Kumpa Hela mwanamke humli ni changamoto.inawezekana ikawa side story ila ningekuwa mbaya ningeweka madhaifu yake au ningesimulia pengine upande wake kwa ubaya zaidi nilichosema haijalishi nani alikuwa mkosefu kwenye ndoa ila tumeachana shida ipo kwann haudumii watoto halaf anataka watoto? anahisi kwamba pesa anayotoa mimi nitaila?? au anawazaje? na mm sio mtu wa starehe nipo nyumban na biasharra zangu sinywi pombe sizururi ovyo nikitoka biashara nazofanya napika home naweka dukani so kwamuda mwingi nipo ndani tu nikitoka jumapil kanisani basi
sawa Mungu mtuWanawake wajuaji kama wewe hiyo ndio dawa yenu, na hapa unajifanya kutafuta huruma kwa kumsemea baba wa watoto wako.
Ni dhahir umewaingiza watoto wako kwenye mgogoro wenu na mwanaume wako, then mlipo tofautiana na kuachana ulijifanya kung'ang'ania watoto wakati kama kinga ili uweze kuendelea kuhudumiwa (wakati hauna uwezo wa kuwahudumia).
Na inaonyesha unavyo tafuta huruma kwa kutuambia kwamba baba watoto wako ni Engineer alafu wewe unapika vitafunwa. Inaonekana ulishauriwa na wajinga wenzako na leo unapitia magumu na wamekaa pembeni.
Minasemaga hivi.....
Ukimuona mtu analeta simulizi za mgogoro wake kwa kisingizio cha watoto kukosa haki, basi huyo mtu mtazame sana... maana inaelekea hata wazazi pamoja na ndugu wamemshindwa huyo mtu anar tafuta huruma sasa mtandaoni.
Haya mpigie Doroth Gwajima kwa 0734124191 / 0765345777 ili upate msaada kabla ya kwenda huko unapo jidanganya utapata msaada (mahakamani), kwani nao watakurudisha ustawi wa jamii.
Mimi mtoto wangu kama akikaa na baba yake akalelewa na mama yake ( mke wa baba yake) nitasapoti matumizi ya mtoto. Ila sio kumchukua sijui ampeleke kwa bibi yake sijui shangazi wa mamdogoWhy msitoe matumizi na nyie, watoto wakikaa kwa baba zao huwa mnatoa matumizi
Umeongea vyema sana mkuu.Iyo yote anajisumbua mkuu maana mentality ya mama mkwe anajua uyu anamtaka mwanae sababu ya mali, so hawezi kuona thaman yake kwenye kujipendekeza huko. Mi naona yeye mwanamke ndo amoveon kijeshi aache kutia huruma maana anataka kua kati wakati wao washamua vita ni either awape watoto au abaki na watoto.
Mama watoto yeye anataka awe kati kati yani asitoe watoto ila baba alee wanae kupitia yeye so vitu kama mawasiliano na support viendelee inshot mwanamke hajamoveon na itamtesa sana.
Ukichunguza utaona anapenda mume anapenda na watoto vyote anavitaka. Na am sure value ya mume ipo kwa uyu mwanamke sababu ya uwezo alonao uyo mwanaume ikitokea akafukuzwa kazi akarudi kua zero fukara sidhan kama uyu mwanamke atababaika nae.
So to conclude dada inabidi achague moja na ajiamini katika maamuzi yake asibabaike atapoamua kufanya maamuzi either ampe watoto ye awe anaomba kuwaona au aachane na uyo ex asimsumbue kwa chochote apambane kijeshi kuwasomesha na kuwalea wanae bila kujali utajiri wa baba yao na yote yanawezekana kama akiamua na akamtanguliza mungu.
Hivi mwanamke ukibeba mimba huwa mnasema mimba ni ya nani vile?, Ukizaa mtoto unaita ubini wa nani vile. How comes mtoto ulazimishe kuishi naye wakati mtoto sio wako ni wa mume wakoMwanaume anayempokonya mwanamke mtoto ni mjinga
yeye anataka ampeleke kwa mamaak maan babaake hajaoa badoMimi mtoto wangu kama akikaa na baba yake akalelewa na mama yake ( mke wa baba yake) nitasapoti matumizi ya mtoto. Ila sio kumchukua sijui ampeleke kwa bibi yake sijui shangazi wa mamdogo
mtoto siku zote ni wamama kuwaba ubini ni sheria na taratib zilivyo sio kwamba eti kisa ubini wako mtoto wa baba sio kwel aliyomzaa ndo mwenye mtoto[emoji23]Hivi mwanamke ukibeba mimba huwa mnasema mimba ni ya nani vile?, Ukizaa mtoto unaita ubini wa nani vile. How comes mtoto ulazimishe kuishi naye wakati mtoto sio wako ni wa mume wako
Bado mnapendana nyie na ninawaombea mrudiane muweze kuitunza familia yenu takatifu.Habari ipo hivi,
Mimi niliolewa ila nilitengana na mwenzangu, tuna watoto wawil. Mmoja miaka mitatu mwingine ana mwaka mmoja, sasa baba yake amekuwa mwiba kwangu ananitishia sana kuhusu kunipokonya watoto na nikikataa ananitishia kukatiza matunzo.
