Mwl.RCT
JF-Expert Member
- Jul 23, 2013
- 14,624
- 20,666
Nilikuwa sijafikia hii reply yako, Naona ndicho nimemwelekeza afanye.Ni simple sana kublock wanaopewa acces bila wewe kuruhusu.
Njia nzuri ni kuwablock kwa kutumia MAC Address...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilikuwa sijafikia hii reply yako, Naona ndicho nimemwelekeza afanye.Ni simple sana kublock wanaopewa acces bila wewe kuruhusu.
Njia nzuri ni kuwablock kwa kutumia MAC Address...
Unlimited alafu unakuwa mnoko.
Hapana gharama haito ongezeka.Itakugharimu zaidi Kama hao watu kumi wstaendelea kutumia?
Ubarikiwe mkuuView attachment 2985640
- Login kwenye user interface: http://192.168.1.1
- Andaa orodha ya MAC address zote ambazo ziko xonnected bila idhini kama hivi
View attachment 2985658
View attachment 2985641
- Ingia opion ya pili tokea chini| Firewall
View attachment 2985642
- Ingia hapo| Filtering rules
View attachment 2985643
- Hakikisha Umechagua | Blacklist
View attachment 2985645
- Kisha chagua | MAC filtering
View attachment 2985646
- Chagua | Add Rules
View attachment 2985652
- Andika MAC Address kama mfano unavo onesha, lisha Confirm,
Hatua ya mwisho click| Save And Apply Rules, ( Hapo utakuwa umeblock flow ya data kwenye kifaa husika ambacho kinatumia Data bila idhini yako.)
Hapo hiyo unlimited unanunua speed, jinsi idadi ya users inavyoongezeka na speed/sec inapungua pia. Huenda jamaa anahofia speed kuwa ndogo na si ubahili. MAONI YANGU HAYOUnlimited alafu unakuwa mnoko.
Acha ubahili ndugu, ilo bundle la TZS 110,000 bado wanakupiga alafu unashindwa kuwasaidia watu.
Mimi nina router la kuunga watu 200, uswahilini kwangu nimrwagaia bure password wanafurahia data za bure muda wote.
Akiongeza new users tena unarudia procedures hizo?View attachment 2985640
- Login kwenye user interface: http://192.168.1.1
- Andaa orodha ya MAC address zote ambazo ziko xonnected bila idhini kama hivi
View attachment 2985658
View attachment 2985641
- Ingia opion ya pili tokea chini| Firewall
View attachment 2985642
- Ingia hapo| Filtering rules
View attachment 2985643
- Hakikisha Umechagua | Blacklist
View attachment 2985645
- Kisha chagua | MAC filtering
View attachment 2985646
- Chagua | Add Rules
View attachment 2985652
- Andika MAC Address kama mfano unavo onesha, lisha Confirm,
Hatua ya mwisho click| Save And Apply Rules, ( Hapo utakuwa umeblock flow ya data kwenye kifaa husika ambacho kinatumia Data bila idhini yako.)
Iwapo huyo user alikuwa miongoni wa wale kwenye list, kule kwenye firewall, ni swala la kuondo Check Mark, Na ku_save changes, then new user ataendelea kupata flow ya data.Akiongeza new users tena
Tuko pamoja mkuu, teknolojia ukiijua ni tamu sana🤝Nilikuwa sijafikia hii reply yako, Naona ndicho nimemwelekeza afanye.
Hapo hiyo unlimited unanunua speed, jinsi idadi ya users inavyoongezeka na speed/sec inapungua pia.
Hapana sio uchoyo, Shared speed hupungua, Mfano kwangu speed ni 10mbps, ambapo nikiachia kwa wote, zaidi ya device 30+ ina maana nitashindwa kupata intenet yenye kukidhi mahitaji yangu.uchoyo... unakutafutana sana
Ana mafuaUnaandikaje mzee
Siyo kwa kitonga hicho. Data ni ghariuchoyo... unakutafutana sana
ndugu naomba tuwasilianeUnlimited alafu unakuwa mnoko.
Acha ubahili ndugu, ilo bundle la TZS 110,000 bado wanakupiga alafu unashindwa kuwasaidia watu.
Mimi nina router la kuunga watu 200, uswahilini kwangu nimrwagaia bure password wanafurahia data za bure muda wote.
Changamsha genge hiyo mkuu, ndo kwanza nagombea internet ya Maria Roza CafeRouter Kampuni gani na model ipi?
SpeedSi ni unlimited kwani users wakiongezeka wanapunguza nini
Smart phone zina options za mtu ku scan na atakuwa connected automatically, na mbaya zaidi ukiruhusu hiyo ,ata ukibadili password inaunga automatically.Njia rahisi
1. Badilisha password
2. Chukua simu ya rafiki yako
3. Connect na WIFI bila yeye kuangalia ili asiweze kujua password
Matatizo mengine ni ya kujitakia kwa kweli ndio maana hata airtel wamepuuzia ombi lake😀Ushajua yeye ndiye anayegawa password, kwanini unampa tena sasa
Watatu na huyo rafiki yake.. ila atakua hana uwezo wa kushare.. itakua LimitedUki login as Admin utaona kiwango cha user then chagua 2 ambapo itakuwa ni simu yako na hiyo laptop.
Sure hua mie natumia ttcl nimeajilo user wawe wanne tu and not more than thatUki login as Admin utaona kiwango cha user then chagua 2 ambapo itakuwa ni simu yako na hiyo laptop.