MSAADA: Naomba kujua kuhusu shule ya Turkish Maarif School Of Zanzibar

MSAADA: Naomba kujua kuhusu shule ya Turkish Maarif School Of Zanzibar

Cecil J

JF-Expert Member
Joined
Oct 12, 2023
Posts
434
Reaction score
1,024
Habari wanaJamiiForums!

Naomba nisiandike mengi, naomba kupata taarifa kuhusu shule Turkish School of Zanzibar. Natamani kujua mazingira ya shule, ada na mengine mengi
 
Bado sijapata taarifa yoyote, watu hawakutoa taarifa na nilikuwa na taarifa chache mno, kiukweli ni kwamba (sija/siku)pata taarifa yoyote
 
Mazingira ya shule ni mazuri. Zamani ilikuwa inaitwa SOS moja katika skuli za Hamarn Mainer...sina uhakika na spelling za hilo jina. Ipo maeneo ya Mombasa
Kuhusu fees sina uhakika sana lkn fees zao ndefu kiasi.
Angalia Google utapata pengine hata contacts zao. Pia unaweza kuangalia results zao kupitia necta utajiridhisha vp wanapasisha
Screenshot_20241213_200857_Chrome.jpg
 
Mazingira ya shule ni mazuri. Zamani ilikuwa inaitwa SOS moja katika skuli za Hamarn Mainer...sina uhakika na spelling za hilo jina. Ipo maeneo ya Mombasa
Kuhusu fees sina uhakika sana lkn fees zao ndefu kiasi.
Angalia Google utapata pengine hata contacts zao. Pia unaweza kuangalia results zao kupitia necta utajiridhisha vp wanapasisha
View attachment 3176016
Kuna ile maarif ya Kidimni , Zanzibar zipo mbili.
 
Back
Top Bottom