Jamani naombeni kufahamu endapo nikienda mahakamani nitapata haki zangu ama? Je, mahakamani ni nini wanaangalia? Mimi kwa sasa nafanya biashara napika vitafunwa mashuleni ila baba wa mtoto ni engineer, nisaidieni jamani maana sina amani na wanangu kama nimewaiba jamani wakati nimezaa mwenyewe na ananimbia akiwachukua sitawaona tena.
Nisaidieni jamani yeye anainjoi mimi nateseka na watoto halafu anajifanya anawapenda watoto wakati huduma shida, hivi jamani nifanyaje?
huyu baba hajawahi nihudumia labla nikusaidie na alikuwa anatoa laki 2 tu asa nikuulize ww io laki mbili watoto wawil wote wanavaa pampars wanakunywa selelak wanakunywa maziwa bado vyakula bado naul za hosp hiv ww io laki mbili mm napata nn labla? afu usichokijua wamama tuko radhi wanetu waenjoy sisi tuteseke siwez tumia pesa ya mtoto akat mtoto hana mahitaji na iyo uyo mwanaume analofaham ilo hakuwah nihudumia kwenye ndoa sembuse tumeachana?? samahani sana usimjudge mtu kwa mitandao na humjui au hujui nini chanzosawa Mungu mtu
Anadai watoto Kwa hoja zipi!?alishafika ila tatizo limeshibdikana halifanyiwi kazi wamekaa kimya tu na yeye ndio alienda ustawi kudai watoto
Sijui huyo bibi yupo vipi ila ushauri wangu kama mama, usikubali mtoto alelewe na bibi komaa mlee wenyewe. Ukiachana na majukumu yake huyo bibi anatakiwa apumzike sasa sio kupelekewa wajukuu aanze kulea, wajukuu waende kwake likizo kucheza nae sio kuanza kulea.yeye anataka ampeleke kwa mamaak maan babaake hajaoa bado
Mpenzi kama anaweza kutoa hiyo laki 2 ridhika nayo hiyo hoyo na ujibane upya katika matumizi yako ya mwezi mzima usitake mlumbane akuongeze zaidi maana ustawi au mahakamani utapata ndogo zaidi.huyu baba hajawahi nihudumia labla nikusaidie na alikuwa anatoa laki 2 tu asa nikuulize ww io laki mbili watoto wawil wote wanavaa pampars wanakunywa selelak wanakunywa maziwa bado vyakula bado naul za hosp hiv ww io laki mbili mm napata nn labla? afu usichokijua wamama tuko radhi wanetu waenjoy sisi tuteseke siwez tumia pesa ya mtoto akat mtoto hana mahitaji na iyo uyo mwanaume analofaham ilo hakuwah nihudumia kwenye ndoa sembuse tumeachana?? samahani sana usimjudge mtu kwa mitandao na humjui au hujui nini chanzo
Mkuu, sasa kama haukutaka tuoe maonj yetu, kwanini ulilileta humu..??🤔sawa Mungu mtu
alikuwa anatoa zaman sahv kaacha na miez 7 nalea mwenyewe kanisusua kasema wakikua watamtafutaMpenzi kama anaweza kutoa hiyo laki 2 ridhika nayo hiyo hoyo na ujibane upya katika matumizi yako ya mwezi mzima usitake mlumbane akuongeze zaidi maana ustawi au mahakamani utapata ndogo zaidi.
Cha kufanya achana na selelaki wasagie unga wa lishe itakusaidia zaidi, kama ni pampas wavalishe usiku wanavyolala au mnavyotoka ila mkishinda nyumbani wasivae pampas huyo wa miaka 3 ni mkubwa sana atumie pot sasa. Matumizi yasiyo ya muhimu achana nayo mpaka pale utakapokuwa umejitafuta wewe mwenyewe. Kama ni vyakula nunua vya jumla weka ndani
P, UMETISHA SANA MWAMBA................ Hili eneo upo vizuri sana .........Big-Up Bro...!!!Hii maana yake ni ndoa bado ipo, mlitenganaje, kifamilia, ustawi wa jamii or?
Sio anakutishia but he must have a good reasons. Mwanaume msomi Engineer alikupenda mwanamke wa kawaida, akakupa kila kitu, akakuoa. Unakijua kilichotokea, hapa sii mahali pake!. Ni kufuatia kilichotokea Baba watoto wako anawependa wanae na ana uwezo wa kuwalea vizuri kuliko mama yao, hivyo akijenga hoja valid kuwa mama yao ana maisha gani, baba anapewa wanae. Hiyo huta waona tena ni hasira tuu ya ulichomtenda, anataka kuwatumia watoto kama fimbo ya kukuchapia!.
Yes ukienda mahakamani utapata haki yako ikiwa ni pamoja na kunyanganywa watoto kutokana na kuishi maisha yasiyoeleweka.
Wanaangalia unaishije na unaweza kuletea vema kuliko baba yao?.
