Msaada: Nataka kwenda Ustawi wa Jamii, baba wa watoto ananisumbua huduma

Msaada: Nataka kwenda Ustawi wa Jamii, baba wa watoto ananisumbua huduma

Kama ni kweli ulichoandika basi huyu mwanaume atakuja kupata shida sana huko mbele ya maisha yake.. wanaume wengi tunaishi na laana za wanawake tuliowazalisha na kuwatelekeza.. nimejifunza sana kwa mshua wangu anaishi maisha ya kujuta na kulalamika kila siku..

Mpaka Sasa wengi mna amini kwenye ndoa mama mtakatifu, baba ni shetani. Kina baba hawana utamaduni wa kusema ya wake zao. Tena pengine ,hali ya mshua imesababishwa na mama.Chunguzs
 
Yaani kila mwezi atoe 250k iyo ajira? Ushawahi udhuria ata kikao kimoja cha Ustawi mkuu.? Hesabu haziendi simple hivo. Mtu unakuta ana mshahara wa 2.8M usikute ni Gross. Bado kuna makato unakuta take home 2.1M tu.
Bank? Saccos? Bodi? Etc etc
Bado ana familia nyingine?

Yaani hapo akipata 50k sio mbaya. Ikizidi sana 75k.
😅😅😅😅
 
Pambana lea mwanao, achana nae.

Ushawahi ona jogoo analea vifaranga? Wanaume hawaleagi, its nature....atahudumia mtoto Kama na wewe unamuhudumia, Kama uko tayari kufata matumizi ya mtoto guest endelea kumsumbua, Kama unajali utu wako pambana mwenyewe.....mlezi mkuu ni Mungu, mtoto atakua tu bila yeye.

Angalizo, akileta matumizi usikatae na usimlishe mtoto sumu kumuhusu.
You are one in a milion.

Hicho kitu cha kutomlisha sumu mtoto kuhusu baba yake ni kitu 99% ya wanawake wanakikosa.

Tumelelewa na mama sehemu kubwa ya masha yetu. Beside makandokando ya baba, mama yetu hajawahi kutulisha sumu kuhusu baba yetu au ndugu wa baba.

Natamani hata nikufungulie thread.
 
Kwamba wanawake wote mna akili sawa?
Hujui kuna wanawake hawajali kitu?
Mtoto anapenda maharage yapikwe mengi yafungwe kwa pakti size ndogo yawe iwe kwa freezer,mtoto ale acheni udikteta bana
Kuna wanawake huwa hawajali watoto wao hawapikii vizuru ilimradi hovyo hovyo tu
 
Kwahiyo mnataka tuwalilie na kuwabembeleza kutoa matumizi?? Mimi binafsi ukishiriki kulea mwanao nitamweka karibu na wewe na nitakuwa namweleza kabisa baba yako anakulea.
Ila usipotunza na mimi sitahangaika na wewe including kumpa habari zako mtaonanaga akiwa mkubwa. Mwanaume anayejua wajibu wake hawezi acha kulea mwanae hata kama amegombana na mama yake.
Kwa hiyo hata hulka ya kumbembeleza mwanaume hamtaki kabisa, mnataka kutanguliza mbele umwamba.

Mwanamke mnyenyekevu na mtiifu ndo anayemvutia zaidi mwanaume na mwanaume yupo tayari kujitoa kwa ajili yake.
 
Mtoto anapenda maharage yapikwe mengi yafungwe kwa pakti size ndogo yawe iwe kwa freezer,mtoto ale acheni udikteta bana
Kuna wanawake huwa hawajali watoto wao hawapikii vizuru ilimradi hovyo hovyo tu
Sasa wanawake wrngi wako hivyo kama nyie msojua pika chapati
 
Kwa hiyo hata hulka ya kumbembeleza mwanaume hamtaki kabisa, mnataka kutanguliza mbele umwamba.

Mwanamke mnyenyekevu na mtiifu ndo anayemvutia zaidi mwanaume na mwanaume yupo tayari kujitoa kwa ajili yake.
Mnyenyekewe kwenye wajibu wenu?
 
Hahaha nimeshajua mim [emoji23][emoji23][emoji23]
Kutokujua kupika chapati haimaanishi hujui kupika vingine
Kuna za kumimina tamu tu
Zile hazifai, twapenda laini kama za wapemba mtaa wa rufiji
 
Kwa hiyo hata hulka ya kumbembeleza mwanaume hamtaki kabisa, mnataka kutanguliza mbele umwamba.

Mwanamke mnyenyekevu na mtiifu ndo anayemvutia zaidi mwanaume na mwanaume yupo tayari kujitoa kwa ajili yake.
Kweli mkuu nikubembeleze kule mtoto wako tena damu yako?? Ni haki hiyo kweli? Nitakubembeleza km ni mpenzi wangu ila sio tumeachana nikubembeleze kulea mwanao
 
Kweli mkuu nikubembeleze kule mtoto wako tena damu yako?? Ni haki hiyo kweli? Nitakubembeleza km ni mpenzi wangu ila sio tumeachana nikubembeleze kulea mwanao
Eti 😂😂 wanapenda kunyenyekewa upumbavuuu
 
Huyu keshakuja mara kibao kulalamika humu, fatilia nyuzi zake
Sijawahi kulalamika kwamba baba mtoto wangu hamtunzi mwanae, tena nilikuwa nasema wazi matumizi ya mwanae anatoa bila shida. He was a man and ahalf enzi hizo alikuwa na tarehe yake akipokea mshahara utaona muamala the same day bila kukumbushwa. Na nilikuwa nampa credit zake kwa hilo usipotoshe mkuu.
 
Back
Top Bottom