoo nipate pa kuanzia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bado sijaanza lasmi kuna vitu naweka sawa mkuu.umefikia wapi kwenye mchakato mimi sina ata pa kuanzie nipe dondoo nipate pa kuanzia
kama ikikupendeza naomba tubadilishane namba za simu zangu ni 0sita79tano21344Bado sijaanza lasmi kuna vitu naweka sawa mkuu.
Inaonyesha watz wako na tabia flani ambayo inazingua, sema kwa upande wa wenzetu wa kenya wao wako na changamoto nyingi zakimaisha kuliko hata huku tz kwaiyo wakiskia kuna job mahali hawalazi damuUnachosema kuhusu hao Agents kuwepo Kenya ná Uganda ni kweli kabisa. Wakenya wako wengi sana Qatar na Dubai. Nilishangaa sana sikupata nafasi ya kukutana na mbongo hata mmoja. Basi nikawauliza inakuwaje wako wengi sana kule wanapataje kazi? Ndiyo wakanijibu kwamba nchini mwao kuna maagents ambao wameingia mikataba na waajiri au maagents wa huko kwa hiyo wao wanafanya taratibu zote za ajira na wakiridhika na mtu kwa ajira zilizotangzwa kule na waajiri au maagents basi wanafuata taratibu zote za kuingia nchi hizo kihalali ili mhusika akishafika kule na kukamilisha taratibu zote za kuingia anaanza kazi mara moja. Sidhani kama hao maagents wa Kenya na Uganda watakubali kumsaidia Mtanzania.
Watu kama nyie huwa mnazinguaga sana.Kuna jamaa wako pale posta mpya watoto wa mishen town hata ukitaka kwenye Kingston fasta tu. Tatizo nimepoteza no. Zao, mmoja wao ni Ras
Wanakuwaga wagumu sana maana wa bongo wengi wazinguaji, unakuta mtu hana hata passport halafu anaenda agent wa Kenya ..kwa hiyo wanawakataa..halafu pia wanaweka bei juu sana kwa watz, unakuta hadi USD 1000 uko wakati kwa mkenya mwenzake ni 100 tu.Unachosema kuhusu hao Agents kuwepo Kenya ná Uganda ni kweli kabisa. Wakenya wako wengi sana Qatar na Dubai. Nilishangaa sana sikupata nafasi ya kukutana na mbongo hata mmoja. Basi nikawauliza inakuwaje wako wengi sana kule wanapataje kazi? Ndiyo wakanijibu kwamba nchini mwao kuna maagents ambao wameingia mikataba na waajiri au maagents wa huko kwa hiyo wao wanafanya taratibu zote za ajira na wakiridhika na mtu kwa ajira zilizotangzwa kule na waajiri au maagents basi wanafuata taratibu zote za kuingia nchi hizo kihalali ili mhusika akishafika kule na kukamilisha taratibu zote za kuingia anaanza kazi mara moja. Sidhani kama hao maagents wa Kenya na Uganda watakubali kumsaidia Mtanzania.
Sasa nimezingua kupoteza no. Au?Watu kama nyie huwa mnazinguaga sana.
ni watz...?
USD 1000 kwa mbongo halaf hana ramani ni ngumu bora hiyo 100 inapatkanikaWanakuwaga wagumu sana maana wa bongo wengi wazinguaji, unakuta mtu hana hata passport halafu anaenda agent wa Kenya ..kwa hiyo wanawakataa..halafu pia wanaweka bei juu sana kwa watz, unakuta hadi USD 1000 uko wakati kwa mkenya mwenzake ni 100 tu.
Unaanza vizuri mwishowe unasema huna no. bora ungekaa kimya tu maana unatia watu mizuka halafu unawakata mwishoni.Sasa nimezingua kupoteza no. Au?
Ndo hivyo Sasa inakuwa changamoto hapo mkuu.USD 1000 kwa mbongo halaf hana ramani ni ngumu bora hiyo 100 inapatkanika
Tupe connection za uwarabuni huko mkuuNdo hivyo Sasa inakuwa changamoto hapo mkuu.
Kabisa umesema ya ukweli uki tumia teknolojia utapata taarifa za kutosha bila hata hao madalaliNjia rahisi ya kupata mishe huko ni kwenda mwenyewe kwa nauli yako na fedha za kujikimu kwa muda utakaokuwa unatafuta kazi,
Agent yyyte anayetaka pesa ili akufanyie mchongo wa kazi huko nje achana naye ni magumashi.. toka lini wewe ukahitaji house girl aje mjini kukufanyia kazi , harafu huyo anayekutafutia house girl, amuombe hela house girl ili apate kazi mjini? Huwa haipo hivyo ... haaa ma agent wanalipwa na kampuni... na wewe ndio bidhaa wanayoiuza!, hupaswi kulipia ..
Bora mtu ukaenda mwenyewe na kutafuta kazi yenye maslahi utakayoona itakufaaa..
Kila la kheri nikisepa nitakutag!!
Ndio hivyo mkuu ukipata taarofa sahihi na za kutosha , kisha ukwa na kiasi cha fedha kama 3mil baso unaweza kwenda kuranda randa na ukafanikiwa maana ukichek zile site google post za ajira ni kila sikuKabisa umesema ya ukweli uki tumia teknolojia utapata taarifa za kutosha bila hata hao madalali
Mkuu ukisepa n tag pia na mm nipo kwa arakat za kusepa pia hope Mungu atatufungulia njiaaa tutakutana uko na kila kitu kitakuw sawaaa mkuuuNdio hivyo mkuu ukipata taarofa sahihi na za kutosha , kisha ukwa na kiasi cha fedha kama 3mil baso unaweza kwenda kuranda randa na ukafanikiwa maana ukichek zile site google post za ajira ni kila siku
Kazi ni nyingi Sana maana wahindi wengi hawaingii hasa Qatar hapa ..fanya hima uje.Tupe connection za uwarabuni huko mkuu
Tukumbushane tu! , PASSPORT na nauli uwe nayo pia !Mkuu ukisepa n tag pia na mm nipo kwa arakat za kusepa pia hope Mungu atatufungulia njiaaa tutakutana uko na kila kitu kitakuw sawaaa mkuuu
Posta mpya, lile jengo wanauza suti, opposite na Embassy hotelmtaa gani ndugu
Na ella ya kujikimuu kwa kipindi unatafuta mishee mze hiyo ndo muhmu sana Mkuu Passport na nauli kwa mtu aliye Serious haitaji kukumbushwa kbsaTukumbushane tu! , PASSPORT na nauli uwe nayo pia !