Mama mpika vitafunwa mashuleni, huna kipato cha kuwalea vizuri watoto wa Engineer, hivyo amegundua unawatumia watoto ili kuvuta child support na kuegemea hapo.
Msaada mkubwa wa kwanza ni Baba watoto wako anakupenda sana na anawapenda sana watoto wake, hataki wateseke na mama muuza vitafunwa asubuhi halafu usiku... hivyo ameona awaokoe wanae!. Msaada mkubwa wa kwanza ni jishushe omba msamaha mnurudiane, mwambie kilichotokea kati yenu ni shetani tuu alikupitia!. Wanaume tukipenda tunasamehe na amini usiamini utakuwa ni one of the best wife material!.
Pole sana, mimi ni baba niliyopitia hayo aliyopitia mwenzangu, niliwachukua watoto mkubwa akiwa 4 years na mdogo 2 years!. Niliwalea mwenyewe for 10 good years ndio nikaamua kusamehe!.
Usiwatumie watoto kama means ya kuvuta child support, jishushe omba msamaha, atakusamehe na mtalea watoto wenu kwa amani. Sisi wanaume tukipenda ni wajinga sana!, mimi nilipenda nimekufa nimeoza, alikuwa ananirudia asubuhi na bado nampenda. Mimi humu ni Mwalimu wa kupenda nimewafundisha wanaume humu kupenda Enyi Waume Wapendeni Wake Zenu!-Wife Kanirudia Saa12:00 Asubuhi!-Bado Nampenda!
P
AiseeHii maana yake ni ndoa bado ipo, mlitenganaje, kifamilia, ustawi wa jamii or?
Sio anakutishia but he must have a good reasons. Mwanaume msomi Engineer alikupenda mwanamke wa kawaida, akakupa kila kitu, akakuoa. Unakijua kilichotokea, hapa sii mahali pake!. Ni kufuatia kilichotokea Baba watoto wako anawependa wanae na ana uwezo wa kuwalea vizuri kuliko mama yao, hivyo akijenga hoja valid kuwa mama yao ana maisha gani, baba anapewa wanae. Hiyo huta waona tena ni hasira tuu ya ulichomtenda, anataka kuwatumia watoto kama fimbo ya kukuchapia!.
Yes ukienda mahakamani utapata haki yako ikiwa ni pamoja na kunyanganywa watoto kutokana na kuishi maisha yasiyoeleweka.
Wanaangalia unaishije na unaweza kuletea vema kuliko baba yao?.
Mama mpika vitafunwa mashuleni, huna kipato cha kuwalea vizuri watoto wa Engineer, hivyo amegundua unawatumia watoto ili kuvuta child support na kuegemea hapo.
Msaada mkubwa wa kwanza ni Baba watoto wako anakupenda sana na anawapenda sana watoto wake, hataki wateseke na mama muuza vitafunwa asubuhi halafu usiku... hivyo ameona awaokoe wanae!. Msaada mkubwa wa kwanza ni jishushe omba msamaha mnurudiane, mwambie kilichotokea kati yenu ni shetani tuu alikupitia!. Wanaume tukipenda tunasamehe na amini usiamini utakuwa ni one of the best wife material!.
Pole sana, mimi ni baba niliyopitia hayo aliyopitia mwenzangu, niliwachukua watoto mkubwa akiwa 4 years na mdogo 2 years!. Niliwalea mwenyewe for 10 good years ndio nikaamua kusamehe!.
Usiwatumie watoto kama means ya kuvuta child support, jishushe omba msamaha, atakusamehe na mtalea watoto wenu kwa amani. Sisi wanaume tukipenda ni wajinga sana!, mimi nilipenda nimekufa nimeoza, alikuwa ananirudia asubuhi na bado nampenda. Mimi humu ni Mwalimu wa kupenda nimewafundisha wanaume humu kupenda Enyi Waume Wapendeni Wake Zenu!-Wife Kanirudia Saa12:00 Asubuhi!-Bado Nampenda!
P
Sasa wewe si umesoma sheria, badala ya kumpa ushauri wa kisheria unabaki kuomba msamahaPole sana
Naomba unisamehe sana!.
Ni kweli samahani sana
Kitendo cha kutoa matumizi ni kujali na kujali ni kupenda.
Pole na samahani tena
Pole na samahani sana
Pole sana sana sana, mimi ni mwanaume niliotendwa hivyo nikaside na mumeo nikijua ulimtenda, kumbe umeolewa na mtoto wa mama!. Pole!
Pole tena na pambana.
P
Wanawake mlivyo wengi, na kuolewa ilivyo dili, na mapenzi yalivyo Kiti cha basi, unaposhuka, anakaa mwenzio, ukiona mmeachana na huyo mwanaume bado hajavuta kitu, ujue anakupenda na anawapenda watoto wake, ni kiburi tuu cha male chauvinism asionekane dhaifu, jishushe, atakurudia muendelee kulea vema hao malaika wa Mungu.yeye anataka ampeleke kwa mamaak maan babaake hajaoa bado