Msaada namna na kuondoa watuamiaji kwenye router ya airtel 5G

Msaada namna na kuondoa watuamiaji kwenye router ya airtel 5G

View attachment 2985640
- Andaa orodha ya MAC address zote ambazo ziko xonnected bila idhini kama hivi
View attachment 2985658
  • Ingia opion ya pili tokea chini| Firewall
View attachment 2985641
  • Ingia hapo| Filtering rules
View attachment 2985642
  • Hakikisha Umechagua | Blacklist
View attachment 2985643
  • Kisha chagua | MAC filtering
View attachment 2985645
  • Chagua | Add Rules
View attachment 2985646
  • Andika MAC Address kama mfano unavo onesha, lisha Confirm,
View attachment 2985652
Hatua ya mwisho click| Save And Apply Rules, ( Hapo utakuwa umeblock flow ya data kwenye kifaa husika ambacho kinatumia Data bila idhini yako.)
Ubarikiwe mkuu
 
Unlimited alafu unakuwa mnoko.

Acha ubahili ndugu, ilo bundle la TZS 110,000 bado wanakupiga alafu unashindwa kuwasaidia watu.

Mimi nina router la kuunga watu 200, uswahilini kwangu nimrwagaia bure password wanafurahia data za bure muda wote.
Hapo hiyo unlimited unanunua speed, jinsi idadi ya users inavyoongezeka na speed/sec inapungua pia. Huenda jamaa anahofia speed kuwa ndogo na si ubahili. MAONI YANGU HAYO
 
View attachment 2985640
- Andaa orodha ya MAC address zote ambazo ziko xonnected bila idhini kama hivi
View attachment 2985658
  • Ingia opion ya pili tokea chini| Firewall
View attachment 2985641
  • Ingia hapo| Filtering rules
View attachment 2985642
  • Hakikisha Umechagua | Blacklist
View attachment 2985643
  • Kisha chagua | MAC filtering
View attachment 2985645
  • Chagua | Add Rules
View attachment 2985646
  • Andika MAC Address kama mfano unavo onesha, lisha Confirm,
View attachment 2985652
Hatua ya mwisho click| Save And Apply Rules, ( Hapo utakuwa umeblock flow ya data kwenye kifaa husika ambacho kinatumia Data bila idhini yako.)
Akiongeza new users tena unarudia procedures hizo?
 
Akiongeza new users tena
Iwapo huyo user alikuwa miongoni wa wale kwenye list, kule kwenye firewall, ni swala la kuondo Check Mark, Na ku_save changes, then new user ataendelea kupata flow ya data.
1715257940937.png
 
Hapo hiyo unlimited unanunua speed, jinsi idadi ya users inavyoongezeka na speed/sec inapungua pia.
uchoyo... unakutafutana sana
Hapana sio uchoyo, Shared speed hupungua, Mfano kwangu speed ni 10mbps, ambapo nikiachia kwa wote, zaidi ya device 30+ ina maana nitashindwa kupata intenet yenye kukidhi mahitaji yangu.
- Hivyo nimeachia kwa watu/device waiozidi 10.
1715259430148.png
 
Naomba nikufumbuwe kitu hapo kuna moja kati ya watu 10 ulimpa password au ulimwekea ! Kwaiyo huyo mtu alikwenye kwenye setting za wif yake kisha akaingia kwenye connection yako kisha akingia details ya wifi aka show password zako ndoo akawa wapa hawo watu tisa walikuwa unawaona hapo.

Sasa chakufanya hapo chukuwa router yako kisha angalia chini huko kwenye kuna sehem imendikwa ip adress inanzia 192.

Chukuwa hiyo nenda kwenye laptop yako ingia kwenye web browser.kwenye sehem ya kuandikia www weka iyo namba ya ip ingiza izo namba kisha bofya enter subiria itakuja page inakuwambia ingiza user name na password sehem zote mbili utajaza admin kisha utabofya enter kisha utangia utafuta sehem ya setting kisha wifi utaona kila kitu hapa
 
Unlimited alafu unakuwa mnoko.

Acha ubahili ndugu, ilo bundle la TZS 110,000 bado wanakupiga alafu unashindwa kuwasaidia watu.

Mimi nina router la kuunga watu 200, uswahilini kwangu nimrwagaia bure password wanafurahia data za bure muda wote.
ndugu naomba tuwasiliane
 
Njia rahisi
1. Badilisha password
2. Chukua simu ya rafiki yako
3. Connect na WIFI bila yeye kuangalia ili asiweze kujua password
Smart phone zina options za mtu ku scan na atakuwa connected automatically, na mbaya zaidi ukiruhusu hiyo ,ata ukibadili password inaunga automatically.
 
Back
Top Bottom