Msaada: Najua natembea na changudoa, lakini kumuacha siwezi

Msaada: Najua natembea na changudoa, lakini kumuacha siwezi

Kuna mambo kama matatu
1.ulikuwa mpweke na bado ni mpweke
2.huna ujasiri wa kumface mwanamke unaempenda ndio maana ukapewa shavu na mtoto wa mwnye nyumba.
3.huna nguvu ya kufanya maamuzi kuhusu future yako na yeye pia amekujua kwamba hawezi kukutegemea so bora aendelee maana huna msimamo
Ushauri
Tafuta binti mwingine ambae angalau ni decent anzisha mahusiano huyo utamuacha.
 
Pole sana mkuu...cha msingi ni kuhama hiyo nyumba...tafuta nyumba ya mbali na hapo unapoishi kwa sasa kisha siku ya kuhama unamvizia akitoka na jamaa zake we unahamisha vitu vyako ili asije akakufatilia unakokwenda kuishi kwa kuepuka usumbufu

Unampenda ndio lakini hakufai kwa maisha yako ya baadae huyo...ni ushauri tu lakini mtendaji mkuu ni ww mwenyewe hapo.
Nitajaribu kulifanya hili kwa mbinu ambazo hatoweza kugundua
 
Kuna mambo kama matatu
1.ulikuwa mpweke na bado ni mpweke
2.huna ujasiri wa kumface mwanamke unaempenda ndio maana ukapewa shavu na mtoto wa mwnye nyumba.
3.huna nguvu ya kufanya maamuzi kuhusu future yako na yeye pia amekujua kwamba hawezi kukutegemea so bora aendelee maana huna msimamo
Ushauri
Tafuta binti mwingine ambae angalau ni decent anzisha mahusiano huyo utamuacha.
nimeupokea ushauri wako nitalifanya hili. kuna wakati huwa ananipa IMANI na kuonyesha mahaba mazito hasa akiwa namimi, lakini akiondoka yale yote haya kumbuki
 
uliliepuka vipi mkuu?
Mm niliekutana nae, club flan Sinza. Siku hiyo nimeenda na bro ametoka South. Namuonesha viwanja. Mida ya saa nane tukawa tunatoka nikamwona binti mrembo sanaaa na mdogo kama miaka 18 au 19 hivi, nikashuka eti nayumbisha nimempenda, akakubari kuingia kwenye gari mpaka lodge.
Siku nikachukua namba namuita mda nnaotaka, nikaaanza michakato ya kumpeleleza bila yeye kujua, nikagundua paka, akaja akaniambia. Nikajikuta naendelea kumpenda aisee. Nikaanza mara namuonga simu mara nini. Kipindi icho nipo ofisi flan nyeti. Akawa anaforce nimtafutie issue ya kufanya nimuoe.
Nilichokifanya, niliblock namba yake na kuifuta na sms zake zote. Nilimsahau kwa lazima.
 
Yeah nimemchunia na simsemeshi hata sms sijamtumia. Roho imeniuma sana
Kama bado umemchunia na yeye amekausha basi endelea kumchunia kwa wiki moja hadi mbili...ukifanikiwa hapo basi huna hata haja ya kuhama...utakuwa umemuonyesha kwamba unaweza kuishi bila yeye na baadae tafuta mwingine anayekufaa zaidi na kata kabisa mawasiliano nae.
 
Hama hapo hamna kitu atakachofanya utakonda kwa kukodolea changu kaamua kutoa papuchi yake.

Hutoweza kuvumilia maana unapenda wewe ungetakiwa upige na kuondoka
 
Kwanza hongera kwa kuwa mkweli kwamba unampenda changudoa na kwa maelezo yako nadhani pia na yeye anakupenda.Hapa kuna mawili Mkuu moja umshawishi aachane na hiyo biashara yake ili muendelee na penzi lenu (Je, utaweza kumtimizia matakwa yake kwa pesa atakayoikosa kwa kuachana na uchangudoa?) au uendelee kumpenda huku ukiendelea kuumia moyoni kila umuonapo akishushwa na wateja wake karibu kila asubuhi baada ya kugegedwa usiku kucha.

Maamuzi ni yako moyo wako na akili inabidi viwe page moja ili uweze kuamua nini cha kufanya. Kila la heri na baraka.

nipo makini katika kujilinda. Lakini hainiondolei ukweli kwamba nampenda Huyu binti
 
Akuombe samahani kwa lipi Mkuu wakati hiyo ndiyo shughuli yake inayompatia kula yake? Hata kama atakuomba samahani itakuwa ni ya kinafiki na baadaye tena leo huyoooo anaingia kwenye night shift.

nimekaa kimya kutwa nzima nikitegemea kuombwa msamaha lakini ameamua nae kukaa kimya
 
Wasalaam
wakuu

Nikama miezi mitatu imepita tokea nilipoanzisha mahusiano na binti mmoja hivi mwenyeji wa mkoani Kilimanjaro.

ni binti mzuri wa sura, mweupe wa rangi na mwenye macho sahihi ya kike. Uhusiano wangu na binti ulianza pale alipohamia kwenye nyumba ninayoishi mimi akitokea maeneo ya Mji mwema Kigamboni. Mara ya kwanza kukutanisha macho yetu nilihisi Moyo wangu ukiniambia kitu. Moyo wangu ulizungumza tamaa, Tamaa juu ya umbo la mtoto yule wa Kichaga. Nikatamani kumpata na kumfanya wangu kwa kipindi kirefu kwa kuwa alikuwa anavutia sana.

Kwa kuwatumia washkaji hasa mtoto wa mwenye nyumba yangu nikafanikiwa kumpata mtoto huyu na kitu ambacho kilinivutia ni pale tulipoongea siku ya kwanza tukiwa wawili akafanikiwa kulitumia dushe langu kama kipaza sauti na kufanikisha kuniliza chozi moja la fasta.

Baada ya tukio hilo mapenzi yakazaliwa huku tukipeana na wakati mwingine akijakuchukuliwa na magari kisha kurudishwa asubuhi. Niliendelea kuvumilia hali ile kwa kuwa nilijiwekea kwamba napiga kwa muda kisha nasepa lakini sasa naona nimedata naye amenasa. Kumuacha nashindwa
na yeye kuacha UCHANGUDOA hawezi. Kuna wakati alikuwa akitishia kujiua iwapo angenifumania na kikubwa anasema ameshafanya matukio makubwa ya kucharanga viwembe wanawake wenzie.

hilo linanitisha na kunisumbua. ni kweli ni mzuri, ni kweli ni fundi kiasi chake. Lakini bado ni muuzaji na kibaya zaidi najua kuwa anajiuza. Jana nilijaribu kuongea naye lakini mwisho wa siku akaangukia kwenye kunipa penzi. Nilijikuta nikisahau hata kuendelea kumuuliza. Tuliagana vizuri baada ya mechi na kuniambia kuwa anakwenda kulala, Lakini cha ajabu Nimeamka asubuhi namuona akishushwa na gari akiwa na mizigo. Moyo Unaniuma, nimeamua kumnunia lakini siwezi kwa kuwa Nampenda sana.

MSAADA KATIKA HILI
Mburaa... Mmeku we endelea tu kupiga kwanza UKIMWI wa siku hizi hats hauwi kama wa zamani!
 
Back
Top Bottom