Riko Makenga
Member
- Nov 20, 2017
- 72
- 68
Hapana, hujafanya kama inavyotakiwa.
Wewe u umekuquote post za watu wawili tofauti.[/quo te][Qu ote]
Hapa inatakiwa uquote post moja ya mtu mmoja halafu uigawe sehemu ndogo ndogo then unaipost.
Angalia post za Numbisa na Daby hapo juu ndio wamefanya inavyotakiwaNAJARIBU MKUU
[emoji41][emoji41]
Sio hv hua inakua post ndeeeefu hafu unaikata kata vipande kwa kumjibu mtu..
Jf intelligence ndo hutumika..
Soma hio post hapo juu
Hii kitu nadhani ipo applicable kwa kutumia Browser, ngoja wajuzi waje watuelekeze
Kama hiviInabidi uwe na simu ya kitochi mkuu
unamulikia zile post unazotaka ku-quote
Hapana, hujafanya kama inavyotakiwa.
ndo staili yangu hiyoWewe umekuquote post za watu wawili tofauti.
kama hiviHapa inatakiwa uquote post moja ya mtu mmoja halafu uigawe sehemu ndogo ndogo then unaipost.
Ziko wapiAngalia post za Numbisa na Daby hapo juu ndio wamefanya inavyotakiwa
Hapo sawa
Inavyotakiwa na nani
ndo staili yangu hiyo
kama hivi
Ziko wapi
Hayo ni majaribio tu mkuu.
Salute Comrades..Hii mbinu mbona mpya sana
Multi Quotes nifahamisheni hatua kwa hatua..Ngoja nikufundishe hapa ni kisima cha elimu
Salute Comrades..
wakuu naombeni mnifunze nami jinsi ya ku Quote mara nyingi post moj al maarufu kama
Ngumu aiseeMulti Quotes nifahamisheni hatua kwa hatua..
Inatakiwaje mkuuHapana, hujafanya kama inavyotakiwa.
Inatakiwa uquote za watu wangapi?Wewe umekuquote post za watu wawili tofauti.
Kumbee ngoja nifanye hivyoHapa inatakiwa uquote post moja ya mtu mmoja halafu uigawe sehemu ndogo ndogo then unaipost.
Nimeona na nimefanya namna hivyoAngalia post za Numbisa na Daby hapo juu ndio wamefanya inavyotakiwa
[emoji102] [emoji102] [emoji102] [emoji719] [emoji720] [emoji695] [emoji694] ******Ssa naruka nafasi au nisiruke...?
Kwa sasa nadhani umeelewaAhaaa! Sikuelewa vizuri shida
Usijali mkuu hapa tunaelekezana kama ilivyo ada ya JFyake...nashukuru umenielewesha.
Sio ngumu kama unavyofikiriIla sidhani kama ni ngumu kiiivyo[emoji16]
Hongera mkuu ni rahisi sana tuHatimaye nimeweza
Poa mkuu.Hongera mkuu
Kwanini?Hua situmii app daima..