Msaada nataka kujua kwanini mbegu zinarudisha nje baada ya kusex na wife mi kama 15 mpaka sekunde 40 au dk1

Msaada nataka kujua kwanini mbegu zinarudisha nje baada ya kusex na wife mi kama 15 mpaka sekunde 40 au dk1

"Msaada nataka kujua kwanini mbegu zinarudisha nje baada ya kusex na wife mi kama 15 mpaka sekunde 40 au dk1"

•Alieelewa heading anifafanulie tafadhali
Namaanisha tukiwa tumemaliza kusex mke wangu na mimi tunakuwa tumetengana huwa nakaa mbele ya miguu yake nikiwa ulelekeo wa miguu ya kitanda ambapo ni rahisi kwangu kumuona uke wake kwa kuwa huwa anakunja miguu baada ya tendo sasa ni kama sekunde kadhaa hupita tangu tumemaliza then naona maji maji meupe/rangi ya maziwa yakitoka nje so sina experience sana na hii elimu je yaweza kuwa mbegu zinarudisha/discharge? Au ni maji yake tu je kuna athari zozote
 
Namaanisha tukiwa tumemaliza kusex mke wangu na mimi tunakuwa tumetengana huwa nakaa mbele ya miguu yake nikiwa ulelekeo wa miguu ya kitanda ambapo ni rahisi kwangu kumuona uke wake kwa kuwa huwa anakunja miguu baada ya tendo sasa ni kama sekunde kadhaa hupita tangu tumemaliza then naona maji maji meupe/rangi ya maziwa yakitoka nje so sina experience sana na hii elimu je yaweza kuwa mbegu zinarudisha/discharge? Au ni maji yake tu je kuna athari zozote
Hapa ndio nimekuelewa, mada ya kwanza uliandika kama mtu asiyejua kusoma.

Nenda hospital, tena zile kubwa.
 
If its a missionary stlyle, after ejaculating, make sure you dont withdraw your manhood that quick, atleast stay for 5 to 7 to let SEMEN enter her reproductive tract...
shida ni mbegu zake, dogo omba Mungu. kwasababu nijuavyo mimi hata tone tu la mbegu linatungisha mimba, hata ukijifutia taulo ambalo mwanaume wamepangusia mbegu kitu kinaweza kuitika. sembuze hizo zinazotiririka afu na mabaki yanabaki ndani? kwani zinatoka kwa kukwanguka kabisa? si mabaki kibao yanabaki kule ndani?

cha kumuelewesha tu huyu dogo ni kwamba, mwanamke yeyote akifika kileleni uchi wake kwa ndani huwa unafutuka kwa nje, kiasi kwamba kama mashine ipo ndani utahisi kabisa uchi unaisukumia nje, na ndio wakati huo utasukuma na mbegu. naongelea ile pure orgasm, sio hizo za kibongo. kwa wanawake walioexperience squirting wanaelewa hili.
 
shida ni mbegu zake, dogo omba Mungu. kwasababu nijuavyo mimi hata tone tu la mbegu linatungisha mimba, hata ukijifutia taulo ambalo mwanaume wamepangusia mbegu kitu kinaweza kuitika. sembuze hizo zinazotiririka afu na mabaki yanabaki ndani? kwani zinatoka kwa kukwanguka kabisa? si mabaki kibao yanabaki kule ndani?

cha kumuelewesha tu huyu dogo ni kwamba, mwanamke yeyote akifika kileleni uchi wake kwa ndani huwa unafutuka kwa nje, kiasi kwamba kama mashine ipo ndani utahisi kabisa uchi unaisukumia nje, na ndio wakati huo utasukuma na mbegu. naongelea ile pure orgasm, sio hizo za kibongo. kwa wanawake walioexperience squirting wanaelewa hili.
Phd yako ulichukulia wap
 
Kwa hiyo inakuwaje je ina athari zozote katika kuzalisha

Ndio ina athar katika kuzalisha cos ili mwanamke aweze kupata mimba kuna idadi ya mbegu zinazohitajika japokuwa yai hurutubishwa kwa mbegu moja (Hii ni kutokana na mazingira ya ndani ya uke mpaka kulifikia yai) sasa kama kuna mbegu zinatoka inamaanisha mbegu zinazoingia ukeni ni chache.

Ni tatizo linalotibika nakushauri uonane na daktari
 
Muhimu kwanza inatakiwa ujuwe anatomy ya uke,hauko kama pochi kwamba kitu kikiingia kinakaa huko huko,imetengenezwa in such a way lazima kilichoingia kitolewe nje,ingekuwa hazitoki hawa wanaojiuza zingekuwa zimejaa huko,hiyo ni hali ya kawaida kabisa,ila na wewe inakuwaje mpk unamchungulia mwenzako...?
 
Back
Top Bottom