Msaada: Nampenda kuwa mcha Mungu lakini makalio ya wanawake yananiangusha

Msaada: Nampenda kuwa mcha Mungu lakini makalio ya wanawake yananiangusha

Nilifanya maombi ya kufunga siku 120 lakini wiki moja baadae akaibuka mrembo niliyemtongozaga na kunikatalia kwa muda mrefu, akaja mwenyewe ghetto nikamgonga, baada ya bao moja ndipo akili ikanirudia na kugundua kuwa nimeingia kwenye mtego ule ule! Huwa Nasali kanisa la Tanzania Assemblies of God(TAG).
😀😀😀🤣Yani upige swaumu siku 120,halafu uburuzwe na makalio tu hapana aisee. Ipo shida mahali.
 
  • Kicheko
Reactions: Avs
Naweza kusema dhambi UASHERATI ndiyo itakayonifikisha motoni. Zingine naweza kuzishinda. Nikiona tu Yale makalio yanavyotikisika nahama Chanel.

Nimejitahidi kujikana nafsi yangu na kutumia mbinu mbalimbali kuutiisha mwili wangu lakini ni kama tu najaza maji kwenye chujio.

Nilifanya maombi ya kufunga siku 120 lakini wiki moja baadae akaibuka mrembo niliyemtongozaga na kunikatalia kwa muda mrefu, akaja mwenyewe ghetto nikamgonga, baada ya bao moja ndipo akili ikanirudia na kugundua kuwa nimeingia kwenye mtego ule ule! Huwa Nasali kanisa la Tanzania Assemblies of God(TAG).

Nilimshirikisha Mchungaji wangu akaishia kunigombeza na kudai kwamba sijaokoka na siku nikiokoka automatikale nitaishinda zinaa.

Naomba ushauri labda kuna mbinu za kuondokana na suala hili.
Huwezi kuwa muumini kama utashindwa kuishinda dhambi hiyo😂

Kila mtu ana dhambi zake ambazo zinamuendesha kweli kweli na wewe hiyo ni yako pambana nayo mkuu hata mimi naweza tunza pesa za watu bila kudokoa ila wanawake siwezi maliza dakika 5 sijaflirt nae😂
 
Sent from my Infinix X650B
Screenshot_20230126-005225.jpg
 
Nimekupm namba yake huyo,mpigie uongee naye atakupa ushauri zaidi
Screenshot_20230121_210122_Twitter.jpg
 
Unapoteza muda, achana na hayo maombi au hiyo dini yako.

Huwezi kushinda tamaa za kimwil kwa kutegemea hizo imani za kijinga za kusadikika, control your emotion through your ability not dependence on imaginarry belief, utahangaika sana, ukiweza kujua kila jambo licho chin yako hutopoteza muda kwenye maombi ya kijnga utakazana na mambo ya msingi.
 
Unapoteza muda, achana na hayo maombi au hiyo dini yako.

Huwezi kushinda tamaa za kimwil kwa kutegemea hizo imani za kijinga za kusadikika, control your emotion through your ability not dependence on imaginarry belief, utahangaika sana, ukiweza kujua kila jambo licho chin yako hutopoteza muda kwenye maombi ya kijnga utakazana na mambo ya msingi.
Umeongea kihunihuni, ila ukae ukijua hakuna jambo lililo gumu la kumshinda Mungu. Kwake yeye, yote yanawezekana, ikiwepo ushindi dhidi ya tamaa za mwili, tamaa za macho na kiburi cha uzima.
 
Naweza kusema dhambi UASHERATI ndiyo itakayonifikisha motoni. Zingine naweza kuzishinda. Nikiona tu Yale makalio yanavyotikisika nahama Chanel.

Nimejitahidi kujikana nafsi yangu na kutumia mbinu mbalimbali kuutiisha mwili wangu lakini ni kama tu najaza maji kwenye chujio.

Nilifanya maombi ya kufunga siku 120 lakini wiki moja baadae akaibuka mrembo niliyemtongozaga na kunikatalia kwa muda mrefu, akaja mwenyewe ghetto nikamgonga, baada ya bao moja ndipo akili ikanirudia na kugundua kuwa nimeingia kwenye mtego ule ule! Huwa Nasali kanisa la Tanzania Assemblies of God(TAG).

Nilimshirikisha Mchungaji wangu akaishia kunigombeza na kudai kwamba sijaokoka na siku nikiokoka automatikale nitaishinda zinaa.

Naomba ushauri labda kuna mbinu za kuondokana na suala hili.
Hamia Vatican
 
Back
Top Bottom