Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio ukumbuke kinga usiende kavuuuNilijaribu ili nisikae lakini sasa naona nazama kabisa
Moyo huficha mengi nimemshirikisha katikaIbra si ulisema unamtu humu Jf na uko nae kimahusiano? Tena unajivunia kua nae! Kulikoni sasa?
Ubarikiwe mkuuKuacha malaya au chagudoa yahitaji busara sana na kadiri unavyozidi kukutana nae ndivyo unavyozidi kujihatarisha. Fanya hivi, kama ulikuwa na girlfriend hapo kabla muite aje akutembelee na mruhusu akae hata wiki moja kwako. Nenda nae out na rudi usiku, fanya hivyo huku ukijenga taswira kichwani kuwa huyo chagudoa ni hatari kwako na maisha yako ya baadae baada ya siku tatu utaanza kumuona mtu wa kawaida sana, hivyo ndivyo nilikuwa nafanya mimi nikigundua demu asiye mwaminifu. Kumbuka kuachana na huyo chagudoa hakutokufanya ulazwe hospital na ukiona huwezi kuvumilia tabia na mienendo yake hamia sehemu nyingine. Mkwara wa kwamba atajiua ashakuona una vinasaba vya Ubushokeshoke hivi.
upendo ehh!bas ukimwi utakupenda zaidiwakati mwingine huwa nipo makini katika hilo lakini Upendo umezidi maamuZI
Nahisi Kichwa changu Kizito leo sijakuelewaMoyo huficha mengi nimemshirikisha katika
hili na ni mmoja kati ya wanaonipigania. na hili ndilo chanzo cha mimi na yeye kuwa wapenzi huyu dada wa JF ndio maana sijaficha kitu
Mmhhh... Mwenzangu tuna task ya kumuombea mkulu WA injii hiiniombeeni Makapuku wenzangu