Msaada namna na kuondoa watuamiaji kwenye router ya airtel 5G

Msaada namna na kuondoa watuamiaji kwenye router ya airtel 5G

Unlimited alafu unakuwa mnoko.

Acha ubahili ndugu, ilo bundle la TZS 110,000 bado wanakupiga alafu unashindwa kuwasaidia watu.

Mimi nina router la kuunga watu 200, uswahilini kwangu nimrwagaia bure password wanafurahia data za bure muda wote.
Pengine anataka internet iwe faster na unajua ukiunga watu wengi speed inapungua
 
Habari wakuu,
Nimenunua Router ya airtel 5G (smart box), nimejiunga kifurushi cha unlimited cha 110,000/- kwa mwezi, nimepata changamoto ambayo hata airtel wenyewe wameshindwa kunisaidia.

Nimeona kuna tatizo kwenye kifaa chao mfano nilimuunga rafiki yangu kwenye simu yake ya Samsung s20, chakushangaza kwenye simu yake kuna QR code inayomruhusu kushare wifi yangu kwa mtu mwingine bila kutumia password, naomba msaada jinsi ya kuzuia mtu kushare wifi.

Kila nikiangalia kwenye connect list naona kuna users zaidi ya 10, mimi binafsi natumia simu na laptop pekee, nahisi rafiki yangu ame share kwa watu mwengine.

naomba msaada wakuu ili niweze kuwaondoa au kuzuia hili tatizo, nimajaribu kubadilisha password lakini kila nikimpa password rafiki yangu nashangaa baada ya muda users wanaongezeka, binafsi huyu rafiki tunafanya nae biashara ni lazima akija ofisini kwangu atumie wifi yangu.
Mbona unatumia njia ndefu wakati njia fupi ipo? Suluhisho ni kumchana uyo rafiki yako mwambie aache kushare na wengine. Shida nini unamuogopa?
 
Ahsante sana mkuu, nitafanya hivyo kesho nikifika ofisini
Ni simple sana kublock wanaopewa acces bila wewe kuruhusu.

Njia nzuri ni kuwablock kwa kutumia MAC Address.

Fanya kama ifuatavyo:

1. Login kwenye user access yako.

2. Ukishaingia, nenda kwenye DHCP Information.
View attachment 2984905

3. Ukishaclick DHCP Information, click Device List na utaona users wote wanaotumia router yako.
View attachment 2984911

4. Copy MAC Address za Devices ambazo unahitaji kuziblock. Kisha nenda kwenye kipengele cha Firewall.
View attachment 2984914

5. Ukishaclick Firewall, nenda kwenye kipengele cha Filtering Rules. Kisha nenda kwenye MAC Filtering, kisha nenda kwenye Add Rule.
View attachment 2984936

6. Itakuletea popup window ya kujaza MAC Address, ukishaijaza utaconfirm.
View attachment 2984939

7. Mwisho kabisa, uta Save And Apply Rules. Hiyo MAC Address haitakaa ipate internet mpaka utakapoitoa kwenye hiki kifungo.
View attachment 2984940
Mkuu ahsante hii njia yako imefanya kazi, ubarikiwe sana
 
Unlimited alafu unakuwa mnoko.

Acha ubahili ndugu, ilo bundle la TZS 110,000 bado wanakupiga alafu unashindwa kuwasaidia watu.

Mimi nina router la kuunga watu 200, uswahilini kwangu nimrwagaia bure password wanafurahia data za bure muda wote.
Wabongo si roho mbaya😂
 
Hiyo uhakika.... Mtu anakuwa yuko connected na wifi ila haupati hata 1kb, hata browser haifunguki...

Hapo soon utasikia milio huko nje, watajileta wenyewe. Utasikia "Mkuu umebonyeza wapi mbona hatupati internet tena?"
😂😂 umetisha mkuu
 
Mbona unatumia njia ndefu wakati njia fupi ipo? Suluhisho ni kumchana uyo rafiki yako mwambie aache kushare na wengine. Shida nini unamuogopa?
Mkuu nimemchana mara kibao ila haelewi na kila akija lazima password kwa sababu kazi zetu zinahitaji internet sana
 
Kila nikiangalia kwenye connect list naona kuna users zaidi ya 10, mimi binafsi natumia simu na laptop pekee, nahisi rafiki yangu ame share kwa watu mwengine.
1715249786414.png

- Andaa orodha ya MAC address zote ambazo ziko xonnected bila idhini kama hivi
1715250777081.png

  • Ingia opion ya pili tokea chini| Firewall
1715249871730.png

  • Ingia hapo| Filtering rules
1715249922956.png

  • Hakikisha Umechagua | Blacklist
1715249989445.png

  • Kisha chagua | MAC filtering
1715250123866.png

  • Chagua | Add Rules
1715250181669.png

  • Andika MAC Address kama mfano unavo onesha, lisha Confirm,
1715250563064.png

Hatua ya mwisho click| Save And Apply Rules, ( Hapo utakuwa umeblock flow ya data kwenye kifaa husika ambacho kinatumia Data bila idhini yako.)
 
Back
Top Bottom