Siri yangu
JF-Expert Member
- Jul 22, 2023
- 1,426
- 2,845
Swali langu ukichelewa kulipi mwezi mmoja ukija kuweka salio watakata na mwezi ambao hukutumia au wataendeleza mwezi huo uliolipia?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijajua router yako ni ya namna gani, lakini nahisi ni kama hizi nyingineza Voda na Tigo. Hukupewa access ya ku manage hio router online kwa kutumia PC? Namaanisha ile online dasboard ambayo unaweza kuona uplink na downlink (data usage), hapo kuna mahali pa kuthibiti watumiaji na kubadili password muda wowote, kuongeza ama kuondoa watumiaji usiowataka.Habari wakuu,
Nimenunua Router ya airtel 5G (smart box), nimejiunga kifurushi cha unlimited cha 110,000/- kwa mwezi, nimepata changamoto ambayo hata airtel wenyewe wameshindwa kunisaidia.
Nimeona kuna tatizo kwenye kifaa chao mfano nilimuunga rafiki yangu kwenye simu yake ya Samsung s20, chakushangaza kwenye simu yake kuna QR code inayomruhusu kushare wifi yangu kwa mtu mwingine bila kutumia password, naomba msaada jinsi ya kuzuia mtu kushare wifi.
Kila nikiangalia kwenye connect list naona kuna users zaidi ya 10, mimi binafsi natumia simu na laptop pekee, nahisi rafiki yangu ame share kwa watu mwengine.
naomba msaada wakuu ili niweze kuwaondoa au kuzuia hili tatizo, nimajaribu kubadilisha password lakini kila nikimpa password rafiki yangu nashangaa baada ya muda users wanaongezeka, binafsi huyu rafiki tunafanya nae biashara ni lazima akija ofisini kwangu atumie wifi yangu.
Swali langu ukichelewa kulipi mwezi mmoja ukija kuweka salio watakata na mwezi ambao hukutumia au wataendeleza mwezi huo uliolipia?Sijajua router yako ni ya namna gani, lakini nahisi ni kama hizi nyingineza Voda na Tigo. Hukupewa access ya ku manage hio router online kwa kutumia PC? Namaanisha ile online dasboard ambayo unaweza kuona uplink na downlink (data usage), hapo kuna mahali pa kuthibiti watumiaji na kubadili password muda wowote, kuongeza ama kuondoa watumiaji usiowataka.
Huu mchapio umeufanya makusudi🤣Sed ubya bassword wode wadadoka audomadically
Hawa sio post paid. Yaani kma ulijiunga tar 01/05 inamaanisha ikifika tar 01/06 inazimaSwali langu ukichelewa kulipi mwezi mmoja ukija kuweka salio watakata na mwezi ambao hukutumia au wataendeleza mwezi huo uliolipia?
Swali langu mkuu je nikijiunga tena watakata mda wa mwezi ambao sikuwa hewani?Hawa sio post paid. Yaani kma ulijiunga tar 01/05 inamaanisha ikifika tar 01/06 inazima
Mselect user the clixk block, itablock particular mack address hataweza kujiunga tena ila ukibadili pwd watascan tenaHabari wakuu,
Nimenunua Router ya airtel 5G (smart box), nimejiunga kifurushi cha unlimited cha 110,000/- kwa mwezi, nimepata changamoto ambayo hata airtel wenyewe wameshindwa kunisaidia.
Nimeona kuna tatizo kwenye kifaa chao mfano nilimuunga rafiki yangu kwenye simu yake ya Samsung s20, chakushangaza kwenye simu yake kuna QR code inayomruhusu kushare wifi yangu kwa mtu mwingine bila kutumia password, naomba msaada jinsi ya kuzuia mtu kushare wifi.
Kila nikiangalia kwenye connect list naona kuna users zaidi ya 10, mimi binafsi natumia simu na laptop pekee, nahisi rafiki yangu ame share kwa watu mwengine.
naomba msaada wakuu ili niweze kuwaondoa au kuzuia hili tatizo, nimajaribu kubadilisha password lakini kila nikimpa password rafiki yangu nashangaa baada ya muda users wanaongezeka, binafsi huyu rafiki tunafanya nae biashara ni lazima akija ofisini kwangu atumie wifi yangu.
Hapana. Wanakata siku 30 tokea uanze.Swali langu mkuu je nikijiunga tena watakata mda wa mwezi ambao sikuwa hewani?
Hapo sawa nimekupataHapana. Wanakata siku 30 tokea uanze.
Basi wasajili user kwa mac addrress ama limit idadi ya users, ila ukikuta annonyms wameshaingia wewe mwenywe huweziingiaAirtel smart box haina option hiyo nimejaribu kuitafuta sijaipata
Punguza idadi ya users. Me nawekaga 3 maximum kwenye 2.4Ghz na 2 kwenye 5GhzAirtel smart box haina option hiyo nimejaribu kuitafuta sijaipata
Usipolipa wanakata mtandao, kama ilivyo king'amuziSwali langu ukichelewa kulipi mwezi mmoja ukija kuweka salio watakata na mwezi ambao hukutumia au wataendeleza mwezi huo uliolipia?
Kukata kama king'amuzi sio shida, Je! Wanakata na mda ambao hakuweka salio au wataendeleza huo mda uliolipia tu.Usipolipa wanakata mtandao, kama ilivyo king'amuzi
Nimefanya sana mkuu ila kila nikimpa password anashare na watu wengine
Kwani halotel wa vifurushi vya bei ya chini zaidiBaada ya kuona siwezi kulipia bando la 110,000/- nikaamua ku-unclock smartbox yako kwa sasa natumia halotel