Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
"usikaribie meza kama huchangii unachomeza" THE LATE ALBERT MANGWAIRAsking for a friend.
Itakugharimu zaidi Kama hao watu kumi wstaendelea kutumia?
Pengine anataka internet iwe faster na unajua ukiunga watu wengi speed inapunguaUnlimited alafu unakuwa mnoko.
Acha ubahili ndugu, ilo bundle la TZS 110,000 bado wanakupiga alafu unashindwa kuwasaidia watu.
Mimi nina router la kuunga watu 200, uswahilini kwangu nimrwagaia bure password wanafurahia data za bure muda wote.
Mbona unatumia njia ndefu wakati njia fupi ipo? Suluhisho ni kumchana uyo rafiki yako mwambie aache kushare na wengine. Shida nini unamuogopa?Habari wakuu,
Nimenunua Router ya airtel 5G (smart box), nimejiunga kifurushi cha unlimited cha 110,000/- kwa mwezi, nimepata changamoto ambayo hata airtel wenyewe wameshindwa kunisaidia.
Nimeona kuna tatizo kwenye kifaa chao mfano nilimuunga rafiki yangu kwenye simu yake ya Samsung s20, chakushangaza kwenye simu yake kuna QR code inayomruhusu kushare wifi yangu kwa mtu mwingine bila kutumia password, naomba msaada jinsi ya kuzuia mtu kushare wifi.
Kila nikiangalia kwenye connect list naona kuna users zaidi ya 10, mimi binafsi natumia simu na laptop pekee, nahisi rafiki yangu ame share kwa watu mwengine.
naomba msaada wakuu ili niweze kuwaondoa au kuzuia hili tatizo, nimajaribu kubadilisha password lakini kila nikimpa password rafiki yangu nashangaa baada ya muda users wanaongezeka, binafsi huyu rafiki tunafanya nae biashara ni lazima akija ofisini kwangu atumie wifi yangu.
Ahsante sana mkuu, nitafanya hivyo kesho nikifika ofisini
Mkuu ahsante hii njia yako imefanya kazi, ubarikiwe sanaNi simple sana kublock wanaopewa acces bila wewe kuruhusu.
Njia nzuri ni kuwablock kwa kutumia MAC Address.
Fanya kama ifuatavyo:
1. Login kwenye user access yako.
2. Ukishaingia, nenda kwenye DHCP Information.
View attachment 2984905
3. Ukishaclick DHCP Information, click Device List na utaona users wote wanaotumia router yako.
View attachment 2984911
4. Copy MAC Address za Devices ambazo unahitaji kuziblock. Kisha nenda kwenye kipengele cha Firewall.
View attachment 2984914
5. Ukishaclick Firewall, nenda kwenye kipengele cha Filtering Rules. Kisha nenda kwenye MAC Filtering, kisha nenda kwenye Add Rule.
View attachment 2984936
6. Itakuletea popup window ya kujaza MAC Address, ukishaijaza utaconfirm.
View attachment 2984939
7. Mwisho kabisa, uta Save And Apply Rules. Hiyo MAC Address haitakaa ipate internet mpaka utakapoitoa kwenye hiki kifungo.
View attachment 2984940
Anakwambia akimpa rafiki yake anatoa kwa wengineBadilisha PassWord.
Hata asipojua password akija mtu akascan QR Code ya wifi anazama online 😂😂😂Njia rahisi
1. Badilisha password
2. Chukua simu ya rafiki yako
3. Connect na WIFI bila yeye kuangalia ili asiweze kujua password
Wabongo si roho mbaya😂Unlimited alafu unakuwa mnoko.
Acha ubahili ndugu, ilo bundle la TZS 110,000 bado wanakupiga alafu unashindwa kuwasaidia watu.
Mimi nina router la kuunga watu 200, uswahilini kwangu nimrwagaia bure password wanafurahia data za bure muda wote.
Anaogopa kuonekana mbaya, unafiki tu kama ilivyo sifa yetu kubwa wabongo. Mtu kitu kinamuumiza anaogopa kusemaMbona unatumia njia ndefu wakati njia fupi ipo? Suluhisho ni kumchana uyo rafiki yako mwambie aache kushare na wengine. Shida nini unamuogopa?
Hiyo uhakika.... Mtu anakuwa yuko connected na wifi ila haupati hata 1kb, hata browser haifunguki...Mkuu ahsante hii njia yako imefanya kazi, ubarikiwe sana
😂😂 umetisha mkuuHiyo uhakika.... Mtu anakuwa yuko connected na wifi ila haupati hata 1kb, hata browser haifunguki...
Hapo soon utasikia milio huko nje, watajileta wenyewe. Utasikia "Mkuu umebonyeza wapi mbona hatupati internet tena?"
Mkuu nimemchana mara kibao ila haelewi na kila akija lazima password kwa sababu kazi zetu zinahitaji internet sanaMbona unatumia njia ndefu wakati njia fupi ipo? Suluhisho ni kumchana uyo rafiki yako mwambie aache kushare na wengine. Shida nini unamuogopa?
Dont share password to anybody..Umesoma umeelewa kweli? Amesema kila akibadili password akimpa rafiki yake, users wengine wanaogezeka. Kumbuka huyo rafiki yake lazima ampe password maana wanafanya kazi pamoja
Router ya kampuni ya NOKIA, mtandao wa simu ni VodaCom.
Bundle la internet la 5G kwa VodaCom linaanzia TZS. 120,000.
Ya TZS. 115,000 ni 4G
View attachment 2984979
Kila nikiangalia kwenye connect list naona kuna users zaidi ya 10, mimi binafsi natumia simu na laptop pekee, nahisi rafiki yangu ame share kwa watu mwengine.
Sahihi, wengine wote awapige block kwa kutumia FirewallKwenye setting ya router yako msajili user kwa kutumia MAC address ya kifaaa chake