From Sir With Love
JF-Expert Member
- Sep 13, 2010
- 2,076
- 3,813
Brother ujana na kufahamiana na madem wa kijapan. Story ndefu kaka, mpaka dem alihama kwao tukawa tunatunaishi wote baada ya kufika Japan.Dah mkuu really interesting. Japan ni nchi moja ngumu sana kuingia kwa watu toka africa toka zamani tuu. Ulifanikiwaje kufika huko. Yani japani hata asylum hawachukui.
Bado unaishi huko?
Ujinga wa kujiona yank halafu don't care ukanifanya nikampoteza Mtoto wa kijapan. Nilivyompiga kibuti, nasikia alichukua lilkizo hokaido huko, kwenye snow karibu na urusi. Dah!!!
It was true love, lakini I lost it.
Sent using Jamii Forums mobile app