Msaada nataka kujua kwanini mbegu zinarudisha nje baada ya kusex na wife mi kama 15 mpaka sekunde 40 au dk1

Msaada nataka kujua kwanini mbegu zinarudisha nje baada ya kusex na wife mi kama 15 mpaka sekunde 40 au dk1

Kama unatafuta kumtia mimba mkeo,kwanza ujue mzunguko wake vzr na mfanye mapenzi siku za ovulation,usidhani kufanya fanya mapenzi bila kanuni ndio kupa mwanamke mimba.
 
NENDA HOSPITALI YA MAANA KIJANA.

KAPIMENI DAMU UPYA.

KAPIME MBEGU ZAKO.

NAE AANGALIWE VIZURI MFUMO WAKE WA UZAZI...

WAHI HOSPITAL.
 
Back
Top Bottom