Msaada: Najua natembea na changudoa, lakini kumuacha siwezi

Hongera sana..
Moyo wako ni zaid ya moyo machine...

Ila kumbuka kutumia kinga ndugu yangu
 
akafanikiwa kulitumia dushe langu kama kipaza sauti na kufanikisha kuniliza chozi moja la fasta.

😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀
hiki michangia kunifanya niwe ndondocha, najua anabadilisha kama nguo lakini maamuzi ni magumu
 
Ibra si ulisema unamtu humu Jf na uko nae kimahusiano? Tena unajivunia kua nae! Kulikoni sasa?
Moyo huficha mengi nimemshirikisha katika
hili na ni mmoja kati ya wanaonipigania. na hili ndilo chanzo cha mimi na yeye kuwa wapenzi huyu dada wa JF ndio maana sijaficha kitu
 
Ubarikiwe mkuu
 
Umetumia washkaji na watoto wa mwenye nyumba kumngoa kahaba?,siungetangaza dau tu.pole sana kaka
 
Umetumia washkaji na watoto wa mwenye nyumba kumngoa kahaba?,siungetangaza dau tu.pole sana kaka
mwanzo aliificha tabia yake, ingawa nilimgundua kwa siku ya kwanza tu kuongea naye
 
Akikupiga ngumi ya sikio na wewe mpige ngumi ya macho, akikuuliza unasikiaje na wewe muulize unaonaje. Ndugu na wewe tafuta demu mwingine tena awe changu full stop.
 
Moyo huficha mengi nimemshirikisha katika
hili na ni mmoja kati ya wanaonipigania. na hili ndilo chanzo cha mimi na yeye kuwa wapenzi huyu dada wa JF ndio maana sijaficha kitu
Nahisi Kichwa changu Kizito leo sijakuelewa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…