Msaada mwenye connection ya ajira nchi za Kiarabu

Msaada mwenye connection ya ajira nchi za Kiarabu

kazi ipo kama upo serious nitafute jamaa atawafanyia interview ijumatatu means 12/7/2021

kazi ni ya udereva tax wa kampuni ambayo utakuwa unafanya kwa masaa 12 tu kwa siku.

mahitaji ni passport na leseni ya udereva class C.

Wadhamini wawili wanaofanya kazi serikalini.

mshahara ni 800$ ambayo utakuwa unalipwa kila mwisho wa mwezi.

Note:
kinachohitajika ni passport na driver licens tu,viza na vitu vingine vyote utalipiwa isipokuwa utakatwa 800$ kama gharama ya agent ambae atakuwa responsible kwa lolote utapokuwa huko dubai.

makato hayo ya agent yatafanyika kama ifuatavyo.

Baada ya kupewa viza na kupatiwa ticket yako ya ndege na kusaini mkataba ukiwa air port utatakiwa kumpa agent 200$ kama malipo yake ya kwanza na hizo 600$ utatakiwa kulipa kwa kukatwa 100$ kila mwisho wa mwezi kwa miezi 6.

na safari mnatakiwa mpaka tarehe 25 muwe mlishasafiri.

Note 2:
kuhusu usalama wa mwajiriwa ni kwamba mkataba wenu utakuwa signed chini ya wizara ya kazi na ajira na kutakuwa na sehemu ya ubalozi wa Tanzania na mnakoenda kusign.
pia mwishoni kutakuwa na wadhamini wa hiyo kampuni(mwajiri) ambao wanaishi masaki ambao watakuwa responsible kwa lolote litalowapata mkiwa kwenye ajira yenu dubai.

Nafasi zilikuwa 10 now bdo wawili so kama utakuwa na vigezo au interested
karibu pm ila hakikisha unavigezo husika.
kiukweli ndugu yangu vigezo bado sina...ila kama huto jari naomba niiifadhi hii comment siku nitakapo kuwa nimeshatimiza vigezo...pakiwa na nafasi nyingine tafadhali sana nitaomba uniconsinder....bado nilirenew leseni yangu bado haijatoka na passpot pia bado japo ndani ya wiki ijayo naweza kuwa nimeipata passpot...ila kwa upande wa leseni sina uhakika
 
kiukweli ndugu yangu vigezo bado sina...ila kama huto jari naomba niiifadhi hii comment siku nitakapo kuwa nimeshatimiza vigezo...pakiwa na nafasi nyingine tafadhali sana nitaomba uniconsinder....bado nilirenew leseni yangu bado haijatoka na passpot pia bado japo ndani ya wiki ijayo naweza kuwa nimeipata passpot...ila kwa upande wa leseni sina uhakika
Ukifika Dubai usitusahau ndugu zako.
 
Unachosema kuhusu hao Agents kuwepo Kenya ná Uganda ni kweli kabisa. Wakenya wako wengi sana Qatar na Dubai. Nilishangaa sana sikupata nafasi ya kukutana na mbongo hata mmoja. Basi nikawauliza inakuwaje wako wengi sana kule wanapataje kazi? Ndiyo wakanijibu kwamba nchini mwao kuna maagents ambao wameingia mikataba na waajiri au maagents wa huko kwa hiyo wao wanafanya taratibu zote za ajira na wakiridhika na mtu kwa ajira zilizotangzwa kule na waajiri au maagents basi wanafuata taratibu zote za kuingia nchi hizo kihalali ili mhusika akishafika kule na kukamilisha taratibu zote za kuingia anaanza kazi mara moja. Sidhani kama hao maagents wa Kenya na Uganda watakubali kumsaidia Mtanzania.

Dah kwa kweli inauma sana, inaumiza lakini ni ukweli sisi tupo nyuma sana, Yani Dubai wa Kenya na waganda ni wengi sana inatia wivu kabisa
 
awawezi kabisa...kwasababu watanzania walio wahi kwenda huko wale wa mwanzo hawakuwa na moyo wa uvumilivu tofauti na wakenya ama waganda ama kutoka mataifa mengine...kwakifupi watanzania atuaminiki...nimefanya mawasiliano na maagent wote hao na bila kupepesa maneno wamenijibu majibu yanayo fanana...hadi nguvu ziliniisha ivi sasa nia yangu ni kupambana kupata njia ili nitengeneze njia kwa wengine wenye nia ya dhati ya kufanya kazi

MKuu kwanza hongera kwa kuwa na uthubutu wakutaka kufany maamuzi kama hayo.

Waganda na wakenya wapo mbali sana, na wanakula matunda ya kaka zao waliotangulia kwenye hayo ma beach, sisi kaka zetu waliotangulia wengi wao walikata tamaa mapema na waliofanikiwa wakawa ni wabinfsi sana.

Nina uzoefu wa kiasi kuhusu Dubai.
njia nyepesi ya kupata ajira ni kujiripua tu mkuu, ukate ticket na visa kama ya miezi mitatu wende ukatafutie kule kule kazi, hapo ni rahisi zaidi kupata kuliko ukiwa huku.
 
Prince Mhando Na pia kama utakua na hela kiasi ni vyema kufanya haya ninayokwambia, Ukafanye training ya either week au 2 weeks ya security ili upate leseni ya DUBAI ya security hii itakurahisishia kupata ajira kiwepesi sana, ndio michongo wanayotumia wahindi na wanigeria. Ila ni bei kidogo hiyo training inaweza kufika dirham 4000. (kama 2.5m ya kibongo) Ila ukiwa nahiyo uhakika hulali na njaa.
 
MKuu kwanza hongera kwa kuwa na uthubutu wakutaka kufany maamuzi kama hayo.

Waganda na wakenya wapo mbali sana, na wanakula matunda ya kaka zao waliotangulia kwenye hayo ma beach, sisi kaka zetu waliotangulia wengi wao walikata tamaa mapema na waliofanikiwa wakawa ni wabinfsi sana.

Nina uzoefu wa kiasi kuhusu Dubai.
njia nyepesi ya kupata ajira ni kujiripua tu mkuu, ukate ticket na visa kama ya miezi mitatu wende ukatafutie kule kule kazi, hapo ni rahisi zaidi kupata kuliko ukiwa huku.
asante....ila nimeona njia ya kujilipua ni very risk sana kamanda...kwasababu nahitajika kuwa na pesa nyingi...hivyo sito mudu kabisa...kipato changu kwa sasa nikiamua kuweka pesa hadi ifike 1m maana yake hapo nizime simu zote niishi maisha ya peke yangu peke yangu...kiukweli siwezi pesa ninayopata ni ndogo sana
 
Prince Mhando Na pia kama utakua na hela kiasi ni vyema kufanya haya ninayokwambia, Ukafanye training ya either week au 2 weeks ya security ili upate leseni ya DUBAI ya security hii itakurahisishia kupata ajira kiwepesi sana, ndio michongo wanayotumia wahindi na wanigeria. Ila ni bei kidogo hiyo training inaweza kufika dirham 4000. (kama 2.5m ya kibongo) Ila ukiwa nahiyo uhakika hulali na njaa.
na kwa hapa bongo nilisoma course ya security basic ambayo kampuni ninayofanyia kazi walitusomesha hivyo ninacho cheti...je kitafaa...?
 
Back
Top Bottom