Rejea kichwa cha habari hapo juu..Nina rafiki yangu amekuja hapa home kuniomba ushauri kwamba kuanzia abalehe almost (miaka 10) imepita amekuwa na tamaa na wanawake wazuri wote anatamani wawe wake...wengi wao ameisha tembea nao (kuwala papuchi) na tena hadi wake za watu yaani kwa wiki anaweza kula hadi papuchi saba hadi kumi bila kuchoka....amesema hii imepelekea uchumi wake kuyumba sana...kaisha jaribu kwenda hadi kwenye maombi ila bado tu anapoona mrembo (haswa wale Chura maji) moyo unamlipuka...sasa kwa yeye ameona suruhisho ni kuzipunguza hizo nguvu za kiume kama siyo kuzimaliza ili walau ajiendeleze kimaisha......kama nlivyosema ANATAFUTA DAWA YA KUPUNGUZA NGUVU ZA KIUME...naomba ushauri jamani maana atamm siifaham....
Please......CHUNGA LUGHA ZA MATUSI....