Msaada namna na kuondoa watuamiaji kwenye router ya airtel 5G

Msaada namna na kuondoa watuamiaji kwenye router ya airtel 5G

Habari wakuu,
Nimenunua Router ya airtel 5G (smart box), nimejiunga kifurushi cha unlimited cha 110,000/- kwa mwezi, nimepata changamoto ambayo hata airtel wenyewe wameshindwa kunisaidia.

Nimeona kuna tatizo kwenye kifaa chao mfano nilimuunga rafiki yangu kwenye simu yake ya Samsung s20, chakushangaza kwenye simu yake kuna QR code inayomruhusu kushare wifi yangu kwa mtu mwingine bila kutumia password, naomba msaada jinsi ya kuzuia mtu kushare wifi.

Kila nikiangalia kwenye connect list naona kuna users zaidi ya 10, mimi binafsi natumia simu na laptop pekee, nahisi rafiki yangu ame share kwa watu mwengine.

naomba msaada wakuu ili niweze kuwaondoa au kuzuia hili tatizo, nimajaribu kubadilisha password lakini kila nikimpa password rafiki yangu nashangaa baada ya muda users wanaongezeka, binafsi huyu rafiki tunafanya nae biashara ni lazima akija ofisini kwangu atumie wifi yangu.
Pole. Rafikiyo anagawa password so badilisha pass word na usimpe huyo ndio mchawi. Wahuni washa piga picha. Hapo pakuscan so wana enjoy tu wifi
 
Mwondoe huyo rafiki yako kwenye mtandao wako na kila kitu kitakaa sawa. Wewe ndio admin wa hicho kifaa chako, hivyo kumpa Access huyo rafiki yako kupitia password yako mwenyewe unampa mamlaka ya kuwa admin wa vifaa vingine ambavyo wewe hutaweza kuvidhibiti. 🤓
 
Mwondoe huyo rafiki yako kwenye mtandao wako na kila kitu kitakaa sawa. Wewe ndio admin wa hicho kifaa chako, hivyo kumpa Access huyo rafiki yako kupitia password yako mwenyewe unampa mamlaka ya kuwa admin wa vifaa vingine ambavyo wewe hutaweza kuvidhibiti. 🤓
Ikiwezekana muuzie vifurushi kimya kimya.
 
Tuna unlock Router za airtel 5g (Models: ZLT x20, x21, x25pro, x25A, x28, x28pro) kwa gharama ya Tsh 10,000 tu. Nicheck whatsapp CyberMonster
 
WEKA WI-FI ZA T¡G0 ZINA SPEED KUBWAA MNOO!
HUU SIO MDA TENA WA KUWAZA KUISHIWA NA DATA, ROUTER NI BEI NAFUU SANA!

⚫KWENYE BISASHARA YAKO WEKA WI-FI

⚫KWENYE SHULE WEKA WI-FI
⚫KANISANI WEKA WI-FI

⚫KAZINI WEKA WI-FI
⚫KWENYE KAMPUNI WEKA WI-FI

⚫NYUMBANI KWAKO WEWE NA FAMILIA YAKO WEKA WI-FI
⚫CHUONI WEKA WI-FI

⚫UNA SECURITY CAMERA FUNGA WI-FI

⚫SEHEM ZINGINE AMBAZO SIJAZITAJA WEKA WI-FI

TUMIA DATA UNLIMITED, YANI BILA KUWAZA KUA GB ZITAISHA?

NJOO NIKUPE ROUTER ZENYE UWEZO MKUBWA TECNOLOJIA YA 5G SPEED HADI 200mbps, NA UNAWEZA KULIPA KIDOGO KIDOGO !

MKOA WOWOTE ULIPO DELIVERY NI FREEE!!

GHARAMA NI NAFUU, SPEED KUBWAA (pia laini pekeyake bila router nakuwezeshea bando unlimited kwa bei poa)
NICHEKI: 0717700921
 
Back
Top Bottom