Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unajua me nipo serious Nahitaji msaada wewe unafanya masihara SasaBasi unapepo la makalioni,
Ni baya sana Hilo, katika kuomba kwako kemea pepo hilo
Naweza kusema dhambi UASHERATI ndiyo itakayonifikisha motoni. Zingine naweza kuzishinda. Nikiona tu Yale makalio yanavyotikisika nahama Chanel.
Nimejitahidi kujikana nafsi yangu na kutumia mbinu mbalimbali kuutiisha mwili wangu lakini ni kama tu najaza maji kwenye chujio.
Nilifanya maombi ya kufunga siku 120 lakini wiki moja baadae akaibuka mrembo niliyemtongozaga na kunikatalia kwa muda mrefu, akaja mwenyewe ghetto nikamgonga, baada ya bao moja ndipo akili ikanirudia na kugundua kuwa nimeingia kwenye mtego ule ule! Huwa Nasali kanisa la Tanzania Assemblies of God(TAG).
Nilimshirikisha Mchungaji wangu akaishia kunigombeza na kudai kwamba sijaokoka na siku nikiokoka automatikale nitaishinda zinaa.
Naomba ushauri labda kuna mbinu za kuondokana na suala hili.
Sasa kama hutaki kipiga miti unataka aje?Haya Ni mapepo maovu Siyo bure[emoji2955]
Huyu jamaa sijui huko aliko ana endeleaje na ndoa yake
Anainjoy tu zigoHuyu jamaa sijui huko aliko ana endeleaje na ndoa yake
Kuna vitu ni ngumu sana kula peke yako! huyu kamkaribisha shetani nyumbani kwakeAnainjoy tu zigo
Mbaya zaidi ukute demu linafanya kazi yani wahuni lazma waishi naloKuna vitu ni ngumu sana kula peke yako! huyu kamkaribisha shetani nyumbani kwake
Siwezi kuoa mwanamke sampuli hii , huu ni msiba wa kujitakiaMbaya zaidi ukute demu linafanya kazi yani wahuni lazma waishi nalo
🤣 Hapo kila siku unawaza huu mzigo kweli wahuni watauacha hivi hivi!?Siwezi kuoa mwanamke sampuli hii , huu ni msiba wa kujitakia
Umahitaji msaada maana una pepo la ngono.....Naweza kusema dhambi UASHERATI ndiyo itakayonifikisha motoni. Zingine naweza kuzishinda. Nikiona tu Yale makalio yanavyotikisika nahama Chanel.
Nimejitahidi kujikana nafsi yangu na kutumia mbinu mbalimbali kuutiisha mwili wangu lakini ni kama tu najaza maji kwenye chujio.
Nilifanya maombi ya kufunga siku 120 lakini wiki moja baadae akaibuka mrembo niliyemtongozaga na kunikatalia kwa muda mrefu, akaja mwenyewe ghetto nikamgonga, baada ya bao moja ndipo akili ikanirudia na kugundua kuwa nimeingia kwenye mtego ule ule! Huwa Nasali kanisa la Tanzania Assemblies of God(TAG).
Nilimshirikisha Mchungaji wangu akaishia kunigombeza na kudai kwamba sijaokoka na siku nikiokoka automatikale nitaishinda zinaa.
Naomba ushauri labda kuna mbinu za kuondokana na suala hili.
Duh, basi nimekata tamaa. Hata ivyo na uzuri woote huo unaweza kukuta siyo mtamu anazidiwa na Asha wa magomeni 🤣🤣🤣🤣Mke wa mtu huyo
HahahahahDuh, basi nimekata tamaa. Hata ivyo na uzuri woote huo unaweza kukuta siyo mtamu anazidiwa na Asha wa magomeni 🤣🤣🤣🤣