Mad Max
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 26,961
- 77,890
Yaani kila mwezi atoe 250k iyo ajira? Ushawahi udhuria ata kikao kimoja cha Ustawi mkuu.? Hesabu haziendi simple hivo. Mtu unakuta ana mshahara wa 2.8M usikute ni Gross. Bado kuna makato unakuta take home 2.1M tu.kati ya 2.8 mil upewe 50k una akili kweli kama unaenda kudai pesa hyo bora uache tu..
Pia angalai na uwiano wa watoto wengine kama ni mmoja tu anaye basi angalau upate 250k kwenda mbele.
Bank? Saccos? Bodi? Etc etc
Bado ana familia nyingine?
Yaani hapo akipata 50k sio mbaya. Ikizidi sana 75k.