Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu unajua kila mwanamke huwa anarudisha mbegu. Na unajua tatizo liko kwa mke wa jamaa?shida ni mbegu zake, dogo omba Mungu. kwasababu nijuavyo mimi hata tone tu la mbegu linatungisha mimba, hata ukijifutia taulo ambalo mwanaume wamepangusia mbegu kitu kinaweza kuitika. sembuze hizo zinazotiririka afu na mabaki yanabaki ndani? kwani zinatoka kwa kukwanguka kabisa? si mabaki kibao yanabaki kule ndani?
cha kumuelewesha tu huyu dogo ni kwamba, mwanamke yeyote akifika kileleni uchi wake kwa ndani huwa unafutuka kwa nje, kiasi kwamba kama mashine ipo ndani utahisi kabisa uchi unaisukumia nje, na ndio wakati huo utasukuma na mbegu. naongelea ile pure orgasm, sio hizo za kibongo. kwa wanawake walioexperience squirting wanaelewa hili.
Huenda ni magonjwa ya zinaa yanamtesa.Namaanisha tukiwa tumemaliza kusex mke wangu na mimi tunakuwa tumetengana huwa nakaa mbele ya miguu yake nikiwa ulelekeo wa miguu ya kitanda ambapo ni rahisi kwangu kumuona uke wake kwa kuwa huwa anakunja miguu baada ya tendo sasa ni kama sekunde kadhaa hupita tangu tumemaliza then naona maji maji meupe/rangi ya maziwa yakitoka nje so sina experience sana na hii elimu je yaweza kuwa mbegu zinarudisha/discharge? Au ni maji yake tu je kuna athari zozote
Mkuu hii 15 milioni umeitoa wapi?Ingawa mimi sio daktari na wala sina diploma ila inaonesha una watery semen ambayo pia inasababishwa na low sperm count (mbegu chini ya 15,000,000 kwa kila milliliter).
Jaribu kuthibitisha kwa kumtombea mezani kwa staili ya kusimama hivi, ukishamaliza chomoa kisha chungulia. Je zinatoka kwa kuchuruzika kama maji?
Mwone daktari.
🤣🤣🤣ila na wewe inakuwaje mpk unamchungulia mwenzako...?
Mke wangu mbegu nyingi humtoka baada ya kusex naye nashindwa kuelewa maana bado hatujapata mtoto na mimi ndo mtoa bikira karibia mwaka sasa
Embu nipeni shule maana hasikii maumivu yoyote kama nilivyo ambiwa kuwa kunaweza kukawa na kitu kama kidole kina zuia mbegu kwenda mbele
[/QUOTE
Hakuna mahusiano na mbegu kutoka, haziendagi huko ndani zikakaa, lazima zitoke
Maana hizo milliliters hata kipimo cha mvua za el nino hazijawahi kufikisha 😆🤣😂Mkuu hii 15 milioni umeitoa wapi?
Kwa mujibu wa shirika la afya duniani unatakiwa utoe sperm angalau kuanzia 15,000,000 na kuendelea kwa kila mililita. Ukitoa chini ya hapo unakuwa kwenye kundi la low sperm count.Mkuu hii 15 milioni umeitoa wapi?
Uke wa mwanamke huwa unaongezeka urefu na kuwa mfupi.Mke wangu mbegu nyingi humtoka baada ya kusex naye nashindwa kuelewa maana bado hatujapata mtoto na mimi ndo mtoa bikira karibia mwaka sasa
Embu nipeni shule maana hasikii maumivu yoyote kama nilivyo ambiwa kuwa kunaweza kukawa na kitu kama kidole kina zuia mbegu kwenda mbele
Nashangaa inakuwaje anvyorekodi hadi duration, I don't like their bedroom behavior for sure.Kwahiyo ulitaka uke uwe Kama unakunywa hivi bila kutema nje? Khaaaa. Na manzi naye anajichanua chaaa nyuzi 180°.