Kila mtu ana kitu chake alichozoea kujistiri nacho katika ada kama unamuhitaji nikupe namba za wazazi wake ukawasaidie kumlea na kumfanyia hayo niliyoshindwa kuyatekelezaHaya ya kufua tena vitambaa mapya. Unashindwa kumnunulia pads? Unaona mapungufu yako yanavyoanza kujitokeza? Na pengine katika kumfundisha unatumia lugha kali au maelezo yako siyo mazuri.
Kurudidisha Ni rais Sana kuliko kupata sas kwa wakat siku hz kuna magraduate kbsa wanataka hz Kaz za ndani ila hawalali Happ kazi Kaz nakupika kuosha vyombo na kusepaKwanza ukimpokea dada mfanyie interview namaanisha muulize malengo ya yeye kuja kufanya kazi ni yapi? Ukiona mtu ana babaika kujibu jua huyo hakai maana hajielewi amekuja kufanya nini hata majukumu hawezi kufanya.
Mpe taratibu za nyumbani kwako ratiba nzima kuanzia kuamka saa ngapi, chakula kinaliwa saa ngapi kama una watoto mpe ratiba za watoto kula.
Kama ni mfanyakazi omba ruhusa hata wiki amka fanya naye kazi msichana anayejielewa ukifanyanaye kazi utamuona ni wa aina gani.
Mpe orientation ya mwezi mmoja haja cop mazingira rudusha.
Muhimu kabla hujaagiza msichana muombe Mungu akuletee mtu sahihi
Msichana usimnyanyase ila usiruhusu akuzoee sana. Ili ukitoa maagizo yanafuatwa
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Wiki tatu na unataka awe ameweza kufanya kila kitu? Nyie ndiyo mnatumikisha wasichana wa kazi kama punda.
Haya ya kufua tena vitambaa mapya. Unashindwa kumnunulia pads? Unaona mapungufu yako yanavyoanza kujitokeza? Na pengine katika kumfundisha unatumia lugha kali au maelezo yako siyo mazuri.
Umesema kweli Kuna watu kila kitu dad afanye yaani hapanaTatizo Wanawake mnataka house girl afanye kila kitu nyie mbaki kuagiza kama wahindi. Mpe kazi kiasi na nyingine fanya wewe la sivyo ukiendelea kumshurutisha utalia wewe.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] nyie vijana ni shida sanaMwelekeze majukumu yake anayotakiwa kuyatimiza.
Pili:Mpe uhuru naye wa kunyanduliwa
NB:Utofauti wa mke wako na huyo house girl ni majina tu, na labda kama mkeo amesoma basi kamzidi elimu tu ila house girl Wana mbususu tamu sana
Umezaliwa wapi? Tanzania ni kubwa sana na ina makabila na watu wenye background tofauti. Yes, hata kuoga na kupiga mswaki kuna wengine hawajui, tena ni watu wazima. Kama hutaki hizi ''karaha'' basi fanya background check ya uhakika kabla hujamchukuwa.Mkuu acha kutoa lawama zisizo na kichwa. Mtu hata kuoga na kupiga mswaki napo unataka afundishwe!!?wengine hawaaminiasuala ya pads katoka kwao kafundishwa kutumia vitambaa hata nunulie lori zina la pads ataendelea kutumia vitambaa vyake. Kuosha vyombo na kufua napo umfundishe mtu mzima,hata mtoto wa darasa la kwanxa anafahamu kuosha vyombo.
Utetezi muachie joyce kiria,napo nae anatetea huku anatoa wadada wanaojua kufanya kazi sio wale wanaotaka kufundishwa hadi kuoga
Simhitaji ila hapa ni katika kujadili na kuambizana. Watu wana background tofauti na uelewa tofauti. Ukilijua hili hutalaumu tena msichana anaposhindwa kufanya utakavyo baada ya kumpa mafunzo ya wiki tatu.Kila mtu ana kitu chake alichozoea kujistiri nacho katika ada kama unamuhitaji nikupe namba za wazazi wake ukawasaidie kumlea na kumfanyia hayo niliyoshindwa kuyatekeleza
Umezaliwa wapi? Tanzania ni kubwa sana na ina makabila na watu wenye background tofauti. Yes, hata kuoga na kupiga mswaki kuna wengine hawajui, tena ni watu wazima. Kama hutaki hizi ''karaha'' basi fanya background check ya uhakika kabla hujamchukuwa.
