Hawezi kuelewa huyo mwanamke anaonekana kabisa tamaa mbele. Amefatilia mpk mshahara wake anajua kwaio anataka afaidike kupitoa mshahara wa jamaa,Pambana lea mwanao, achana nae.
Ushawahi ona jogoo analea vifaranga? Wanaume hawaleagi, its nature....atahudumia mtoto Kama na wewe unamuhudumia, Kama uko tayari kufata matumizi ya mtoto guest endelea kumsumbua, Kama unajali utu wako pambana mwenyewe.....mlezi mkuu ni Mungu, mtoto atakua tu bila yeye.
Angalizo, akileta matumizi usikatae na usimlishe mtoto sumu kumuhusu.
Njoo hapa karibu na kwako nikununulie nyama choma na bia bardiiiii!!!!Jaribu kutafuta maelewano na mzazi mwenzio, sidhani kma kuna mwanaume anakataa kuhudumia damu yake kirahisi unless kama kuna sababu ambazo hatuzijui zinazomfanya asitoe huduma, either kauli au visa, wanawake tuna visa na maneno makali sana kwa hawa ambao tunataka wahudumie watoto, hatuwapi heshima wala nafasi ya kuwaona watoto na wakati mwingine tunajaribu kuwaharibia hata maisha yao kwa sababu ya ugomvi usio na sababu
Trust me, ukienda huko ustawi unaweza pata msaada lakini mwanaume akasema uwezo wake ni.kutoa elfu kumi kila mwezi na ustawi hawawezi kumlazimisha kutoa pesa zaidi ya hiyo kwa sababu nae ana majukumu yake mengine nje ya hao watoto kwa hiyo ni bora ukatumia hekima na husara kuweka mambo sawa na huyo mwenzio kwa faida ya watoto wenu. ustake maisha ya kukommoana eti kisa anapokea 2.8
Tuma kwenye namba 0777888999222Njoo hapa karibu na kwako nikununulie nyama choma na bia bardiiiii!!!!
Nmekutukana wapi ? Ungetukanwa ungesema weweBro unapomtukana mtu usiyemjua huwa unafaidika nini.. ? nimeshare experience niliyopitia na wengi wanapitia hayo kwenye jamii hasa za waafrika labda kama unazibaga masikio na macho.. Nakupa tu angalizo usimtukane mtu usiyemjua.. karibu sana canada napoishi ila nazurura nchi nyingi duniani.. π€£
Wewe ulishaambiwa masharti uliyokuwa ukimpa mama yako au mlezi wako kuhusu vyakula?Weee mim nnae hapa muda wote mdomo unatafuna unataka kula
Yaan huwa na kaz ya kujipilikisha maandaz au kalimati tofauti na msosi ili apate na vya kula kula wakija wengine hataree
Halaf unapangiwa vya kupika na aina ya juice unapangiwa na kukosolewa juu
Akiii inabidi ukiwa na hamu na juice fulan utengeneze yako na yake utengeneze anavyopenda huwa nachoka mie
Ama kweli wazee wa siku hizi wanapaka piko ili mvi zisionekane na hivyo kukosa hekima.Jaribu bi mdogo miye binti yangu kampeleka huko na amishia kupewa barua za wito kumi na mbili jamaa haji na hawamfanyi kitu.
Ushauri nenda kituo cha msaada wa kisheria kwa wanawake WILAD wamburuze mahakamani.
Umemaliza yote niliyotaka kusemaπisitoshe asiishi akiuwaza mshahara wa mwanaume atakufa kwa stress,Mimi mwanzoni nilizinguana na baba watoto kuhusu mahitaj ya watoto,yeye Yuko private firm,akasema wewe uko serikalini unanizid kipato,nikaona isiwe kesi nikaacha kumwuliza lolote kuhusu mahitaji ya watoto.Ulizaa mtoto Kwa kuhitaji uwe na mtoto au kumridhisha huyo mwanaume?
Lea mwanao! Angekufa ungeenda kulishtaki kaburi?
