Tusaidiane kupaza sauti, suala la Kuachana lisiwe kigezo cha Watoto kunyimwa haki ya kupata mahitaji yao.π―π€π€π€
Sheria mkononi ya bwana @dronedrokeTusaidiane kupaza sauti, suala la Kuachana lisiwe kigezo cha Watoto kunyimwa haki ya kupata mahitaji yao.
Kama Mwanaume hauko tayari kulea na kutoa huduma kwa Mtoto/Watoto wako ni bora kuchukua sheria Mkononi au kutumia Uzazi wa mpango hadi pale utakapokuwa tayari.
π§Tusaidiane kupaza sauti, suala la Kuachana lisiwe kigezo cha Watoto kunyimwa haki ya kupata mahitaji yao.
Kama Mwanaume hauko tayari kulea na kutoa huduma kwa Mtoto/Watoto wako ni bora kuchukua sheria Mkononi au kutumia Uzazi wa mpango hadi pale utakapokuwa tayari.
I wish wanangu wangekuwa hivi,vijamaa chakula mpaka tugombane kwa mikwara mizito as if wananilia mm!!Weee mim nnae hapa muda wote mdomo unatafuna unataka kula
Yaan huwa na kaz ya kujipilikisha maandaz au kalimati tofauti na msosi ili apate na vya kula kula wakija wengine hataree
Halaf unapangiwa vya kupika na aina ya juice unapangiwa na kukosolewa juu
Akiii inabidi ukiwa na hamu na juice fulan utengeneze yako na yake utengeneze anavyopenda huwa nachoka mie
HahahahahaWakisema wakupe Elfu 50, potezea Mm nitatoa
Ni kweli Mkuu, lakini kama Mwanamke ameamua kulazimisha kubaki na Mtoto/Watoto basi huna budi Mwanaume kutenga fedha kwaajili ya kumhudumia damu yako ili mtoto asipate tabu.Mkuu, haya mambo yana changamoto sana.
Sisemi kwamba muanzisha Uzi amesababisha Mwanaume kutelekeza Mtoto, lakini, nyakati nyingine unaweza kuta Mwanamke ndiye aliyesababisha hali hii kwa kumtenganisha Baba/Mwanaume na Mwanaye kwa sababu mbalimbali, ikiwemo kumkomoa Mwanaume, kiasi hata cha Mwanaume kuambiwa Mtoto siyo wake.!!!
Siyo mara zote Wanaume wasiolea damu zao, wamezitelekeza kwa kukimbia majukumu bali imewalazimu kufanya hivyo, ili nao, maisha yaweze kusonga mbele. Maana, kama wangeendelea kulazimisha, wangekufa kwa stress.
Ni jambo la kushangaza, lakini ndiyo hali halisi inayoendelea kwenye Jamii.
Amen ππ§
Hahaha...............hiyo ndiyo njia sahihi ya Wanaume wanaokwepa Majukumu yao πSheria mkononi ya bwana @dronedroke
Sipati picha katakua kabongeeeWeee mim nnae hapa muda wote mdomo unatafuna unataka kula
Yaan huwa na kaz ya kujipilikisha maandaz au kalimati tofauti na msosi ili apate na vya kula kula wakija wengine hataree
Halaf unapangiwa vya kupika na aina ya juice unapangiwa na kukosolewa juu
Akiii inabidi ukiwa na hamu na juice fulan utengeneze yako na yake utengeneze anavyopenda huwa nachoka mie
We mwanamke una maakili sana.Pambana lea mwanao, achana nae.
Ushawahi ona jogoo analea vifaranga? Wanaume hawaleagi, its nature....atahudumia mtoto Kama na wewe unamuhudumia.
Kama uko tayari kufata matumizi ya mtoto guest endelea kumsumbua, Kama unajali utu wako pambana mwenyewe.....mlezi mkuu ni Mungu, mtoto atakua tu bila yeye.
Angalizo, akileta matumizi usikatae na usimlishe mtoto sumu kumuhusu.
ni mume wa ndoa maan tumeachanaNi mume wako au? Wanapima DNA kama sio mume wako.
Na pili, inaweza hata isifike 50k kwa maana na yeye ana majukumu mengine.
mimi nmeolewa nae na tuna watoto wawili na sijataka 50k bali watu wananovunja moyo kwamba nikienda napewa 50k ndo maana nikauliza je napewa 50 k ??Kwani mlikubaliana na huyo Mwanaume kuzaa huyo mtoto ?
Kama mlikubaliana inabidi awajibike lakini Kama sivyo wajibika mwenyewe maana ulikuwa na uwezo wa kuzuia usipate hiyo mimba, labda awe alifanya kukubaka.
asante kaka sijui no dada ubarikiweNajitolea kumlea .wanao pamoja na wewe mwenyewe kama hautojali.
Duniani ni kusaidiana nami kwa moyo mkunjufu nataka kuwasaidia ninyi.
dada sio kwel nimeolewa ane ana cheo cha kawaida kasoma mpaka kapandishwa cheo yuko wote tumejenga nyumba tu wote asa nilichofata apo ni nn?Alivyoona mshahara 2.8 labda alijua akibeba mimba atakuwa na uhakika wa 1m kila mwezi.
mtoto miaka 2 wa pili miez 4 anamleaje nilimpa mtoto mdog nikashindwa nikamfwata sababu ya tabia za babake alishindwa kumuheshimu mtoto mpaka mwil wake alikuwa analala na wanawake ndan anabadil mbele ya mtoto mpaka mdog wake aliniomba nikamfwate mtoto maan kaka yake hakuwa tabia nzur je kama ww ungefanyaje au unaongea tu?? kama kuaibika nishaaibika sana kashanivua nguo sana kwanza kwetu hakanyagi akitaka kumuona mtoto anaishia barabaran eti nimpeleke mtoto njiani kwel haki? na kuhusu ndug zake siwez walalamikia maan watu huchoka pia na siwez jua anaongea nn kwao100 kwa siku, nikiwah sikia.
Hana wazazi?
Umeujuaj3 mshahara wake?
Unataka kutoka kimaisha juu ya mshahara wake?
Huna uwezo wa kumlea mtoto peke ako?
Hataki kumchukua mwanae alee mwenyewe?
Angalia usije kuaibika
we kaka nimeolewa nae sijafwata mali maan hakuwa na mali pindi tupo woteHuyu mwanamke ana tamaa na pesa KUTOKANA na Hali ngumu ya maisha
Mimi ni kaka mwenye kende 2 + dushe lmara.asante kaka sijui no dada ubarikiwe
Ndio malezi, Hupaswi kuchokautengeneze anavyopenda huwa nachoka mie