Kwanza ukimpokea dada mfanyie interview namaanisha muulize malengo ya yeye kuja kufanya kazi ni yapi? Ukiona mtu ana babaika kujibu jua huyo hakai maana hajielewi amekuja kufanya nini hata majukumu hawezi kufanya.
Mpe taratibu za nyumbani kwako ratiba nzima kuanzia kuamka saa ngapi, chakula kinaliwa saa ngapi kama una watoto mpe ratiba za watoto kula.
Kama ni mfanyakazi omba ruhusa hata wiki amka fanya naye kazi msichana anayejielewa ukifanyanaye kazi utamuona ni wa aina gani.
Mpe orientation ya mwezi mmoja haja cop mazingira rudusha.
Muhimu kabla hujaagiza msichana muombe Mungu akuletee mtu sahihi
Msichana usimnyanyase ila usiruhusu akuzoee sana. Ili ukitoa maagizo yanafuatwa
Sent from my SM-A125F using
JamiiForums mobile app