Msaada: Nataka kwenda Ustawi wa Jamii, baba wa watoto ananisumbua huduma

Haya wale mliokuwa mwataka toa msaada mshapewa namba kazi kwenu.

Ilaaa
Ilaaaa
Ilaaaaa
 
Usijibu kwa jazba bali boresha ubishani wako kwa hoja.Mliandikiana kwa ushahidi alichokuambia?Kama anakutunza vema haina shida.
NINACHOTAKA KUWAKUMBUSHA:Jitambueni na muwafundishe wenzenu/mabinti wanaochipuka wawe makini,wawe na uhakika na wanaume watakaopata nao watoto/familia.Kama ambavyo mnaitaka hamsini kwa hamsini kwa nguvu na haraka,ndivyo mpanue akili zenu na mjifungulie nguvu za uwezo wa kuzikabili changamoto zenu bila kulialia,kushtaki na kutaka kuonewa huruma muda wote.Sheria zilizopitwa na mabadiliko ya maisha isiwe egemeo batili la kujibanzabanza kimaisha.Vilevile,acheni kuzaa na wanaume kwa mategemeo ya kuvuna utajiri/mali,kumsumbua tu au kumkosesha amani ili kufurahisha,kulipisha gharama na kujirahisishia maisha.Jifunzeni kuchukua majukumu kwa akili na kuzitafuta huduma.
 
mnanikejeli sana mimi kuomba msaada basi naombeni mnisamehe nina roho ndogo sana naumia kwa kunidhihaki nisameheni pengine sikupaswa kuomba ushauri samahanini ilanjueni sijazaa bila ndoa nmezaa kwa ndoa kabisa.
Mawazo yako tu.Soma na uendelee kupata mawili-matatu ingawa yanachoma kama pasi.πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
asa angetunza ningekuja huku?
 
Nenda utapata zaidi yaho, teena alipe ada na school bus kabisa hiyo itakuwa ya nyongeza.
 
Naombeni msaada nataka kwenda ustawi, baba wa watoto huduma ananisumbua maana ni mfanyakazi TANESCO Engineer Grade 1 anapokea 2.8. Sasa naombeni msaada - Je, kwa mshahara huo naweza pata elfu 50 ustawi au wanadanganya?
Dear mpambanie tu mtoto ako achana na kusumbuana na malayer,
Maan malayer pekee ndio anaweza kutelekeza mtoto ake.
 
nikome kaka tafadhali nimeolewa na chetu kabisa na mimi ndo mke wa kwanza hakuwa na mke wala mtoto kwahy unanilaumu kuzaa ndan ya ndoa??? tuheshimiane tafadhali
Hakuna mwanaume anakataa kulea damu yake kwenye hii Dunia hayupo..

WW itakua una mamb yako tu unaficha hapa na kuletea story ya upande mmoja.. ngoja nikuambie hapa jf utaishiwa kufarijiwa tu na huko ustawi utapigwa kalenda mpaka ukome..kiufup karma is real kama ww ndio ulisababisha hyo ndoa ife sabb ya ujinga wako utalibeba.na kama mwanaume anahusika atalibeba nae.

But asilimia tisin ndoa zinakufa sabb ya upumbavu wa wanawake..I hope the same to yaaaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Dear mpambanie tu mtoto ako achana na kusumbuana na malayer,
Maan malayer pekee ndio anaweza kutelekeza mtoto ake.
Usihitimishe tu kwa kutoa ubatizo feki wa "malayer"!Ni vema kuzijua sababu za hayo anayopitia asiyegawiwa matunzo ya mtoto.Tena kutoka pande zote mbili.
 
Umeongea ujinga
 
Umeongea ujinga
Ujinga ni upi hapo?Mueleze mtu ukweli na ajitambue.Mnakaa mnawadanganya hovyo,kuwasomea vijisheria vya kipuuzi bila kuwafundisha kujisimamia na kuyakabili majukumu.Mnawarembea mwandiko habari za huzuni?Mnawazubaisha na kuwafanya wasiwe responsibles kwa mambo yaliyowakuta,wanayoyaishi na hamuwapi positive options!
 
Umeona asa ndio akili za wanawake ndio maana hata uyu kupe alieanzisha huu Uzi ni WA kumtazama sana .anatafuta kuonewa huruma while shida ni yy
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…