Fanya kama hayupo, Lea bila huzuni, ona mwanao ni baraka kuu.
Sali na mtegemee Mungu, atakupa riziki ya mtoto wako.
Ukianza habari za ustawi wa jamii, utapauka Kwa stress, huo muda angalia shughuli ya kufanya.
Mwanaume wa kweli na mtu mzima, hakumbushwi kulea damu yake.
Usiskilize maneno ya watu hapa jf wewe nenda watamuuta na utasaidiwa . Hiyo inaitwa maintenance. Ipo kwenye sheria ya ndoa . Utapewa zaidi ya 5 cause jamaa ana uwezoNaombeni msaada nataka kwenda ustawi, baba wa watoto huduma ananisumbua maana ni mfanyakazi TANESCO Engineer Grade 1 anapokea 2.8. Sasa naombeni msaada - Je, kwa mshahara huo naweza pata elfu 50 ustawi au wanadanganya?
Mbona unamsema hivyo mwanao. Mtoto kupenda kula ni baraka.Weee mim nnae hapa muda wote mdomo unatafuna unataka kula
Yaan huwa na kaz ya kujipilikisha maandaz au kalimati tofauti na msosi ili apate na vya kula kula wakija wengine hataree
Halaf unapangiwa vya kupika na aina ya juice unapangiwa na kukosolewa juu
Akiii inabidi ukiwa na hamu na juice fulan utengeneze yako na yake utengeneze anavyopenda huwa nachoka mie
mtoto ni wako dada pambana nae tu hakuna namna, sawa elfu hamsini ni kubwa kama huna na ni ndogo sana ukizingatia mpaka umpeleke ustawi wa jamii kwa ajili ya elfu hamsiniNaombeni msaada nataka kwenda ustawi, baba wa watoto huduma ananisumbua maana ni mfanyakazi TANESCO Engineer Grade 1 anapokea 2.8. Sasa naombeni msaada - Je, kwa mshahara huo naweza pata elfu 50 ustawi au wanadanganya?
Mnachowinda si mahitaji ya mtoto bali ni kupata mrija kupitia huyo jamaaNenda kwa bosi wake ongea nae
Kisha nenda ustawi
Sheria zetu hazimlindi mwanamke na mtoto asa huko ustawi waseme 50 inatosha nin?? Na watoto wanakula kama mchwa
Pole ila vitu vya kukaanga usimzoeshe sana, bado mtoto anakua jitahidi ale mboga za majani kwa wingi, vyakula jamii ya wanga vimpe nguvu na vya protini kwa wingi vimjengee kimwili na akiliSasa mwembamba mrefuu acha ale anenepe tu siku hizi kaanza nenepa angalau ,acha ale tu halaf anapenda vitu vya kukaanga na kachumbari ananimalizia mafuta huyuuu πππ
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mtego huuNajitolea kumlea .wanao pamoja na wewe mwenyewe kama hautojali.
Duniani ni kusaidiana nami kwa moyo mkunjufu nataka kuwasaidia ninyi.
Mkuu, haya mambo yana changamoto sana.Kuna wakati huwa nashindwa kuwaelewa Wanaume wenzangu, hivi inakuwaje unashindwa kulea damu yako?
π―π€π€π€Kuna wakati huwa nashindwa kuwaelewa Wanaume wenzangu, hivi inakuwaje unashindwa kulea damu yako?
Imagine huyo Dada yupo tayari kupokea hata shilingi 50,000 kwa mwezi. Hiyo elfu 50 inatosha Kula, mavazi au mtoto akiugua kweli? Kwa hiyo elfu 50 huyo Mtoto atapata Sare za shule au hata Kalamu na Daftari akianza shule?
Tuweni na huruma wakati mwingine, wewe usingehudumiwa na Baba yako ungefika hapo ulipo kweli?
Kama hauko tayari kulea Mtoto, niwasihi Wanaume wenzangu ni bora kutumia Kondomu au mtumie uzazi wa mpango. Tutakuja kupata dhambi na laana za Uzeeni kwa kutelekeza damu zetu.