Msaada: Najua natembea na changudoa, lakini kumuacha siwezi

Msaada: Najua natembea na changudoa, lakini kumuacha siwezi

ibra87 katika penzi zito na kahaba..teh teh!

Kwa nini ulianza mahusiano na mtu bila kujua angalau ABC kumhusu? Labda kama na wewe ulitaka hit, otherwise ulikosea.
Ukirudi nyuma namna hiyo haitamsaidia, msaidie kuanzia hapo alipo sasa afanyeje!
 
Kuhusu CHRISTINA wangu huko sina mashaka. Licha ya Kupatwa na hili janga lakini still natimiza wajibu wangu kama baba.

Kuhusu Condoms hilo sio la kuuliza MKUU

Aise!!pole
 
nimekaa kimya kutwa nzima nikitegemea kuombwa msamaha lakini ameamua nae kukaa kimya
Duh una umri gani? Tuanzie hapo! Pia una shughuli ya kufanya? Huo muda ambao yeye anarudishwa nyumbani wewe huna mahali pa kwenda! Hebu nakushauri tafuta shughuli ya kufanya usijitafutie Bp bure!
 
Wasalaam wakuu,

Nikama miezi mitatu imepita tokea nilipoanzisha mahusiano na binti mmoja hivi mwenyeji wa mkoani Kilimanjaro.

Ni binti mzuri wa sura, mweupe wa rangi na mwenye macho sahihi ya kike. Uhusiano wangu na binti ulianza pale alipohamia kwenye nyumba ninayoishi mimi akitokea maeneo ya Mji Mwema Kigamboni. Mara ya kwanza kukutanisha macho yetu nilihisi Moyo wangu ukiniambia kitu. Moyo wangu ulizungumza tamaa, tamaa juu ya umbo la mtoto yule wa kichaga. Nikatamani kumpata na kumfanya wangu kwa kipindi kirefu kwa kuwa alikuwa anavutia sana.

Kwa kuwatumia washkaji hasa mtoto wa mwenye nyumba yangu nikafanikiwa kumpata mtoto huyu na kitu ambacho kilinivutia ni pale tulipoongea siku ya kwanza tukiwa wawili akafanikiwa kulitumia dushe langu kama kipaza sauti na kufanikisha kuniliza chozi moja la fasta.

Baada ya tukio hilo mapenzi yakazaliwa huku tukipeana na wakati mwingine akijakuchukuliwa na magari kisha kurudishwa asubuhi. Niliendelea kuvumilia hali ile kwa kuwa nilijiwekea kwamba napiga kwa muda kisha nasepa lakini sasa naona nimedata naye amenasa. Kumuacha nashindwa na yeye kuacha UCHANGUDOA hawezi. Kuna wakati alikuwa akitishia kujiua iwapo angenifumania na kikubwa anasema ameshafanya matukio makubwa ya kucharanga viwembe wanawake wenzie.

Hilo linanitisha na kunisumbua ni kweli ni mzuri, ni kweli ni fundi kiasi chake. Lakini bado ni muuzaji na kibaya zaidi najua kuwa anajiuza. Jana nilijaribu kuongea naye lakini mwisho wa siku akaangukia kwenye kunipa penzi. Nilijikuta nikisahau hata kuendelea kumuuliza. Tuliagana vizuri baada ya mechi na kuniambia kuwa anakwenda kulala, lakini cha ajabu nimeamka asubuhi namuona akishushwa na gari akiwa na mizigo. Moyo unaniuma, nimeamua kumnunia lakini siwezi kwa kuwa nampenda sana.

MSAADA KATIKA HILI
..Siyo Jenerali Galadudu Wewe,..
 
We umeshapigwa shuntama sio bure,,,kama walivyosema wengine oa tu na umhudumie ataacha hiyo kazi,, wengi wanafanya kwa dhiki na ugumu wa maisha
Shemu ni Rahisi kumtia kofi MP wa jeshi kuliko mimi kumuacha huyu. Ingawa sijaongea naye kutwa nzima lakini hapa nilipo nahisi kuungua
 
hakikisha akili yako haiendeshwi na nafsi" kupenda changudoa ni sawa na mapenzi ya kitunguu bora ulizwe na penzi kuliko kulizwa na mdudu wa karne
 
Dem anatoka kugongwa na ww dushe linasimama unakwea?? Huna kinyaa? Kabalehe ukubwani shida sana haya endelea kujisifia udhaifu na ufala
 
Ivi wewe unaakili timamu kweli kwanza cha kufanya sasa ivi kapime maan sidhani tena kama wewe n mzima kuanzia afya yako mpka ajili,ukigundua una maambukizi naomba na iyo nyumba ama kabisaa acha kuendekeza tamaa za ngono wewe utakufa vibaya sana ,,Ningekuwa karibu ningekunasa ata vibao shenzi kabisaa ayaa fanya haraka nlichokwambia [emoji21][emoji21]
 
Back
Top Bottom