Weera weraaaa
JF-Expert Member
- Feb 15, 2013
- 740
- 657
Simwachii Mungu mkuu, paka huyu lazima afe!!!Fuga Mbwa mkali mkuu,Mambo ya kuua ua muachie Mungu mwenyewe.
Sijajaribu yoyote bado mkuuMkuu ushajaribu njia zipi kumkabili huyo kiumbe muharibifu?
subutuuuu! mdanganye wamng'oe PumbzSisi zamani tulikuwa tunaacha mlango wa nyumba wazi na huko ndani tunaweka mzoga wa kuku au nyama yoyote ile. Usiku tunalala wanakuja na kuingia ndani na kisha tunaanza kuwashambulia baada ya kufunga mlango.
Tulikuwa tunawaua sana, wanaweza kuingia hata watano, tukifunga mlango humo ndani ni vurugu hadi wafe wote.
Sisi zamani tulikuwa tunaacha mlango wa nyumba wazi na huko ndani tunaweka mzoga wa kuku au nyama yoyote ile. Usiku tunalala wanakuja na kuingia ndani na kisha tunaanza kuwashambulia baada ya kufunga mlango.
Tulikuwa tunawaua sana, wanaweza kuingia hata watano, tukifunga mlango humo ndani ni vurugu hadi wafe wote.
Huwa unakula kuku hai nini mkuu? Sihitaji ushauri wa kutomuua ila namna bora ya kumuua.Kwanini umuue. ..kwani wewe ndiye mwenye haki pekee ya kuishi duniani. .....yaani mtu unaongelea kuua kiumbe as if ni normal thing kweli..?
Mkuu Viatu vya Samaki , humo ndani paka watano nitasalimika kweli? Nataka sumu ya kumuua. Ile ya panya haifai?Sisi zamani tulikuwa tunaacha mlango wa nyumba wazi na huko ndani tunaweka mzoga wa kuku au nyama yoyote ile. Usiku tunalala wanakuja na kuingia ndani na kisha tunaanza kuwashambulia baada ya kufunga mlango.
Tulikuwa tunawaua sana, wanaweza kuingia hata watano, tukifunga mlango humo ndani ni vurugu hadi wafe wote.
Huwa unakula kuku hai nini mkuu? Sihitaji ushauri wa kutomuua ila namna bora ya kumuua.
Sijawahi kujaribu sumu ila mimi wakati nipo kijijini hiyo ndiyo ilikuwa njia nzuri ya kuwaua.Mkuu Viatu vya Samaki , humo ndani paka watano nitasalimika kweli? Nataka sumu ya kumuua. Ile ya panya haifai?
Unashiriki kumdhulumu kwa kuwa ukiacha kula wewe, hatachinjwa. Binadamu wezi wanauawa sembuse hawa paka wezi?Nakula kuku mfu. .Lakini angalau huwa sishiriki katika kumdhulumu uhai wake. ...Pia kama isingekuwa kukulia kwenye mazingira yanayo halalisha mauaji ya kuku. .nisingelikuwa Nakula nyama yao kabisa
Kwa hiyo unamshauri jamaa aache paka watafune kuku tu... yani unamshauri afuge kwa ajili ya paka pori??Nakula kuku mfu. .Lakini angalau huwa sishiriki katika kumdhulumu uhai wake. ...Pia kama isingekuwa kukulia kwenye mazingira yanayo halalisha mauaji ya kuku. .nisingelikuwa Nakula nyama yao kabisa
kweli wewe ni Viatu vya SamakiSisi zamani tulikuwa tunaacha mlango wa nyumba wazi na huko ndani tunaweka mzoga wa kuku au nyama yoyote ile. Usiku tunalala wanakuja na kuingia ndani na kisha tunaanza kuwashambulia baada ya kufunga mlango.
Tulikuwa tunawaua sana, wanaweza kuingia hata watano, tukifunga mlango humo ndani ni vurugu hadi wafe wote.
Kwa hiyo unamshauri jamaa aache paka watafune kuku tu... yani unamshauri afuge kwa ajili ya paka pori??
Unashiriki kumdhulumu kwa kuwa ukiacha kula wewe, hatachinjwa. Binadamu wezi wanauawa sembuse hawa paka wezi?
Sisi zamani tulikuwa tunaacha mlango wa nyumba wazi na huko ndani tunaweka mzoga wa kuku au nyama yoyote ile. Usiku tunalala wanakuja na kuingia ndani na kisha tunaanza kuwashambulia baada ya kufunga mlango.
Tulikuwa tunawaua sana, wanaweza kuingia hata watano, tukifunga mlango humo ndani ni vurugu hadi wafe wote.