Basi kuna sehemu hawaogi mara kwa mara. Kwa mwaka wanaweza kuoga mara nne tu.Nimezaliwa kijijini kabisa misungwi ndani ndani ila miswaki tunapiga sana hata miti,na madodoki ya kuchuma tunatumia. Huko ulikozaliwa wasipojua kuoga ni wapi mkuu?
Wa kuagiza utafanya background muda gani,mtu upo dar unaambiwa kuna dada wa kazi songea utapataje muda wa kuchunguza
Nimezaliwa kijijini kabisa misungwi ndani ndani ila miswaki tunapiga sana hata miti,na madodoki ya kuchuma tunatumiaBora unisaidie maana unatafta mdada wa kua msaada kwako lakini anakupa kazi ya. ziada. Hapo waza umuache aogeshe watoto akati kuukosha tu mwili wake mtihan. Sasa bora awe hajui haya na yupo tayari kujifunza unakuta hata kumuita haitiki, ukimwambia hivi wala hakujibu sasa ya nini upate pressure mpya ndani kwakoMkuu acha kutoa lawama zisizo na kichwa. Mtu hata kuoga na kupiga mswaki napo unataka afundishwe!!?wengine hawaaminiasuala ya pads katoka kwao kafundishwa kutumia vitambaa hata nunulie lori zina la pads ataendelea kutumia vitambaa vyake. Kuosha vyombo na kufua napo umfundishe mtu mzima,hata mtoto wa darasa la kwanxa anafahamu kuosha vyombo.
Utetezi muachie joyce kiria,napo nae anatetea huku anatoa wadada wanaojua kufanya kazi sio wale wanaotaka kufundishwa hadi kuoga
Umewahi kuwa na dada wa kazi? Vinginevyo usichangie kitu usichokijuaAsilimia 90 ya malalamiko wanayotoa wakina mama kuhusu ''wadada wa kazi'', unakuta wenye makosa ni hao kinamama waajiri. Kina mama wengi wanadhani wasichana wa kazi ni maroboti ya kufanya kila kitu nyumbani. Hawawapi mapumziko wala entertaiments zozote, hawawajali kama ni binadamu, yaani ni kuwafokea muda wote.
Kwa maelezo yako huyo mdada anafanana na mmalawi mmoja ambaye tulikuwa naye lkn alishaondoka. Muda wote anaongea na cm na anajua kupika ugali tu. Kwakweli wadada wa kazi kwasasa Ni changamoto.Muda mwingi anautumia kwa simu kuliko kazi, kuna siku muda wa kuandaa chakula cha mchana alikuwa kajilaza anachat bahati nzuri kuna mmoja aliwahi kurudi nyumbani ikawa nafuu nafuu akapika.. ila hata mtu mwingine akiwa jikoni wala hajishughulishi zaidi ya kuwa bize na simu
Habari ya jumapili wadau.
Kama kichwa kinavyojieleza hapo juu, ninaomba msaada wenu tafadhali.
Nina dada ambaye ana umri wa miaka 19(lakini kimuonekano anaonekana ni mkubwa), lakini dada huyu hajui kazi za ndani iwe kuosha vyombo, kupiga deki au kupika.. Alipofika alielekezwa majukumu yake na akasema anayaweza.
Changamoto nyingine kubwa ni kuwa yuko bize mno na simu, kuchat na kuongea.. Mahali alipo kuna mabinti wengine lakini wana soma na mmoja anashughuli binafsi hali inayopelekea kukosekana msaada nyumbani kwani kuna mgonjwa anayehudumiwa na mtu mwingine na anahitaji uangalizi wa karibu.
Naomba mniwie radhi kwa uandishi ila ninahitaji sana msaada wenu.. Natanguliza shukrani.
Hayo ndiyo maisha yangu. Wamenikuza mpaka nikawa mtu mzima. Na baaade nikatafuta wa kuwaangalia watoto wangu.Umewahi kuwa na dada wa kazi? Vinginevyo usichangie kitu usichokijua