Msaada namna na kuondoa watuamiaji kwenye router ya airtel 5G

Msaada namna na kuondoa watuamiaji kwenye router ya airtel 5G

Swali langu ukichelewa kulipi mwezi mmoja ukija kuweka salio watakata na mwezi ambao hukutumia au wataendeleza mwezi huo uliolipia?
 
Habari wakuu,
Nimenunua Router ya airtel 5G (smart box), nimejiunga kifurushi cha unlimited cha 110,000/- kwa mwezi, nimepata changamoto ambayo hata airtel wenyewe wameshindwa kunisaidia.

Nimeona kuna tatizo kwenye kifaa chao mfano nilimuunga rafiki yangu kwenye simu yake ya Samsung s20, chakushangaza kwenye simu yake kuna QR code inayomruhusu kushare wifi yangu kwa mtu mwingine bila kutumia password, naomba msaada jinsi ya kuzuia mtu kushare wifi.

Kila nikiangalia kwenye connect list naona kuna users zaidi ya 10, mimi binafsi natumia simu na laptop pekee, nahisi rafiki yangu ame share kwa watu mwengine.

naomba msaada wakuu ili niweze kuwaondoa au kuzuia hili tatizo, nimajaribu kubadilisha password lakini kila nikimpa password rafiki yangu nashangaa baada ya muda users wanaongezeka, binafsi huyu rafiki tunafanya nae biashara ni lazima akija ofisini kwangu atumie wifi yangu.
Sijajua router yako ni ya namna gani, lakini nahisi ni kama hizi nyingineza Voda na Tigo. Hukupewa access ya ku manage hio router online kwa kutumia PC? Namaanisha ile online dasboard ambayo unaweza kuona uplink na downlink (data usage), hapo kuna mahali pa kuthibiti watumiaji na kubadili password muda wowote, kuongeza ama kuondoa watumiaji usiowataka.
 
Sijajua router yako ni ya namna gani, lakini nahisi ni kama hizi nyingineza Voda na Tigo. Hukupewa access ya ku manage hio router online kwa kutumia PC? Namaanisha ile online dasboard ambayo unaweza kuona uplink na downlink (data usage), hapo kuna mahali pa kuthibiti watumiaji na kubadili password muda wowote, kuongeza ama kuondoa watumiaji usiowataka.
Swali langu ukichelewa kulipi mwezi mmoja ukija kuweka salio watakata na mwezi ambao hukutumia au wataendeleza mwezi huo uliolipia?
 
Swali langu ukichelewa kulipi mwezi mmoja ukija kuweka salio watakata na mwezi ambao hukutumia au wataendeleza mwezi huo uliolipia?
Hawa sio post paid. Yaani kma ulijiunga tar 01/05 inamaanisha ikifika tar 01/06 inazima
 
Habari wakuu,
Nimenunua Router ya airtel 5G (smart box), nimejiunga kifurushi cha unlimited cha 110,000/- kwa mwezi, nimepata changamoto ambayo hata airtel wenyewe wameshindwa kunisaidia.

Nimeona kuna tatizo kwenye kifaa chao mfano nilimuunga rafiki yangu kwenye simu yake ya Samsung s20, chakushangaza kwenye simu yake kuna QR code inayomruhusu kushare wifi yangu kwa mtu mwingine bila kutumia password, naomba msaada jinsi ya kuzuia mtu kushare wifi.

Kila nikiangalia kwenye connect list naona kuna users zaidi ya 10, mimi binafsi natumia simu na laptop pekee, nahisi rafiki yangu ame share kwa watu mwengine.

naomba msaada wakuu ili niweze kuwaondoa au kuzuia hili tatizo, nimajaribu kubadilisha password lakini kila nikimpa password rafiki yangu nashangaa baada ya muda users wanaongezeka, binafsi huyu rafiki tunafanya nae biashara ni lazima akija ofisini kwangu atumie wifi yangu.
Mselect user the clixk block, itablock particular mack address hataweza kujiunga tena ila ukibadili pwd watascan tena
 
Swali langu ukichelewa kulipi mwezi mmoja ukija kuweka salio watakata na mwezi ambao hukutumia au wataendeleza mwezi huo uliolipia?
Usipolipa wanakata mtandao, kama ilivyo king'amuzi
 
Baada ya kuona siwezi kulipia bando la 110,000/- nikaamua ku-unclock smartbox yako kwa sasa natumia halotel
 
Ilo bando si unlimited mkuu!,,, inawezekana ni workmates zake na huyo jamaa zako kwaiyo Acha ubahili mzee
 
Ilo bando si unlimited mkuu!,,, inawezekana ni workmates zake na huyo jamaa zako kwaiyo Acha ubahili mzee
Watumie bure wakati wa kulipa niwe mwenyewe sio?
 
Back
Top Bottom