Weera weraaaa
JF-Expert Member
- Feb 15, 2013
- 740
- 657
Habari wakuu. Kuna mahala hapa paka pori shume wananisumbua haswa. Wanaiba mayai, wanakamata kuku n.k. naomba nisaidiwe namna ninavyo weza kuwaua kwa sumu
-----------------------------------------------------------------------------------------
MREJESHO:
nawashukuru kwa msaada. Paka Yule Amekufa Jana. Nilimtega na sumu ya panya Aina ya ratox packet sita, vidonge nane vya ibuprofen na vidonge sita vya indocid. Hivyo nilimpa na msosi wa Samaki.
Ahsanteni Sana.
-----------------------------------------------------------------------------------------
MREJESHO:
nawashukuru kwa msaada. Paka Yule Amekufa Jana. Nilimtega na sumu ya panya Aina ya ratox packet sita, vidonge nane vya ibuprofen na vidonge sita vya indocid. Hivyo nilimpa na msosi wa Samaki.
Ahsanteni Sana.